HOFU: CHATU AMMEZA MBUZI MZIMAMZIMA, WANAKIJIJI WAPIGWA BUTWAA
![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vAHkh7qvW7bFt1NpQWAoZcByg1C4Fy2nNAkBpx4Cm1oXCS571xu0ECvmrDbMBgk2I0siTBAsACib4Uj3hj4mtDq/1.jpg?width=650)
Chatu akimmeza mbuzi katika Kijiji cha Garkhuta, India. TUKIO la chatu mwenye urefu wa futi 10 akimmeza mbuzi mzimamzima limewatia hofu wakazi wa Kijiji cha Garkhuta kilichopo Magharibi mwa Bengal nchini India. Tukio hilo lilinaswa na Mpigapicha, Roni Choudhury hivi karibuni wakati akitembea jirani na Hifadhi ya Msitu wa Sonakhali nchini India. Kitendo hicho kiliwafanya wanakijiji waingiwe… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qvExWd4vz5Q/VckOPeSODEI/AAAAAAAAcO4/Y15_wybsc-s/s72-c/IMG-20150810-WA0020.jpg)
WASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qvExWd4vz5Q/VckOPeSODEI/AAAAAAAAcO4/Y15_wybsc-s/s640/IMG-20150810-WA0020.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UdmRQchvpo8/VckOQ4MHqmI/AAAAAAAAcPM/qXNNJVdOGmM/s640/IMG-20150810-WA0026.jpg)
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Kamati ya Bunge yapigwa butwaa
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Kocha Phiri apigwa butwaa
9 years ago
Habarileo14 Oct
Serikali yapigwa butwaa uzushi siku ya uchaguzi
SERIKALI imeeleza kushangazwa na uzushi kwamba siku ya uchaguzi mkuu, data za mawasiliano pamoja na umeme vitazimwa, jambo ambalo imetaka wananchi kupuuza taarifa hizo potofu.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
SAKATA LA CHATU
‘Mzee wa Kanisa’ aibua siri mpya
Amkana chatu, adai ni njama za majirani Mke adai mumuwe ni msafi si mshirikina
SHAABAN MDOE NA LILIAN JOEL, ARUSHA
MFANYABIASHARA Joseph Magesa anayedaiwa kufuga nyoka aina ya Chatu nyumbani kwake, ameibua mapya kwa kudai kuwa hahusiki naye.
Pia, amedai kuwa hizo zinaweza kuwa njama za majirani zake, zilizolenga kumchafua na kwamba, suala hilo amemwachia Mungu kwani ndiye ajuaye ukweli.
Magesa, ambaye alikuwa akijitambulisha kuwa ni Mzee wa Kanisa Katoliki...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vc-Hp_q2Pvo/VgLoinxzQjI/AAAAAAAH69Y/WJAZRI4Rd_4/s72-c/_MG_9597.jpg)
MAGUFULI APIGWA NA BUTWAA NYOMI LA GEITA, AAHIDI KUSHUGHULIKIA MATATIZO YA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-vc-Hp_q2Pvo/VgLoinxzQjI/AAAAAAAH69Y/WJAZRI4Rd_4/s640/_MG_9597.jpg)
Mgombea Urais Huyo amewaambia wananchi wa Geita kuwa mara atakapoingia Ikulu, moja ya changamoto anazotarajiwa kuzipa kipaumbele ni pamoja na suala la kutatua mgogoro wa wachimbaji madini wadogo wadogo.
Magufuli ameasema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lNx5el8syPvlbPqNbDkSWXDMVdzmv7Ze4AmYKLm0XK3W1ywG22g12t2vlTt9M3KGPIYLmuOA-aZ2EXdNOOZ486h/FRONTAMANI.jpg)
MWANAMKE DAR AJIFUNGUA CHATU!
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
CHATU KUKUTWA KWA MZEE WA KANISA....
SHAABAN MDOE NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SAKATA la kukutwa kwa myoka aina ya chatu ndani ya nyumba ya mzee wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Arusha Parokia ya Mtakatifu Monica, Joseph Magesa, limechukua sura mpya baada ya Kikosi Dhidi ya Ujangili (KDU) Kanda ya Kaskazini kuanza uchunguzi ili kubaini iwapo kama alikuwa akimilikiwa kihalali.
Akizungumza na UUHURU WIKENDI ofisini kwake jana, Kamanda wa kikosi hicho, Paschal Mrina, alisema uchunguzi huo umeanza mara moja, muda mfupi baada ya kupokea...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBAGAPHLlPZrpHStidnt23kPa5gvULAZZqH-g2NqW13jYmoFwhVPRJDD2kJNVMF8zCd2aFleTqbGe8QHUU1xaNI/1406194043645_wps_2_EXCLUSIVE_GUJARAT_INDIA_U.jpg)
CHATU AMEZA MTOTO WA SWALA INDIA