Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miliband asema yuko tayari kumrithi David Cameron.

Kiongozi wa chama cha upinzani cha Labour nchini Uingereza, Ed Miliband amesema chama cha Labour kitabadili namna nchi inavyoendeshwa na nani wa kuiendesha.”

Miliband amesema hayo wakati akizindua ilani ya uchaguzi ya chama hicho.

Amesema amepimwa kama kiongozi wa upinzani na yuko tayari kwa wadhifa huo, Bwana Miliband amesema chama cha Labour kitakuwa “chama cha mabadiliko na uwajibikaji”.

Amekataa “orodha ya mapendekezo”, yakihakikisha kuwa sera zote hazitahitaji ukopaji wa ziada.

Lakini...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Miliband asema yuko tayari kuongoza

Kiongozi wa chama cha Labour nchini Uingereza Ed Miliband amesema chama chake kitabadili namna nchi inavyoendeshwa

 

11 years ago

Mwananchi

JOTO 2015: Mrema asema yuko tayari kumkabili Mbatia

Mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema (TLP) amesema amejiandaa kuingia ‘vitani’ na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia ambaye ametangaza kuwania ubunge katika jimbo hilo, mwaka 2015.

 

9 years ago

BBCSwahili

David Miliband alia na Boko Haram

David Miliband,amesema mgogoro wa kibinaadamu kaskazini-mashariki mwa Nigeria haupewi uzito unaostahili na jamii ya kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

David Cameron: Awamu mbili zatosha!!

Waziri mkuu wa Uingereza, hataendelea tena na wadhfa wake huo, iwapo atarudi madarakani katika uchaguzi mkuu wa mwezi Mei.

 

10 years ago

BBCSwahili

David Cameron akwepa mdahalo wa pili

viongozi wa vyama vitano vya upinzani wameshiriki katika mdahalo wa pili wa moja kwa moja ulioandaliwa na BBC.

 

10 years ago

GPL

DAVID CAMERON AELEKEA KUSHINDA UCHAGUZI MKUU UINGEREZA

Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron anayewania kiti hicho. WAZIRI Mkuu wa Uingereza, David Cameron, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana nchini humo. Wafuasi wa David Cameron wakimlaki. Matokeo ya awali mpaka sasa yanaonesha chama chake cha Conservative kimejiongezea hadi sasa jumla ya viti 20 na kupata ushindi katika majimbo 279 ambapo chama kikuu cha upinzani cha Labour kimepata jumla ya...

 

10 years ago

Vijimambo

British Election: David Cameron Wins Surprise Victory for Conservatives


LONDON - Prime Minister David Cameron enjoyed a surprise triumph in the British election Friday as his Conservative Party won a narrow outright victory over a faltering opposition.
The result lifted a fog of uncertainty but leaves Britain facing two constitutional crises: a potentially damaging referendum on whether to quit the European Union, and renewed pressure from Scottish nationalists who want to leave the 300-year-old United Kingdom.
The opposition Labour Party took a beating, with its...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rummenigge:Blatter yuko tayari kubadilika

Rais wa FIFA Sepp Blatter yuko tayari kubadilika,kulingana na mtu anayewakilisha zaidi ya vilabu 200 barani Ulaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani