Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAKATA LA NYOKA AINA YA CHATU ARUSHA MUHUSIKA ABAINISHA UKWELI WA MAMBO

 Pichani ni Bw.Joseph Magessa aliyetuhumiwa hivi karibuni na tukio la Nyoka aina ya Chatu.  SAKATA la kukutwa na chatu  eneo la sakina katika nyumba ya Joseph Magessa limechukua sura mpya baada ya  mhusika kuhojiwa na mtandao wa jamiiblog huu kuhusiana na tukio hilo.   Aidha chatu huyo ambaye alikutwa  nyumbani kwa mmiliki huyo hivi karibuni imeelezwa tuhuma hizo sio za kweli bali ni njama za kumuharibia tu na tukio hilo ni la kutengenezwa na watu kwa lengo la kumchafulia jina...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

SAKATA LA CHATU


‘Mzee wa Kanisa’  aibua siri mpya

Amkana chatu, adai ni njama za majirani Mke adai mumuwe ni msafi si mshirikina
SHAABAN MDOE NA LILIAN JOEL, ARUSHA
MFANYABIASHARA Joseph Magesa anayedaiwa kufuga nyoka aina ya Chatu nyumbani kwake, ameibua mapya kwa kudai kuwa hahusiki naye.
Pia, amedai kuwa hizo zinaweza kuwa njama za majirani zake, zilizolenga kumchafua na kwamba, suala hilo amemwachia Mungu kwani ndiye ajuaye ukweli.
Magesa, ambaye alikuwa akijitambulisha kuwa ni Mzee wa Kanisa Katoliki...

 

10 years ago

Vijimambo

Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo


Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Amezwa na Nyoka aina ya Anaconda

Watu nchini Marekani wameelezea ghadhabu kufuatia utafiti wa mtaalamu wa wanyamapori Paul Roslie kumezwa na Nyoka aina ya Anaconda ili kuchunguza maumbile ya ndani ya Nyoka huyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Utata waibuka ukweli sakata la mgombea wa ACT kutekwa

Jeshi la polisi mkoani Simiyu linamhoji mgombea  ubunge Jimbo la Bariadi kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Masunga Nghonzo kwa madai ya kutekwa na watu wasiojulikana katika mji wa Bariadi.

 

11 years ago

GPL

CHATU MKUBWA AUAWA ARUSHA JIONI HII, AFUNGWA KITAMBAA CHENYE MANENO YA KIARABU!

     Chatu akiwa anatambaa pembeni ya ukuta kuingia ndani ya nyumba hiyo huku wananchi wakimshangaa…

 

11 years ago

CloudsFM

CHATU AZUA KIZAAZAA ARUSHA AINGIA KWENYE NYUMBA YA MTU AKUTWA AMEFUNGWA KITAMBAA CHEUPE

Wakazi wa eneo la Sakina mkoani Arusha siku ya jana walipatwa na mshtuko mkubwa baada ya kuona chatu akiwa anaingia ndani ya nyuma ya jirani yao huku akiwa amefungwa kitambaa kilichokuwa na maandishi mekundu yasiyoeleweka mkiani mwake.Hiki ndicho kitambaa alichokutwa nacho chatu huyo.Source:Arusha Yetu

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA NYOKA NI NYOKA TUUUUU LeBron James Jr.



Jitiririshe na video hii na utakubari usemi wa mtoto wa nyoka ni nyoka jinsi mtoto wa LeBron James jersey number 0 {LeBron James Jr} alivyo na kipaji kama baba yake. The apple never falls far from the tree.

 

10 years ago

BBCSwahili

Senegal vs Ghana:Ukweli wa mambo

Senegal wameshindwa kushinda michuano mitatu ya mechi za kombe la mataifa ya afrika dhidi ya Ghana.

 

10 years ago

BBCSwahili

I Coast vs Guinea:Ukweli wa mambo

Hakuna mchezaji ambaye ametoa usaidizi wa mabao katika michuano ya mataifa ya Afrika tangu mwaka 2010 kama Yaya Toure

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani