Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC

Na Bin ZubeiryMazungumzo yamekwishanyika na makubaliano yamefikiwa baina ya Patrick Phiri kutoka Zambia (pichani)  na Simba SC na sasa atakuja kufanya kazi tena Msimbazi, akisaidiwa na Nahodha wake enzi zake akifundisha timu hiyo, Suleiman Abdallah Matola ‘Osama’.

Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Patrick Phiri kutua leo nchini

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mpya wa Simba, Patrick Phiri, anatarajia kutua leo nchini na kukabidhiwa mikoba ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mcroatia Zdravko Logarusic, aliyefungashiwa virago vyake mwishoni mwa wiki iliyopita.

Phiri anatarajia kuwasili majira ya saa 8 mchana kwa ndege ya Shirika la Ndege la Fastjet akitokea nchini kwao Zambia.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, alithibitisha ujio wa kocha huyo leo,...

 

9 years ago

Habarileo

Ndayisenga yuko tayari kutua Simba

MSHAMBULIAJI wa Burundi, Kevin Ndayisenga amesema kwamba yuko tayari kurejea Simba wakati wowote iwapo timu hiyo itafikia makubaliano na meneja wake, Dennis Kadito.

 

10 years ago

Michuzi

Kibadeni ampa mawaidha Kocha Phiri wa Simba

ZIKIWA zimesalia siku nne  kufikia mpambano  wa  nani mtani jembe kati ya watani wa jadi  Simba na Yanga,  Kocha wa zamani wa kikosi cha Wanamsimbazi Abdallah Kibadeni, amemshauri  kocha mkuu  wa timu ya Simba Patrick Phiri kuimarisha safu ya ushambuliaji na ulinzi.
Kibadeni alisema Simba wana nafasi kubwa ya kutetea ushindi wao, lakini  wanachotakiwa kuzingatia ni kwenye safu hizo mbili ili waweze kuzuia mashambulizi ya wapinzani wao, vinginevyo itawawia ngumu.
"Mechi hiyo itakuwa ngumu kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Patrick Phiri: Tutaponea kwa Yanga

KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia Patrick Phiri,amesema mechi yao dhidi ya Yanga itakayopigwa Oktoba 18, ndio itakuwa kipimo cha mwisho kwao kwa msimu huu. Kauli hiyo ya Phiri ni kutokana...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA KUTUA LEO NCHINI, TAYARI KWA SHOO YAKE JUMAMOSI HII DAR LIVE

Baadhi ya wanamuziki wa Malaika Music Band wakipozi kwa picha wakati wakimsubiri Bella kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo. Wanamuziki wa Malaika Music Band wakipozi na Mwandishi wa tovuti hii, Gabriel Ng'osha. PREZIDAA wa Malaika Music Band, Christian Bella, anatarajiwa kutua jijini Dar muda wowote kuanzia sasa akitokea nchini Sweden. Baadhi ya mashabiki pamoja na wasanii wenzake wa… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Patrick Qorro afariki dunia Dar es Salaam

>Aliyekuwa Mbunge wa Karatu na waziri mdogo kwa umri Wizara ya Kilimo na Ushirika Serikali ya awamu ya kwanza, Patrick Qorro (72) amefariki dunia usiku wa kuamkia juzi baada ya kuugua kwa muda mfupi Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

Kocha Mbelgiji ajitolea kuinoa Yanga

Kocha Luc Eymael raia wa Ubelgiji. Na Hans Mloli
SAA chache baada ya kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm kuweka wazi kwamba hataendelea kuinoa timu hiyo msimu ujao, tayari Kocha Luc Eymael raia wa Ubelgiji ametangaza kuwa yupo tayari kuchukua mikoba ya Mholanzi huyo. Pluijm amemaliza mkataba wake wa miezi sita na jana alitangaza kutimkia Saudi Arabia alikopata ofa nzuri zaidi kuinoa Al Shoala SC inayoshiriki ligi kuu...

 

10 years ago

GPL

YANGA YAMGOMEA KOCHA WAKE KUINOA STARS

Kocha msaidi wa klabu ya Yanga Charles Boniface Mkwassa. Na Phillip Nkini KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewekewa ngumu na Klabu ya Yanga, baada ya Wanajangwani hao kumgomea kocha wao kuifundisha Taifa Stars. Juzi kamati hiyo ilimtimua aliyekuwa Kocha Mkuu wa Stars, Mart Nooij, baada ya kulala kwa mabao 3-0 kutoka kwa timu ya taifa ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Afrika kwa Wachezaji wa Ndani...

 

9 years ago

Michuzi

KOCHA KIBADENI KUANZA KUINOA KILIMANJARO STARS

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha mkuu wa timu wa Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Star’ akisaidiwa na Juma Mgunda kuelekea katika michuano ya CECAFA Chelenji itakayoanza kutimua vumbi Novemba 21 mjii Addis Ababa, Ethiopia.
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi zingine zinazoshiriki michuano hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani