JOTO 2015: Mrema asema yuko tayari kumkabili Mbatia
Mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema (TLP) amesema amejiandaa kuingia ‘vitani’ na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia ambaye ametangaza kuwania ubunge katika jimbo hilo, mwaka 2015.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Miliband asema yuko tayari kuongoza
10 years ago
StarTV14 Apr
Miliband asema yuko tayari kumrithi David Cameron.
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Labour nchini Uingereza, Ed Miliband amesema chama cha Labour kitabadili namna nchi inavyoendeshwa na nani wa kuiendesha.”
Miliband amesema hayo wakati akizindua ilani ya uchaguzi ya chama hicho.
Amesema amepimwa kama kiongozi wa upinzani na yuko tayari kwa wadhifa huo, Bwana Miliband amesema chama cha Labour kitakuwa “chama cha mabadiliko na uwajibikaji”.
Amekataa “orodha ya mapendekezo”, yakihakikisha kuwa sera zote hazitahitaji ukopaji wa ziada.
Lakini...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/q_bdzhEEess/default.jpg)
10 years ago
TheCitizen24 Apr
Mrema hits at Mbatia
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Vita ya Mbatia, Mrema yaiva
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/54mXxYXIjno/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Mrema amlilia JK amfukuze Mbatia
KATIKA hali ya kutapatapa kisiasa, Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP), amemshtaki kwa Rais Jakaya Kikwete, Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), akitaka ang’olewe ubunge. Mrema, alitoa kituko hicho juzi...
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Vita ya Mrema, Mbatia sasa moto
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Mrema awatambia Ukawa, amwonya Mbatia