Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azaki zapewa mwongozo kiutendaji

ASASI za Kiraia (Azaki) zinazojishughulisha na kuhamasisha utoaji elimu wa masuala mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, zimeshauriwa zinapotaka kufanya shughuli zao waonane kwanza na wakuu wa idara husika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TPA yajivunia mafanikio kiutendaji

LICHA ya kuwa na changamoto mbalimbali katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) lakini pia kuna mafanikio ya ongezeko la shehena. Ongezeko hilo linatokana na kukua kwa uchumi katika nchi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mabloga watakiwa kubadilika kiutendaji

DSC02658

Afisa Mfuko wa vyombo vya habari Tanzania (TMF), Dustan Kamanzi, akitoa ufafanuzi juu ya uandishi bora katika mitandao ya kijamii (blogs), kwa baadhi ya waandishi wa habari hapa nchini.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Dar es Salaam

WAANDISHI wa habari wa mitandao ya kijamii (blogs) nchini, wameshauriwa kubadilika na kuanza kuandika habari fupi, zilizoshiba na zilizozingatia maadili ya tasnia ya habari ambazo zitawavutia na kuwachokoza wasomaji kuweza kuchangia mawazo yao.

Wito...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azaki zapongewa na kupewa changamoto

ASASI za kiraia nchini (Azaki) zimepongezwa kwa kazi nzuri ya utoaji elimu kwa Watanzania kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mchakato wa katiba mpya. Pongezi hizo zilitolewa  na Naibu Spika wa Bunge,...

 

10 years ago

TheCitizen

Azaki manifesto to guide politicians

There is stark difference between this General Election and past events. As opposed to past election, there is high public awareness in this year’s polls. The high awareness is shown through people quest which has attracted close follow of electoral process

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azaki yapata wawakilishi wa Bunge la Katiba

WILAYA ya Mvomero imempata mmoja wa wagombea wa uwakilishi wa Bunge Maalumu la Katiba, ambapo jina hilo litapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa...

 

11 years ago

Habarileo

Azaki kusambaza elimu ya rasimu ya Katiba

MUUNGANO wa Asasi za Kiraia nchini (AZAKI) umezindua kampeni ya kitaifa ya kusambaza uelewa wa rasimu ya pili ya Katiba kwa wananchi. Muungano huo umewataka wabunge wa Bunge la Katiba, kutokiuka maoni yaliyotolewa na wananchi.

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA TIB YASAINI MKATABA WA KIUTENDAJI NA SERIKALI

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki ya Maendeleo TIB Prof. William Lyakurwa (wapili kushoto) na Msajili Hazina Bw. Lawrence Mafuru (wa pili kulia) wakibadilishana mikataba ya makubaliano ya kiutendaji kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Mkataba huo unalenga kufungua milango kwa serikali kuweza kusimamia na kukagua ufanisi wa benki hiyo katika kuleta tija kwa taifa. Wanaoshuhudia ni pamoja na Msajili Hazina msaidizi Bw. Mwakibinga Mihalale (wa pili...

 

10 years ago

StarTV

Udhibiti matumizi fedha za umma, halmashauri kushindanishwa kiutendaji.

Na Gloria Matola,

Dar es Salaam.

 

Serikali inatarajia kuanza utaratibu mpya wa kuzishindanisha Halmashauri zote nchini kiutendaji ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake wa kuondoa matumizi mabaya ya fedha za umma kwa kutoa tuzo kwa zile zitakazoshinda kwa matumizi mazuri ya fedha hizo.

 

Tanzania ina jumla ya Halmashauri 168 zilizoshiriki ambapo 49 miongoni mwao zimeweza kukidhi mahitaji ya shindano hilo.

 

Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Utumishi Hawa Ghasia amesema hivi sasa...

 

10 years ago

Habarileo

Azaki zataka maandalizi Malengo mapya ya Milenia

Mwenyekiti wa SAHRINGON, Martina Kabisama ASASI za kiraia nchini (AZAKI) zimeiomba serikali kuongeza juhudi katika kuelimisha wananchi juu ya Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDG’S), yanayotarajiwa kuanza kutekelezwa kuanzia mwaka 2016 hadi 2030.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani