Azaki kusambaza elimu ya rasimu ya Katiba
MUUNGANO wa Asasi za Kiraia nchini (AZAKI) umezindua kampeni ya kitaifa ya kusambaza uelewa wa rasimu ya pili ya Katiba kwa wananchi. Muungano huo umewataka wabunge wa Bunge la Katiba, kutokiuka maoni yaliyotolewa na wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLUZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA TAIFA YA KUSAMBAZA UELEWA WA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Majadiliano Rasimu ya Katiba yaboreshe mfumo wa elimu
MAJADILIANO ya Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ni fursa ya kihistoria inayopaswa kutumiwa ipasavyo ili kuboresha mfumo wa maisha unaowagusa Watanzania. Mbali na...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Azaki yapata wawakilishi wa Bunge la Katiba
WILAYA ya Mvomero imempata mmoja wa wagombea wa uwakilishi wa Bunge Maalumu la Katiba, ambapo jina hilo litapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa...
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Azaki wachagua wawakilishi 40 Bunge Maalumu la Katiba
10 years ago
MichuziUmoja wa Azaki za Vijana wakutana na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.
10 years ago
MichuziBunge Maalum la Katiba laanza mijadala ya Rasimu ya Katiba rasmi leo
BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 9 Septemba, 2014 limeanza kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali zikiwemo Kamati namba Kumi na Mbili, Kamati namba Mbili, Kamati namba Moja, Kamati namba Nne, Kamati namba Nane, Kamati namba Tano, Kamati namba Tisa, Kamati namba Tatu, Kamati namba Sita pamoja na Kamati namba Kumi na Moja.
Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja suala la baadhi ya viongozi kumiliki akaunti zao za fedha...
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa
10 years ago
GPLMH. CHENGE AWASILISHA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA