Kocha Phiri apigwa butwaa
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amesema soka la Tanzania limejaa siasa hivyo amewaachia viongozi wa timu hiyo kuamua ni mchezaji gani wa kigeni anafaa kuachwa baada ya kusajiliwa mshambuliaji Emmanuel Okwi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MAGUFULI APIGWA NA BUTWAA NYOMI LA GEITA, AAHIDI KUSHUGHULIKIA MATATIZO YA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI

Mgombea Urais Huyo amewaambia wananchi wa Geita kuwa mara atakapoingia Ikulu, moja ya changamoto anazotarajiwa kuzipa kipaumbele ni pamoja na suala la kutatua mgogoro wa wachimbaji madini wadogo wadogo.
Magufuli ameasema...
11 years ago
Mwananchi02 Sep
Kocha Phiri amtuliza Mosoti
Ingawa bado haijatangazwa rasmi kuondolewa kwa beki wa Simba, Donald Mosoti katika kikosi hicho, kocha wake, Patrick Phiri amesema ameanza kumjenga kisaikolojia ili aone ni suala la kawaida na maisha ya soka yapo popote.
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Kocha Phiri ajitwisha zigo la lawama
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuacha kumsakama kipa Ivo Mapunda na kutaka lawama zote abebeshwe yeye kwani yupo tayari kuwajibika.
11 years ago
Mwananchi04 Nov
Phiri: Mimi bado kocha bora
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amesema yeye ni kocha bora licha ya timu yake kupata sare sita msimu huu na kama atafukuzwa, basi ni kwa utashi wa viongozi wa klabu hiyo.
11 years ago
Mwananchi10 Oct
Amri Said amkingia kifua kocha Phiri
Beki wa zamani wa Simba, Amri Said amewataka mashabiki na viongozi wa timu hiyo kumpa muda wa kutosha kocha Patrick Phiri kwani anaamini kuwa timu hiyo ina nafasi bado ya kutwaa ubingwa.
10 years ago
MichuziKibadeni ampa mawaidha Kocha Phiri wa Simba
Kibadeni alisema Simba wana nafasi kubwa ya kutetea ushindi wao, lakini wanachotakiwa kuzingatia ni kwenye safu hizo mbili ili waweze kuzuia mashambulizi ya wapinzani wao, vinginevyo itawawia ngumu.
"Mechi hiyo itakuwa ngumu kwa...
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Kocha apigwa marufuku na Caf kwa kutusi refa
Kocha wa Guinea-Bissau Paulo Torres amepigwa marufuku kwa mechi zilizosalia zaza Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2017 kwa kumtusi refa.
11 years ago
Michuzi
kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC

Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Kamati ya Bunge yapigwa butwaa
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala imebaini kwamba Idara ya Mahakama katika bajeti ya mwaka 2013/14 imepewa Sh5 bilioni tu kati ya Sh43 bilioni zilizotengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania