Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Mahiga abainisha mzizi wa Al Shabaab

>Wakati makundi ya kigaidi ya Al Shabaab na Boko Haram yakiendelea kuitikisa Afrika, Balozi Dk Augustine Mahiga amesema makundi hayo yalianzishwa kwa ajili ya kushambulia Afrika Mashariki, Kaskazini na Magharibi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi Mahiga: Al-Shabaab ina Watanzania

BALOZI wa kudumu wa Umoja wa Mataifa, Augustine Mahiga, amesema kuwa amewashuhudia vijana wa Kitanzania wakishirikiana na kundi la kigaidi la Al-Shabaab la nchini Somalia. Mahiga, alitoa ushuhuda huo mjini...

 

10 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI KAMALA ABAINISHA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI ZINAZIPATIKANA TANZANIA

Balozi wa Tanzania Ubelegiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akibainisha fursa za biashara na uwekezaji zinazopatikana Tanzania katika Kongamano la Biashara na Uwekezaji linalofanyika Genval Ubeligiji.

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI SAMIA SULUHU HASSAN ABAINISHA UMUHIMU WA ZIWA TANGANYIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais  (Muungano),Mhe. Samia Suluhu Hassan (wa pili kulia) akihutubia Mkutano wa Mawaziri na Wadau wa Ziwa Tanganyika. Mhe Waziri Samia amezishauri nchi Wanachama zilizo katika Bonde la Ziwa Tanganyika kuunganisha nguvu zao kulinda Ziwa Tanganyika kwa manufaa ya kiuchumi na kiusalama ya nchi hizo. Kikao cha Wadau wa Ziwa Tanganyika kimefanyika leo Bujumbura katika Hoteli ya Ziwa Tanganyika.

 

10 years ago

Vijimambo

Kitila abainisha madhaifu mawili ya Zitto Kabwe Katika Uongozi


Prof anachambua pamoja na mambo mengine , madhaifu ya Zitto Kabwe na kushauri apatiwe mda wa kujirekebisha aweze kuwa kiongozi wa kitaifa, mapungufu hayo kwa maneno yake mwenyewe Proffessor:Pengine udhaifu mkubwa wa Zitto kama kiongozi upo katika maeneo makubwa mawili.Kwanza, ni kushindwa kupima maana na matokeo mapana ya kauli zake kabla hajazitoa. Mara kadhaa Zitto amekuwa akitoa kauli ambazo huacha ukakasi mkubwa katika jamii.
Kwa mfano, akiwa katika kampeni za ubunge mwaka 2010 alitangaza...

 

11 years ago

Michuzi

SAKATA LA NYOKA AINA YA CHATU ARUSHA MUHUSIKA ABAINISHA UKWELI WA MAMBO

 Pichani ni Bw.Joseph Magessa aliyetuhumiwa hivi karibuni na tukio la Nyoka aina ya Chatu.  SAKATA la kukutwa na chatu  eneo la sakina katika nyumba ya Joseph Magessa limechukua sura mpya baada ya  mhusika kuhojiwa na mtandao wa jamiiblog huu kuhusiana na tukio hilo.   Aidha chatu huyo ambaye alikutwa  nyumbani kwa mmiliki huyo hivi karibuni imeelezwa tuhuma hizo sio za kweli bali ni njama za kumuharibia tu na tukio hilo ni la kutengenezwa na watu kwa lengo la kumchafulia jina...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA ABAINISHA TAARIFA YA UZALISHAJI WA KOROSHO, SERIKALI YAINGIZA ZAIDI YA TRILIONI 3.3

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akitoa taarifa ya miaka minne ya uzalishaji wa zao la Korosho nchini ambapo amebainisha kuwa uzalishaji umeongezeka maradufu. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)
Na Mathias Canal, Wizara ya KilimoWAZIRI wa Kilimo, Japhet Hasunga (Mb) ametoa taarifa ya uzalishaji wa zao la Korosho katika kipindi cha miaka minne ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli ambapo amebainisha kuwa uzalishaji...

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA ABAINISHA MTAZAMO MPYA WA USHIRIKIANO KATI YA AFRIKA, KARIBIANI, PASIFIKI NA JUMUIYA YA ULAYA

Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pasifiki (ACP) Dr. Diodorus Buberwa Kamala akihutubia wadau wa ushirikiano kati ya nchi za ACP na Jumuiya ya Ulaya. Balozi Kamala alisisitiza umuhimu wa nchi za ACP na Jumuiya ya Ulaya kushirikiana katika kujenga uchumi, kukuza na kutumia teknolojia kuharakisha maendeleo na kuweka mazingira mazuri ya kufanya biashara yenye kunufaisha pande zote. Wadau wa ushirikiano wa ACP na Jumuiya ya Ulaya...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS JOHN MAGUFULI ABAINISHA KAYA HEWA 73,5621 ZILIVYOTAFUNA YA FEDHA ZA TASAF , ATOA ONYO KALI


*Ataja  Wilaya  zilizoongoza kwa kuwa na kaya hewa, pia zilizofanikiwa kudhibiti 
*Azindua awamu ya tatu ya TASAF, ataja watakaonufaika wamo wazee, walemavu
 Na Said Mwishehe,Michuzi Globu.
RAIS Dk.John Magufuli amesema pamoja na mafanikio makubwa ambayo yamepatikana nchini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) bado kumekuwepo na changamoto nyingi ikiwemo ya kubainika kwa fedha za mfuko huo ambazo zilikuwa zinalipa kaya hewa 73,5621 huku akitoa onyo kwa kali kwa watakaobainika kufuja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani