Balozi Mahiga: Al-Shabaab ina Watanzania
BALOZI wa kudumu wa Umoja wa Mataifa, Augustine Mahiga, amesema kuwa amewashuhudia vijana wa Kitanzania wakishirikiana na kundi la kigaidi la Al-Shabaab la nchini Somalia. Mahiga, alitoa ushuhuda huo mjini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Dk Mahiga abainisha mzizi wa Al Shabaab
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Balozi Mahiga akabidhiwa mikoba ya Balozi Mwapachu
10 years ago
Habarileo10 Jun
Balozi Mahiga rasmi urais CCM
MWANADIPLOMASIA maarufu, Balozi Dk Augustine Mahiga ametangaza nia kukiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfikiria na hatimaye kupendekeza ili apate fursa ya kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania.
5 years ago
CCM BlogGSM WAMLILIA BALOZI AUGUSTINE MAHIGA
Kwenye taarifa iliyotolewa na GSM GROUP, Ghalib amemuelezea Marehemu kama Mtu wa aina yake na mwenye unyenyekevu ambao sio kila mmoja anao.... “Tutakukumbuka kwa upole wako, ukarimu pamoja na unyenyekevu” - Ghalib.
10 years ago
Mwananchi08 Jul
‘Balozi Mahiga alikuwa hodari tangu shuleni’
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/Sa8G84KcWmc/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nEixCLiFH1U/Xq0qJ3MYafI/AAAAAAALo0k/bzvnR3GNswUX8Y7B4CkzyfPSV_aU3ld7ACLcBGAsYHQ/s72-c/Balozi_Augustine_Mahiga-1-750x375.jpg)
WASIFU WA MAREHEMU BALOZI DKT AUGUSTINE MAHIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nEixCLiFH1U/Xq0qJ3MYafI/AAAAAAALo0k/bzvnR3GNswUX8Y7B4CkzyfPSV_aU3ld7ACLcBGAsYHQ/s640/Balozi_Augustine_Mahiga-1-750x375.jpg)
10 years ago
MichuziBALOZI MAHIGA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS
ALIYEKUWA Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa,Dk. Augustine Mahiga ametangaza nia ya kugombea urais ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), jijini Dar es salaam leo.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam, Mahiga amesema maadili yamemomonyoka na kufanya kuwepo kwa rushwa na ufisadi.
Mahiga amesema ubadhirifu na ufisadi katika taifa kunahitajika kuwepo kwa mwelekeo katika kuweza kupambana na vitu hivyo ili...
9 years ago
Habarileo28 Dec
Balozi Mahiga afurahishwa na utulivu alioukuta Burundi
WAZIRI wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustino Maiga ameeleza kuridhishwa na hali ya utulivu aliyoikuta Burundi alipofanya ziara ya siku moja nchini humo hivi karibuni.