Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIAKA 2 YA NDOA; AUNT EZEKIEL AANZA KUSAKA MTOTO

MWIGIZAJI nguli katika tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel (pichani) anadaiwa kuanza kusaka mtoto ikiwa ni miaka miwili tangu afunge ndoa na Sunday Dimonte. Muigizaji nguli wa tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel akipozi. Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Aunt, siku si nyingi staa huyo atakwenda kuweka makazi ya muda kwa mumewe Dubai hadi atakapopata ujauzito. Akizungumza na Amani hivi karibuni, rafiki huyo ambaye aliomba jina...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHEHE: AUNT EZEKIEL HANA NDOA

Stori: Gladness Mallya na Chande Abdallah
SHEIKH Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa ameweka wazi kuwa msanii nyota wa filamu, Aunt Ezekiel ambaye aliolewa na Sunday Demonte hana ndoa kutokana na kukaa mbali na mumewe kwa zaidi ya miezi sita. Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa akizungumza jambo. “Hakuna ndoa kati ya mtu yeyote ambaye amezidi miezi 6 bila kukutana na mumewe kwa mujibu wa dini ya...

 

10 years ago

GPL

MADAI YA MIMBA NJE YA NDOA, AUNT EZEKIEL AITWA BAKWATA

Na Nyemo Chilongani
MADAI! Huku zikiwa zimepita siku chache tangu igundulike kwamba muigizaji, Aunt Ezekiel kuwa na mimba ambayo inasadikiwa kuwa si ya mume wake (Sunday Demonte), ndugu wa mume huyo wameibuka na kutaka kumfikisha Bakwata (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania). Muigizaji wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel (kulia) akiwa na shosti yake Wema Sepetu. Ndugu hao ambao walizungumza na gazeti hili walidai kwamba wamesikitishwa...

 

10 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Staa wa filamu nchini, Aunt Ezekiel. Imelda Mtema, Dar es Salaam
STAA wa filamu nchini, Aunt Ezekiel amebahatika kupata mtoto wa kike kwa kujifungua salama, jana mchana katika hospitali binafsi iliyopo Mbezi jijini Dar, baada ya kufanyiwa upasuaji. Akizungumza huku akiwa mwenye furaha, Aunt alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa kila jambo kwa kuwa yeye ndiye muweza na aliyefanikisha safari yake hiyo salama, hivyo anamshukuru...

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo Ikiwa Ni 40 ya Mtoto Wake, Aunt Ezekiel Aonyesha Tattoo Yake ya Mpya ya Mgongoni

Staa wa bongo Movies, Aunt Ezekiel kupitia ukurasa wake mtandaoni ameweka picha hii akiwa  amejichora tattoo ya jina la mwanae na mpenzi wake, ikiwa leo  mtoto wake Cookie amefikisha siku 40 tangu kuzaliwa nakuandika haya kwa lugha ya kingereza;


“Reason 2 Live 2 Breath 2 Fight 2 Try 2 Dream and Succeed .To Love to hurt ,Forgetan an 4give.Reason for my existence is Her an Him Ooooooh!God blessed me with ma my amazing Gal an Boy .And am thankful ..HAPPY 40 DAYS MY WORLD.....”

Kwa tafsiri...

 

10 years ago

Dewji Blog

Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike

AUNTY35Aunt Ezekiel

Na Andrew Chale, Modewji blog

Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu  Bongo  Movie,  kujua  hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi.  staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.

Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...

 

11 years ago

GPL

BABY J YUPO KWENYE NDOA MIAKA 2 BILA MTOTO!

Baby J. ANAOMBA UCHUMBA
Baby J nakuzimia sana kwa uimbaji wako mzuri kunako gemu la muziki wa kizazi kipya Bongo, je, umeolewa? Nataka uwe mchumba wangu. Salim Liundi, Dar, 0658110395
BABY J: Asante, tayari nimeolewa. NDOA, WATOTO
Binafsi nakukubali sana Baby J ila nataka kufahamu una muda gani kwenye ndoa na je, una watoto wangapi? Amiri Salumu, Dar, 0653252416
BABY J: Ndoa yangu ina miaka miwili sasa bado sijapata watoto....

 

10 years ago

Vijimambo

DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.

· 
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...

 

10 years ago

Mtanzania

Mimba yamchosha Aunt Ezekiel

auntez ekiel4NA GEORGE KAYALA
MKALI wa filamu ya Chozi la Mwanjaa, Aunt Ezekiel, amesema kwamba anatamani kujifungua, kwani amechoshwa na mimba yake, kwa sababu imemfanya ashindwe kupata kazi ya kucheza filamu nyingine.
Akizungumza na MTANZANIA jana, msanii huyo alisema kuwa mialiko ya kucheza filamu imekata na sasa haingizi kipato chochote, badala yake pesa inatoka, hali ambayo inamfanya atamani ajifungue ili aondokane na adha hiyo.
“Siyo siri nimechoshwa na hii mimba, natamani hata leo nijifungue,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani