Magufuli aagizwa kumaliza mzozo Zanzibar
Marekani imeitaka serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya raia wa Zanzibar katika uchaguzi wa urais uliopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Marekani yamtaka Magufuli kumaliza mgogoro Zanzibar
Siku moja baada ya Dk John Magufuli kuapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marekani imeitaka Serikali yake kuutafutia ufumbuzi wa haraka mgogoro wa Zanzibar.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Mkakati wasukwa kumaliza mzozo Ukraine
Nchi za magharibi zimeweka mipango ya kumaliza mapigano mashariki mwa Ukraine
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Serikali,FARC kumaliza mzozo wa Colombia
Rais wa Colombia Juan Manuel Santos ana matumaini kuwa makubaliano yaliyotiwa saini yataleta amani
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Busara itumike kumaliza mzozo wa kodi ya TFF
Serikali ya Rais John Magufuli imeanza kazi kwa nguvu, ikielekeza macho yake katika ukusanyaji wa mapato kwa kuhakikisha wote wanaotakiwa kulipa kodi, wanafanya hivyo na kudhibiti matumizi ya fedha hizo za walipakodi.
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Magufuli amwagiza Mahiga kutatua mzozo wa Burundi
Rais John Magufuli amemwagiza Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Kikanda na Mambo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Dk Augustine Mahiga kuanza kushughulikia mgogoro wa Burundi na ametaka kazi hiyo afanye kwa kushirikiana na waziri wengine kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AWASILI ZANZIBAR AKITOKEA PEMBA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU PEMBA.
10 years ago
VijimamboMadaktari Diaspora Wakiondoka Zanzibar baada ya Kumaliza Zoezi la Kutoa Huduma ya Saratani ya Matiti, Kisukari na Meno.
11 years ago
Habarileo16 Jul
Balozi aagizwa kuboresha uhusiano
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amemtaka Balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi, Wynjones Kisamba kuhakikisha azma ya Serikali ya kuona uhusiano wake na Urusi unaimarika inafikiwa.
10 years ago
Mwananchi26 Oct
CAG aagizwa kuwasilisha ripoti ya Escrow
 Sakata la fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu (BoT), limechukua sura mpya baada ya Kamati ya Bunge ya Fedha za Mashirika ya Umma (PAC) kumwagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali(CAG) kuwasilisha taarifa ya uchunguzi wa akaunti hiyo mbele ya PAC ifikapo Oktoba 31.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania