Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahiga: Hatujaisahau Burundi

WAZIRI wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk Augustine Mahiga amesema Tanzania iko mstari wa mbele kushughulikia mgogoro unaoendelea nchini Burundi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mahiga aanza kusaka suluhu Burundi

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk Augustine Mahiga, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Pierre Nkurunziza wa Jamhuri ya Burundi, kwenye Ikulu yake jijini Bujumbura.

 

9 years ago

TheCitizen

Mahiga calls for talks to end Burundi bloodshed

Tanzania has called for the convening of an emergency ministerial meeting to address the crisis in the East African Community (EAC) member country, Burundi, which has already impacted on the operations of the regional organisation and the integration efforts in general.

 

9 years ago

Habarileo

Balozi Mahiga afurahishwa na utulivu alioukuta Burundi

WAZIRI wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustino Maiga ameeleza kuridhishwa na hali ya utulivu aliyoikuta Burundi alipofanya ziara ya siku moja nchini humo hivi karibuni.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli amwagiza Mahiga kutatua mzozo wa Burundi

Rais John Magufuli amemwagiza Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Kikanda na Mambo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Dk Augustine Mahiga kuanza kushughulikia mgogoro wa Burundi na ametaka kazi hiyo afanye kwa kushirikiana na waziri wengine kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Mahiga abainisha mzizi wa Al Shabaab

>Wakati makundi ya kigaidi ya Al Shabaab na Boko Haram yakiendelea kuitikisa Afrika, Balozi Dk Augustine Mahiga amesema makundi hayo yalianzishwa kwa ajili ya kushambulia Afrika Mashariki, Kaskazini na Magharibi.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Mahiga kada wa 25 urais CCM

>Mwanadiplomasia mkongwe nchini, Dk Augustine Mahiga ametangaza nia ya kugombea urais na kuahidi kuimarisha misingi ya Taifa na kutengeneza mwelekeo imara wa nchi kuelekea uchumi wa kipato cha kati.

 

9 years ago

TheCitizen

Steps to a better career with Modesta Mahiga

I choose to write 32 Steps: Career Success and A Life of Significance because apart from working in human resource consulting, I have been coaching and mentoring individuals on their career for over 10 years now.

 

10 years ago

Daily News

Mahiga keen on press freedom


Mahiga keen on press freedom
Daily News
A FORMER Tanzanian permanent representative to United Nations, Dr Augustine Mahiga, has pledged to make amendments to the laws which undermine media freedom in order to promote the fourth estate, should he be declared October presidential ...

 

5 years ago

CCM Blog

GSM WAMLILIA BALOZI AUGUSTINE MAHIGA

   Mwenyekiti wa Makampuni ya GSM Tanzania Ghalib Said Mohamed ni miongoni mwa wanaomlilia Waziri wa Katiba na Sheria Marehemu Augustine Mahiga aliyefariki leo Dodoma.
Kwenye taarifa iliyotolewa na GSM GROUP, Ghalib amemuelezea Marehemu kama Mtu wa aina yake na mwenye unyenyekevu ambao sio kila mmoja anao.... “Tutakukumbuka kwa upole wako, ukarimu pamoja na unyenyekevu” - Ghalib.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani