‘Balozi Mahiga alikuwa hodari tangu shuleni’
Balozi Augustino Mahiga ni miongoni mwa makada wa CCM ambao wamejitokeza kutangaza na kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu ujao kupitia chama hicho tawala.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wxMH2VYl_48/XqxnC8yAMHI/AAAAAAALozI/Uwu15-cIXj4J7xqQhu3Z2hdYklT-5NpUQCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
PROFESA KABUDI AMLILIA BALOZI DK.MAHIGA...AELEZA ALIVYOMFAHAMU TANGU MIAKA YA 1970, PIGO KWA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wxMH2VYl_48/XqxnC8yAMHI/AAAAAAALozI/Uwu15-cIXj4J7xqQhu3Z2hdYklT-5NpUQCLcBGAsYHQ/s400/unnamed.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa John Kabudi amesema amepokea kwa masikitiko makubwa ,majonzi na mfadhahiko mkubwa taarifa za kufariki Dunia kwa Balozi Dk.Agustine Mahiga huku akieleza kuwa Tanzania imempoteza mwana halisi wa Tanzania na mzalendo aliyeitumikia nchi kwa moyo na akili zake zote.
Balozi Dk.Mahiga amefariki Dunia leo Mei 1, mwaka 2020 na kifo chake kimeishtua Mataifa mbalimbali kutokana na mchango wake mkubwa kwenye eneo...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Balozi Mahiga akabidhiwa mikoba ya Balozi Mwapachu
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Balozi Mahiga: Al-Shabaab ina Watanzania
BALOZI wa kudumu wa Umoja wa Mataifa, Augustine Mahiga, amesema kuwa amewashuhudia vijana wa Kitanzania wakishirikiana na kundi la kigaidi la Al-Shabaab la nchini Somalia. Mahiga, alitoa ushuhuda huo mjini...
10 years ago
Habarileo10 Jun
Balozi Mahiga rasmi urais CCM
MWANADIPLOMASIA maarufu, Balozi Dk Augustine Mahiga ametangaza nia kukiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfikiria na hatimaye kupendekeza ili apate fursa ya kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania.
5 years ago
CCM BlogGSM WAMLILIA BALOZI AUGUSTINE MAHIGA
Kwenye taarifa iliyotolewa na GSM GROUP, Ghalib amemuelezea Marehemu kama Mtu wa aina yake na mwenye unyenyekevu ambao sio kila mmoja anao.... “Tutakukumbuka kwa upole wako, ukarimu pamoja na unyenyekevu” - Ghalib.
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/kK2UgKq1Pm8/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nEixCLiFH1U/Xq0qJ3MYafI/AAAAAAALo0k/bzvnR3GNswUX8Y7B4CkzyfPSV_aU3ld7ACLcBGAsYHQ/s72-c/Balozi_Augustine_Mahiga-1-750x375.jpg)
WASIFU WA MAREHEMU BALOZI DKT AUGUSTINE MAHIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nEixCLiFH1U/Xq0qJ3MYafI/AAAAAAALo0k/bzvnR3GNswUX8Y7B4CkzyfPSV_aU3ld7ACLcBGAsYHQ/s640/Balozi_Augustine_Mahiga-1-750x375.jpg)
10 years ago
Mwananchi02 May
Dk Augustine Mahiga, balozi mstaafu Umoja wa Mataifa
10 years ago
MichuziBALOZI MAHIGA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS
ALIYEKUWA Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa,Dk. Augustine Mahiga ametangaza nia ya kugombea urais ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), jijini Dar es salaam leo.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam, Mahiga amesema maadili yamemomonyoka na kufanya kuwepo kwa rushwa na ufisadi.
Mahiga amesema ubadhirifu na ufisadi katika taifa kunahitajika kuwepo kwa mwelekeo katika kuweza kupambana na vitu hivyo ili...