SAKATA LA CHATU
‘Mzee wa Kanisa’ aibua siri mpya
Amkana chatu, adai ni njama za majirani
Mke adai mumuwe ni msafi si mshirikina
SHAABAN MDOE NA LILIAN JOEL, ARUSHA
MFANYABIASHARA Joseph Magesa anayedaiwa kufuga nyoka aina ya Chatu nyumbani kwake, ameibua mapya kwa kudai kuwa hahusiki naye.
Pia, amedai kuwa hizo zinaweza kuwa njama za majirani zake, zilizolenga kumchafua na kwamba, suala hilo amemwachia Mungu kwani ndiye ajuaye ukweli.
Magesa, ambaye alikuwa akijitambulisha kuwa ni Mzee wa Kanisa Katoliki...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3X5AVOcXYC0/U6QEzRnh1bI/AAAAAAAFr7A/Qe61SjLophI/s72-c/magessa.jpg)
SAKATA LA NYOKA AINA YA CHATU ARUSHA MUHUSIKA ABAINISHA UKWELI WA MAMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-3X5AVOcXYC0/U6QEzRnh1bI/AAAAAAAFr7A/Qe61SjLophI/s1600/magessa.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s72-c/1.jpg)
Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s1600/1.jpg)
Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lNx5el8syPvlbPqNbDkSWXDMVdzmv7Ze4AmYKLm0XK3W1ywG22g12t2vlTt9M3KGPIYLmuOA-aZ2EXdNOOZ486h/FRONTAMANI.jpg)
MWANAMKE DAR AJIFUNGUA CHATU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBAGAPHLlPZrpHStidnt23kPa5gvULAZZqH-g2NqW13jYmoFwhVPRJDD2kJNVMF8zCd2aFleTqbGe8QHUU1xaNI/1406194043645_wps_2_EXCLUSIVE_GUJARAT_INDIA_U.jpg)
CHATU AMEZA MTOTO WA SWALA INDIA
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
CHATU KUKUTWA KWA MZEE WA KANISA....
SHAABAN MDOE NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SAKATA la kukutwa kwa myoka aina ya chatu ndani ya nyumba ya mzee wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Arusha Parokia ya Mtakatifu Monica, Joseph Magesa, limechukua sura mpya baada ya Kikosi Dhidi ya Ujangili (KDU) Kanda ya Kaskazini kuanza uchunguzi ili kubaini iwapo kama alikuwa akimilikiwa kihalali.
Akizungumza na UUHURU WIKENDI ofisini kwake jana, Kamanda wa kikosi hicho, Paschal Mrina, alisema uchunguzi huo umeanza mara moja, muda mfupi baada ya kupokea...
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Chatu amshinda Mamba Nguvu Australia
11 years ago
Michuzi21 May
namna ambavyo Chatu aliweza kukamatwa jijini Mbeya
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/kCD1RyNrIhCbV3uyd_fgsPkiVRM8jGa9inJLLo7G8tUNhHWGxdE8PYq91ytIz1e6QZ7k-7evpSVk7gRnPG3eOh7U7JQP0t9JzJMVH0irjYkZZ3ZLGa53m_LF-PMEE-5vLhaLe3vopS0ewhWzMAmpmtE0Y8FEOxTC7e0-q_l_t1dXNDxw1hdkMaMBH021ShPoqsYs1Bq3uKm4_2ghrLweUvf_CHEthwAYE6R-OrKeMw6vPaGtVx7ZJGEEXNrcESw8Ky06UXoFroim-o8TbvHxKHeIpj461IApVGXc_flBVpHXd7Cg-w985-nb5m73D6ckzXoKp0IpQFO8yfdms6w4eph4ANljIEE=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-ig9XzgE-fNE%2FU3syU324WbI%2FAAAAAAAAFAE%2FkhwHQKAsLew%2Fs1600%2F20140520_104654.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vAHkh7qvW7bFt1NpQWAoZcByg1C4Fy2nNAkBpx4Cm1oXCS571xu0ECvmrDbMBgk2I0siTBAsACib4Uj3hj4mtDq/1.jpg?width=650)
HOFU: CHATU AMMEZA MBUZI MZIMAMZIMA, WANAKIJIJI WAPIGWA BUTWAA