Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Mahiga afurahishwa na utulivu alioukuta Burundi

WAZIRI wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustino Maiga ameeleza kuridhishwa na hali ya utulivu aliyoikuta Burundi alipofanya ziara ya siku moja nchini humo hivi karibuni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Balozi Mahiga akabidhiwa mikoba ya Balozi Mwapachu

Balozi Augustine Mahiga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), kuziba nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Balozi Juma Mwapachu.     

 

10 years ago

Habarileo

Balozi Seif afurahishwa na barabara ya Konde

MAKAMU wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali IddiMAKAMU wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi amesema amefurahishwa na maendeleo ya ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 30 kutoka Konde hadi Wete ambao unaendelea kwa kasi ya kuridhisha.

 

9 years ago

Habarileo

Mahiga: Hatujaisahau Burundi

WAZIRI wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk Augustine Mahiga amesema Tanzania iko mstari wa mbele kushughulikia mgogoro unaoendelea nchini Burundi.

 

9 years ago

Habarileo

Mahiga aanza kusaka suluhu Burundi

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk Augustine Mahiga, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Pierre Nkurunziza wa Jamhuri ya Burundi, kwenye Ikulu yake jijini Bujumbura.

 

9 years ago

TheCitizen

Mahiga calls for talks to end Burundi bloodshed

Tanzania has called for the convening of an emergency ministerial meeting to address the crisis in the East African Community (EAC) member country, Burundi, which has already impacted on the operations of the regional organisation and the integration efforts in general.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli amwagiza Mahiga kutatua mzozo wa Burundi

Rais John Magufuli amemwagiza Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Kikanda na Mambo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Dk Augustine Mahiga kuanza kushughulikia mgogoro wa Burundi na ametaka kazi hiyo afanye kwa kushirikiana na waziri wengine kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

 

10 years ago

Habarileo

Balozi Mahiga rasmi urais CCM

Balozi Mahiga na mkewe, Elizabeth.MWANADIPLOMASIA maarufu, Balozi Dk Augustine Mahiga ametangaza nia kukiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfikiria na hatimaye kupendekeza ili apate fursa ya kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Balozi Mahiga: Al-Shabaab ina Watanzania

BALOZI wa kudumu wa Umoja wa Mataifa, Augustine Mahiga, amesema kuwa amewashuhudia vijana wa Kitanzania wakishirikiana na kundi la kigaidi la Al-Shabaab la nchini Somalia. Mahiga, alitoa ushuhuda huo mjini...

 

5 years ago

CCM Blog

GSM WAMLILIA BALOZI AUGUSTINE MAHIGA

   Mwenyekiti wa Makampuni ya GSM Tanzania Ghalib Said Mohamed ni miongoni mwa wanaomlilia Waziri wa Katiba na Sheria Marehemu Augustine Mahiga aliyefariki leo Dodoma.
Kwenye taarifa iliyotolewa na GSM GROUP, Ghalib amemuelezea Marehemu kama Mtu wa aina yake na mwenye unyenyekevu ambao sio kila mmoja anao.... “Tutakukumbuka kwa upole wako, ukarimu pamoja na unyenyekevu” - Ghalib.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani