Balozi Mahiga rasmi urais CCM
MWANADIPLOMASIA maarufu, Balozi Dk Augustine Mahiga ametangaza nia kukiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfikiria na hatimaye kupendekeza ili apate fursa ya kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-8yOMFizi2U0/VGy7CXQKJqI/AAAAAAAGyTI/BzIJKjdjRbo/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
BALOZI MAHIGA KISHATANGZA NIA YA URAIS CCM LEO HII
![](http://2.bp.blogspot.com/-8yOMFizi2U0/VGy7CXQKJqI/AAAAAAAGyTI/BzIJKjdjRbo/s640/unnamed%2B(61).jpg)
10 years ago
MichuziBALOZI MAHIGA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS
ALIYEKUWA Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa,Dk. Augustine Mahiga ametangaza nia ya kugombea urais ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), jijini Dar es salaam leo.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam, Mahiga amesema maadili yamemomonyoka na kufanya kuwepo kwa rushwa na ufisadi.
Mahiga amesema ubadhirifu na ufisadi katika taifa kunahitajika kuwepo kwa mwelekeo katika kuweza kupambana na vitu hivyo ili...
10 years ago
GPLBALOZI MAHIGA AJITOSA MBIO KUWANIA URAIS WA TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1mUMSKOrwpI/VbtrDmMVuYI/AAAAAAAB_Yc/gy_qS_9PwCY/s72-c/mahiga.jpg)
BALOZI DR. MAHIGA DAWA SI KUHAMA CCM ASEMA YEYE NI MKOMBOZI WA CCM IRINGA MJINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1mUMSKOrwpI/VbtrDmMVuYI/AAAAAAAB_Yc/gy_qS_9PwCY/s640/mahiga.jpg)
Na matukiodaimaBlogALIYEKUWA balozi wa kudumu wa umoja wa mataifa (UN) na mgombea urais katika mchakato wa ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) balozi Dr Augustono Mahiga anayeomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia CCM amewashangaa makada maarufu wa chama hicho walioshindwa katika mchakato wa ndani ya chama kwa nafasi ya urais kuhama chama hicho kuwa hao hawakuwa na mapenzi ya kuwatumikia watanzania na kuwa watazunguka kote ila...
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Dk Mahiga kada wa 25 urais CCM
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Balozi Mahiga akabidhiwa mikoba ya Balozi Mwapachu
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9c5*5AOU99RsYu5J3RLb2BH5udi5ixnYOxSsGlSZk6sfo-q4w9JJFImMAg*Fwk-T1qf-qsuwaOgqkQIEzYcCvqB/Mwapachu2.jpg?width=650)
BALOZI MWAPACHU ARUDISHA RASMI KADI YA CCM
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
CCM yazindua rasmi kampeni ya kugombea Urais Zanzibar
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Mgombea wa Rais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho tawala Dkt. Ali Mohamed Shein wakionesha ilanui ya Uchaguzi ya CCM jana wakati wa uzinduzi wa kampeni za Urais mbele ya umati mkubwa sana katika uwanja wa Kibandamaiti mjini Unguja.
10 years ago
MichuziBALOZI CHOKALA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS CCM
Na Chalila Kibuda,
Globu ya Jamii Mwandishi wa Habari wa Rais wa awamu ya Pili, BaloziPatrick Chokala ametangaza nia ya kugombea urais ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ili aweze kupeperusha bendera hiyo katika uchaguzi mkuu ujao mwaka huu.Akizungumza na waandishi wa habari leo...