Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tatizo letu hatutaki kubadilika kweli

Kuna mambo mengi yanakwaza maendeleo ya michezo nchini, hususani soka. Kama itakulazimu kuyaorodhesha mambo hayo, fursa hiyo itakugharimu muda mrefu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tatizo letu ni uoga!

MWANZONI mwa mwezi huu, nilitembelea mkoa wa Tabora na kufanya utafiti wa kihabari juu ya maendeleo ya elimu ya awali katika Wilaya ya Tabora Mjini (Manispaa). Niliyoyaona huko nitawajuza katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo letu ni kubwa zaidi ya CCM

MTU aliye makini ataweza kutambua haraka kwamba tatizo letu ni kubwa zaidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nami pia ninashawishika kufikiri kwamba tatizo si CCM, bali ni la Watanzania wote....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani kawadanganya kuwa tatizo letu ni umri?

EBO! Hivi ninyi kwenu mnadhani ubaguzi ni ule wa rangi tu kule Afrika Kusini waliokuwa wakiupiga vita kina Mandela na wenzake eh? Nasema sasa kweli taifa linakaribia kusambaratika. Sijawahi kuona  kwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo letu ni kufanya kazi kwa mazoea

Ninakumbuka nilisema wiki jana kuwa tatizo letu kubwa linalotusumbua Watanzania  ni  kupenda zaidi kusema, lakini siyo watendaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa heri Nooij, lakini tatizo letu wachezaji

Watanzania ni hodari wa kuwashutumu makocha, walifanya hivyo kwa Marcio Maximo wakimwambia Mbrazili huyo aliwaacha meishiwa kwa kushindwa kumwacha Juma Kaseja, Athuman Idd na Haruna Moshi ‘Boban’ na kwamba hiyo kuwa ndiyo sababu ya Taifa Stars kushindwa kufuzu kwa fainali Afcon 2010, akatimuliwa.

 

10 years ago

Vijimambo

Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz ..nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama yangu anaumwa hamna...

 

10 years ago

Mwananchi

Unaposoma unaweza kutambua taarifa anazoandika mtunzi zilizo kweli na zisizo kweli?

Katika makala yangu yaliyochapishwa gazetini tarehe Julai 6, iliyokuwa na kichwa : “Fahamu namna ya kuboresha uwezo wako wa kusoma,” nilieleza kuwa sharti moja la kusoma vizuri ni kuwa na uwezo wa kusoma huku ukitathmini ukweli wa habari unayosoma. Kuna wasomaji kadhaa wameniomba nieleze jinsi mtu anavyoweza kutathmini anachokisoma.

 

11 years ago

Mwananchi

Bakary: Hatutaki Serikali mbili

Abubakary Khamis Bakary ni Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar. Hili si jina geni masikioni mwa Watanzania hasa wale wanaofuatilia Bunge Maalum la Katiba linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mabloga watakiwa kubadilika kiutendaji

DSC02658

Afisa Mfuko wa vyombo vya habari Tanzania (TMF), Dustan Kamanzi, akitoa ufafanuzi juu ya uandishi bora katika mitandao ya kijamii (blogs), kwa baadhi ya waandishi wa habari hapa nchini.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Dar es Salaam

WAANDISHI wa habari wa mitandao ya kijamii (blogs) nchini, wameshauriwa kubadilika na kuanza kuandika habari fupi, zilizoshiba na zilizozingatia maadili ya tasnia ya habari ambazo zitawavutia na kuwachokoza wasomaji kuweza kuchangia mawazo yao.

Wito...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani