Magufuli amwagiza Mahiga kutatua mzozo wa Burundi
Rais John Magufuli amemwagiza Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Kikanda na Mambo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Dk Augustine Mahiga kuanza kushughulikia mgogoro wa Burundi na ametaka kazi hiyo afanye kwa kushirikiana na waziri wengine kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Mabunge 2 ya Libya kutatua mzozo wa kisiasa
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/PeIb3kDSqIc/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bApp_GLve-w/VUDd3iM2m1I/AAAAAAAHUAI/3boRY6W_kaE/s72-c/2.jpg)
DKT. MAGUFULI AMWAGIZA MTENDAJI MKUU TANROADS KUKABIDHI BARABARA YA “DART”
Hayo ameyazungumza Waziri wa Ujenzi Dkt. Magufuli katika hafla uzinduzi wa barabara ya Uhuru ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam iliyofanyika leo katika viwanja vya...
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya corona: Marais wa Tanzania na Kenya wawataka viongozi wa nchi zao kutatua mzozo wa mpaka
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Viongozi wajadili mzozo wa Burundi
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mpatanishi wa mzozo wa Burundi ajiondoa
9 years ago
Habarileo21 Dec
Mahiga: Hatujaisahau Burundi
WAZIRI wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk Augustine Mahiga amesema Tanzania iko mstari wa mbele kushughulikia mgogoro unaoendelea nchini Burundi.
9 years ago
Habarileo26 Dec
Mahiga aanza kusaka suluhu Burundi
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk Augustine Mahiga, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Pierre Nkurunziza wa Jamhuri ya Burundi, kwenye Ikulu yake jijini Bujumbura.