Balozi Mahiga afurahishwa na utulivu alioukuta Burundi
WAZIRI wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustino Maiga ameeleza kuridhishwa na hali ya utulivu aliyoikuta Burundi alipofanya ziara ya siku moja nchini humo hivi karibuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Balozi Mahiga akabidhiwa mikoba ya Balozi Mwapachu
10 years ago
Habarileo27 Dec
Balozi Seif afurahishwa na barabara ya Konde
MAKAMU wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi amesema amefurahishwa na maendeleo ya ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 30 kutoka Konde hadi Wete ambao unaendelea kwa kasi ya kuridhisha.
9 years ago
Habarileo21 Dec
Mahiga: Hatujaisahau Burundi
WAZIRI wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk Augustine Mahiga amesema Tanzania iko mstari wa mbele kushughulikia mgogoro unaoendelea nchini Burundi.
9 years ago
Habarileo26 Dec
Mahiga aanza kusaka suluhu Burundi
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk Augustine Mahiga, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Pierre Nkurunziza wa Jamhuri ya Burundi, kwenye Ikulu yake jijini Bujumbura.
9 years ago
TheCitizen20 Dec
Mahiga calls for talks to end Burundi bloodshed
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Magufuli amwagiza Mahiga kutatua mzozo wa Burundi
10 years ago
Habarileo10 Jun
Balozi Mahiga rasmi urais CCM
MWANADIPLOMASIA maarufu, Balozi Dk Augustine Mahiga ametangaza nia kukiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfikiria na hatimaye kupendekeza ili apate fursa ya kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania.
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Balozi Mahiga: Al-Shabaab ina Watanzania
BALOZI wa kudumu wa Umoja wa Mataifa, Augustine Mahiga, amesema kuwa amewashuhudia vijana wa Kitanzania wakishirikiana na kundi la kigaidi la Al-Shabaab la nchini Somalia. Mahiga, alitoa ushuhuda huo mjini...
5 years ago
CCM BlogGSM WAMLILIA BALOZI AUGUSTINE MAHIGA
Kwenye taarifa iliyotolewa na GSM GROUP, Ghalib amemuelezea Marehemu kama Mtu wa aina yake na mwenye unyenyekevu ambao sio kila mmoja anao.... “Tutakukumbuka kwa upole wako, ukarimu pamoja na unyenyekevu” - Ghalib.