Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabloga watakiwa kubadilika kiutendaji

DSC02658

Afisa Mfuko wa vyombo vya habari Tanzania (TMF), Dustan Kamanzi, akitoa ufafanuzi juu ya uandishi bora katika mitandao ya kijamii (blogs), kwa baadhi ya waandishi wa habari hapa nchini.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Dar es Salaam

WAANDISHI wa habari wa mitandao ya kijamii (blogs) nchini, wameshauriwa kubadilika na kuanza kuandika habari fupi, zilizoshiba na zilizozingatia maadili ya tasnia ya habari ambazo zitawavutia na kuwachokoza wasomaji kuweza kuchangia mawazo yao.

Wito...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Mjengwablog Kwenye Mtandao Wa Mabloga 18 Afrika Uliozinduliwa Johannesburg

Jana umezinduliwa pale Johannesburg, mtandao wa mabloga 18 wa Sub-Saharan Africa; ‪#‎AfricaBlogging‬ . Ni mtandao wa mabloga wa kimataifa utakaohusika zaidi na masuala ya kukuza demokrasia na uwajibikaji kupitia kazi za kublogi. Nimebahatika kuwa mmoja wa mabloga hao nikiwa na pia mjumbe wangu Chambi Chachage, tukiwakilisha Tanzania. Ukiwa na muda soma makala yangu ya kwanza kwenye mtandao huo;http://www.africablogging.org/time-for-girls-football/

 

9 years ago

Michuzi

Mjengwablog Kwenye Mtandao Mabloga 18 Afrika Uliozinduliwa Johannesburg...

Ndugu zangu, Jana umezinduliwa pale Johannesburg, mtandao wa mabloga 18 wa Sub-Saharan Africa; ‪#‎AfricaBlogging‬ . Ni mtandao wa mabloga wa kimataifa utakaohusika zaidi na masuala ya kukuza demokrasia na uwajibikaji kupitia kazi za kublogi. Nimebahatika kuwa mmoja wa mabloga hao nikiwa na pia mjumbe wangu Chambi Chachage, tukiwakilisha Tanzania. Ukiwa na muda soma makala yangu ya kwanza kwenye mtandao huo;http://www.africablogging.org/time-for-girls-football/

 

10 years ago

Mwananchi

HOJA BINAFSI: Mabloga zingatieni maadili kuheshimu picha za marehemu mitandaoni

>Raha ya kipindi tunachoishi sasa  ni wepesi wa mawasiliano. Mawasiliano ya haraka kwa simu za mkononi, habari kusambaa, mitandao kutupasha yaliyotokea, ghafla bin vuu. Hakuna  linalofanyika hadharani likapita, vuum,  siku hizi. Iwe umbea au udaku; serikali, mazuri au kashfa, gharika au tufani; ili mradi...Buum! Hiyo hapo machoni.

 

10 years ago

Mwananchi

Wito kwa mabloga kuzingatia maadili kuheshimu picha za marehemu mitandaoni

Raha ya kipindi tunachoishi sasa ni wepesi wa mawasiliano. Mawasiliano ya haraka kwa simu za mkononi, habari kusambaa, mitandao kutupasha yaliyotokea, ghafla bin vuu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPA yajivunia mafanikio kiutendaji

LICHA ya kuwa na changamoto mbalimbali katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) lakini pia kuna mafanikio ya ongezeko la shehena. Ongezeko hilo linatokana na kukua kwa uchumi katika nchi...

 

9 years ago

Habarileo

Azaki zapewa mwongozo kiutendaji

ASASI za Kiraia (Azaki) zinazojishughulisha na kuhamasisha utoaji elimu wa masuala mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, zimeshauriwa zinapotaka kufanya shughuli zao waonane kwanza na wakuu wa idara husika.

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA TIB YASAINI MKATABA WA KIUTENDAJI NA SERIKALI

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki ya Maendeleo TIB Prof. William Lyakurwa (wapili kushoto) na Msajili Hazina Bw. Lawrence Mafuru (wa pili kulia) wakibadilishana mikataba ya makubaliano ya kiutendaji kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Mkataba huo unalenga kufungua milango kwa serikali kuweza kusimamia na kukagua ufanisi wa benki hiyo katika kuleta tija kwa taifa. Wanaoshuhudia ni pamoja na Msajili Hazina msaidizi Bw. Mwakibinga Mihalale (wa pili...

 

9 years ago

CCM Blog

MAJALIWA: KUBADILIKA LINDI INAWEZEKANA

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akihutubia wakazi wa Lindi mjini waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja Ilulu ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa ataendelea kuwa pamoja nao na kushirikiana katika kuleta maendeleo katika mkoa huo.
 Mbunge wa Jimbo la Lindi mjini Ndugu Hassan Suleiman Kaunje akihutubia wakazi wa mji huo kwenye uwanja wa Ilulu kwenye mapokezi ya Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani