Ndayisenga yuko tayari kutua Simba
MSHAMBULIAJI wa Burundi, Kevin Ndayisenga amesema kwamba yuko tayari kurejea Simba wakati wowote iwapo timu hiyo itafikia makubaliano na meneja wake, Dennis Kadito.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC

Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Rummenigge:Blatter yuko tayari kubadilika
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Miliband asema yuko tayari kuongoza
10 years ago
StarTV14 Apr
Miliband asema yuko tayari kumrithi David Cameron.
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Labour nchini Uingereza, Ed Miliband amesema chama cha Labour kitabadili namna nchi inavyoendeshwa na nani wa kuiendesha.”
Miliband amesema hayo wakati akizindua ilani ya uchaguzi ya chama hicho.
Amesema amepimwa kama kiongozi wa upinzani na yuko tayari kwa wadhifa huo, Bwana Miliband amesema chama cha Labour kitakuwa “chama cha mabadiliko na uwajibikaji”.
Amekataa “orodha ya mapendekezo”, yakihakikisha kuwa sera zote hazitahitaji ukopaji wa ziada.
Lakini...
11 years ago
Mwananchi31 Jul
JOTO 2015: Mrema asema yuko tayari kumkabili Mbatia
11 years ago
Michuzi26 Feb
SHEPOLOPPOLO KUTUA NCHINI KESHO TAYARI KUIKABILI TWIGA STARS KESHOKUTWA

10 years ago
GPL
CHRISTIAN BELLA KUTUA LEO NCHINI, TAYARI KWA SHOO YAKE JUMAMOSI HII DAR LIVE
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Olunga mashakani kutua Simba
*Gor Mahia wataja dau kubwa, Kerr asema hajaona alichofanya Chalenji
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MPANGO wa klabu ya Simba kumnasa Straika wa Gor Mahia, Michael Olunga, umeingia mushkeli baada ya klabu yake kuitaka Simba ilipe dola 200,000 (zaidi ya Sh milioni 400 za Tanzania), kitu ambacho ni kigumu kwa klabu ya Wekundu hao wa Msimbazi kulipa kwa sasa.
Simba ilianza kumfukuzia Olunga tangu kwenye michuano ya Kagame, iliyofanyika hapa nchini kwa Azam kuwa mabingwa, lakini walishindwa...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Nyota Senegal kutua Simba