Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli aagizwa kumaliza mzozo Zanzibar

Marekani imeitaka serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya raia wa Zanzibar katika uchaguzi wa urais uliopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Marekani yamtaka Magufuli kumaliza mgogoro Zanzibar

Siku moja baada ya Dk John Magufuli kuapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marekani imeitaka Serikali yake kuutafutia ufumbuzi wa haraka mgogoro wa Zanzibar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkakati wasukwa kumaliza mzozo Ukraine

Nchi za magharibi zimeweka mipango ya kumaliza mapigano mashariki mwa Ukraine

 

9 years ago

BBCSwahili

Serikali,FARC kumaliza mzozo wa Colombia

Rais wa Colombia Juan Manuel Santos ana matumaini kuwa makubaliano yaliyotiwa saini yataleta amani

 

9 years ago

Mwananchi

Busara itumike kumaliza mzozo wa kodi ya TFF

Serikali ya Rais John Magufuli imeanza kazi kwa nguvu, ikielekeza macho yake katika ukusanyaji wa mapato kwa kuhakikisha wote wanaotakiwa kulipa kodi, wanafanya hivyo na kudhibiti matumizi ya fedha hizo za walipakodi.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli amwagiza Mahiga kutatua mzozo wa Burundi

Rais John Magufuli amemwagiza Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Kikanda na Mambo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Dk Augustine Mahiga kuanza kushughulikia mgogoro wa Burundi na ametaka kazi hiyo afanye kwa kushirikiana na waziri wengine kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AWASILI ZANZIBAR AKITOKEA PEMBA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU PEMBA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akitokea Kisiwani Pemba baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu.(Picha na Ikulu)

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari Diaspora Wakiondoka Zanzibar baada ya Kumaliza Zoezi la Kutoa Huduma ya Saratani ya Matiti, Kisukari na Meno.

Madaktari Diaspora Washinton wakiwa katika bandari ya Zanzibar wakijiandaa kurudi nyumbani baada ya kumaliza ratiba yao Tanzania ya kutoa hudua ya Afya kwa Wananchi wa sehemu hizo mbili wakiwa Tanzania wameletwa na Jumuiya ya Watanzania Washington wakiongozana na Rais wa Jumuiya hiyo Ndg Iddi Sandaly na Mjumbe wa Kamati Bi Asha Nyanganyi. Zanzibar walikuwa wageni swa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora Zanzibar na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ).Madaktari haio wakiwa katika bandari ya...

 

11 years ago

Habarileo

Balozi aagizwa kuboresha uhusiano

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amemtaka Balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi, Wynjones Kisamba kuhakikisha azma ya Serikali ya kuona uhusiano wake na Urusi unaimarika inafikiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

CAG aagizwa kuwasilisha ripoti ya Escrow

 Sakata la fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu (BoT), limechukua sura mpya baada ya Kamati ya Bunge ya Fedha za Mashirika ya Umma (PAC) kumwagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali(CAG) kuwasilisha taarifa ya uchunguzi wa akaunti hiyo mbele ya PAC ifikapo Oktoba 31.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani