Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nani kawadanganya kuwa tatizo letu ni umri?

EBO! Hivi ninyi kwenu mnadhani ubaguzi ni ule wa rangi tu kule Afrika Kusini waliokuwa wakiupiga vita kina Mandela na wenzake eh? Nasema sasa kweli taifa linakaribia kusambaratika. Sijawahi kuona  kwenye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tatizo letu ni uoga!

MWANZONI mwa mwezi huu, nilitembelea mkoa wa Tabora na kufanya utafiti wa kihabari juu ya maendeleo ya elimu ya awali katika Wilaya ya Tabora Mjini (Manispaa). Niliyoyaona huko nitawajuza katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo letu ni kubwa zaidi ya CCM

MTU aliye makini ataweza kutambua haraka kwamba tatizo letu ni kubwa zaidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nami pia ninashawishika kufikiri kwamba tatizo si CCM, bali ni la Watanzania wote....

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo letu hatutaki kubadilika kweli

Kuna mambo mengi yanakwaza maendeleo ya michezo nchini, hususani soka. Kama itakulazimu kuyaorodhesha mambo hayo, fursa hiyo itakugharimu muda mrefu.

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo letu ni kufanya kazi kwa mazoea

Ninakumbuka nilisema wiki jana kuwa tatizo letu kubwa linalotusumbua Watanzania  ni  kupenda zaidi kusema, lakini siyo watendaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa heri Nooij, lakini tatizo letu wachezaji

Watanzania ni hodari wa kuwashutumu makocha, walifanya hivyo kwa Marcio Maximo wakimwambia Mbrazili huyo aliwaacha meishiwa kwa kushindwa kumwacha Juma Kaseja, Athuman Idd na Haruna Moshi ‘Boban’ na kwamba hiyo kuwa ndiyo sababu ya Taifa Stars kushindwa kufuzu kwa fainali Afcon 2010, akatimuliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Isihaka: Umri tatizo Yanga

Nahodha wa Simba, Hassan Isihaka amesema kinachowasumbua sasa Yanga ni umri wa wachezaji wao.

 

9 years ago

Mwananchi

Nani wa kupambana na tatizo la umeme?

Tangu nchi yetu ipate uhuru zaidi ya miaka 50, kuna nyimbo zimekuwa zikiimbwa kila uchao na viongozi wa kada mbalimbali, ukiwamo ule wa ‘kukosa umeme wa uhakika’.

 

5 years ago

BBCSwahili

Hosni Mubarak alikuwa nani? Rais wa Misri aliyengatulia madarakani aaga dunia akiwa na umri wa miaka 91.

Hosni Mubarak alikuwa jeshi lakini alijitolea sana kwa nchi yake kuhakikisha inakuwa na Amani.

 

10 years ago

Vijimambo

RUSHWA NI TATIZO SUGU KATIKA NCHI YETU, NANI ATAWEZA KUIONDOA?

MWANDISHI Eric Shigongo
KATIKA kumuenzi Mungu, kila mtu ambaye leo afya yake ni nzuri hana budi kumshukuru na kumtukuza huku akimuomba awaponye wale wote walio katika magonjwa.

Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi, baadhi ya matawi wanachama wake wamelalamikia rushwa kwamba waliwapigia kura watu waliokuwa wanapenda kuwaongoza lakini kura zao zikachakachuliwa.

Nilisimuliwa kuhusu tawi moja eti waliochaguliwa waliiba kura na matokeo yakatajwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani