Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rummenigge:Blatter yuko tayari kubadilika

Rais wa FIFA Sepp Blatter yuko tayari kubadilika,kulingana na mtu anayewakilisha zaidi ya vilabu 200 barani Ulaya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Ndayisenga yuko tayari kutua Simba

MSHAMBULIAJI wa Burundi, Kevin Ndayisenga amesema kwamba yuko tayari kurejea Simba wakati wowote iwapo timu hiyo itafikia makubaliano na meneja wake, Dennis Kadito.

 

10 years ago

BBCSwahili

Miliband asema yuko tayari kuongoza

Kiongozi wa chama cha Labour nchini Uingereza Ed Miliband amesema chama chake kitabadili namna nchi inavyoendeshwa

 

10 years ago

StarTV

Miliband asema yuko tayari kumrithi David Cameron.

Kiongozi wa chama cha upinzani cha Labour nchini Uingereza, Ed Miliband amesema chama cha Labour kitabadili namna nchi inavyoendeshwa na nani wa kuiendesha.”

Miliband amesema hayo wakati akizindua ilani ya uchaguzi ya chama hicho.

Amesema amepimwa kama kiongozi wa upinzani na yuko tayari kwa wadhifa huo, Bwana Miliband amesema chama cha Labour kitakuwa “chama cha mabadiliko na uwajibikaji”.

Amekataa “orodha ya mapendekezo”, yakihakikisha kuwa sera zote hazitahitaji ukopaji wa ziada.

Lakini...

 

11 years ago

Mwananchi

JOTO 2015: Mrema asema yuko tayari kumkabili Mbatia

Mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema (TLP) amesema amejiandaa kuingia ‘vitani’ na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia ambaye ametangaza kuwania ubunge katika jimbo hilo, mwaka 2015.

 

9 years ago

Dewji Blog

Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.

Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.

Licha ya kuwafungia miaka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mabloga watakiwa kubadilika kiutendaji

DSC02658

Afisa Mfuko wa vyombo vya habari Tanzania (TMF), Dustan Kamanzi, akitoa ufafanuzi juu ya uandishi bora katika mitandao ya kijamii (blogs), kwa baadhi ya waandishi wa habari hapa nchini.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Dar es Salaam

WAANDISHI wa habari wa mitandao ya kijamii (blogs) nchini, wameshauriwa kubadilika na kuanza kuandika habari fupi, zilizoshiba na zilizozingatia maadili ya tasnia ya habari ambazo zitawavutia na kuwachokoza wasomaji kuweza kuchangia mawazo yao.

Wito...

 

9 years ago

CCM Blog

MAJALIWA: KUBADILIKA LINDI INAWEZEKANA

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akihutubia wakazi wa Lindi mjini waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja Ilulu ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa ataendelea kuwa pamoja nao na kushirikiana katika kuleta maendeleo katika mkoa huo.
 Mbunge wa Jimbo la Lindi mjini Ndugu Hassan Suleiman Kaunje akihutubia wakazi wa mji huo kwenye uwanja wa Ilulu kwenye mapokezi ya Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye...

 

10 years ago

Michuzi

CUF CHATAKA WANANCHI KONDOA KUBADILIKA


CHAMA cha Wananchi (CUF) wilaya ya Kondoa kimewataka wananchi wa Wilaya hiyo kufanya mageuzi ya uongozi kwa kuchagua wagombea wa vyama vya upinzani ili kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kuleta maendeleo.
Hayo yalisemwa na Katibu wa CUF wilaya ya Kondoa, Jafari Ganga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya CUF Dar es Salaam jana.
Alisema kwa miaka mingi wilaya ya Kondoa imekuwa ikitawaliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM)katikangazi mbalimbaliza viongozi wa juu wakiwemo...

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo letu hatutaki kubadilika kweli

Kuna mambo mengi yanakwaza maendeleo ya michezo nchini, hususani soka. Kama itakulazimu kuyaorodhesha mambo hayo, fursa hiyo itakugharimu muda mrefu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani