Mahiga aanza kusaka suluhu Burundi
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk Augustine Mahiga, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Pierre Nkurunziza wa Jamhuri ya Burundi, kwenye Ikulu yake jijini Bujumbura.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo23 Dec
Magufuli aanza kusaka amani Burundi
RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Seneti na Mjumbe Maalumu wa Rais wa Burundi, Reverien Ndikuriyo Ikulu jijini Dar es Salaam kuhusu hali ya kisiasa na usalama nchini Burundi na jitihada zinazochukuliwa na Tanzania, ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
9 years ago
Habarileo21 Dec
Mahiga: Hatujaisahau Burundi
WAZIRI wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk Augustine Mahiga amesema Tanzania iko mstari wa mbele kushughulikia mgogoro unaoendelea nchini Burundi.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fwCspudNGX4/VX7pkHIWqiI/AAAAAAAA_8g/pfnJmoJF4_A/s72-c/PINDA%2B2.jpg)
WAZIRI MKUU AANZA KUSAKA WADHAMINI KATAVI
![](http://2.bp.blogspot.com/-fwCspudNGX4/VX7pkHIWqiI/AAAAAAAA_8g/pfnJmoJF4_A/s320/PINDA%2B2.jpg)
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda ameanza safari ya kusaka wadhamini kwa kuzuru Mkoa wa Katavi.
Waziri Mkuu Pinda ambaye aliwasili Mpanda jana jioni (Jumapili, Juni 14, 2015), alipokelewa na maelfu ya wakazi wa mji wa Mpanda ambao waliamua kumsindikiza kwa mchakachaka na bodaboda kutoka uwanja wa ndege hadi nyumbani kwake, Makanyagio.
Hadi mchana huu amekwishapata wadhamini 4,243 kwa kuzuru vituo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6ls9PoaplVWPmXTzPceZHrt9*OCzMvvYBJ82gw0mJc1HsoV4BiqgqlVNgTwC-gNGzdVcKQqG0E3bnN--iLuaF6/AUNT.jpg?width=650)
MIAKA 2 YA NDOA; AUNT EZEKIEL AANZA KUSAKA MTOTO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqoYxLH8vOV7Uw6zDRPehIvtfILZHGvzr7OiSvChZGRq2ekY0MHU1B3atFzN63qQjBa03hHyJNjDd4bUh0Y-MqkH/proxy.jpg?width=650)
RIDHIWANI AANZA MBIO ZA KUSAKA KURA JIMBO LA CHALINZE
9 years ago
StarTV25 Aug
Samia Suluhu Hassan aanza kumnadi Magufuli Same
Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kampeni za kumnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dokta John Pombe Magufuli na kueleza Ilani ya Chama hicho.
Mkutano wa kwanza wa mgombea huyo mwenza umeanzia katika Kijiji cha Hedaru wilayani Same mkoani Kilimanjaro ambapo wakazi wa kijiji hicho wamemweleza mgombea huyo tatizo la maji linalowakabili.
Samia Suluhu Hassan ameanza kampeni zake kwa kutembelea Hospitali ya Hedaru na kuangalia changamoto kwenye...
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Magufuli amwagiza Mahiga kutatua mzozo wa Burundi
9 years ago
TheCitizen20 Dec
Mahiga calls for talks to end Burundi bloodshed