Azaki wachagua wawakilishi 40 Bunge Maalumu la Katiba
Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), limechagua wawakilishi 40 kutoka mitandao ya asasi za kiraia nchini (Azaki), ambao majina yao yatapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa Bunge Maalumu la Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Azaki yapata wawakilishi wa Bunge la Katiba
WILAYA ya Mvomero imempata mmoja wa wagombea wa uwakilishi wa Bunge Maalumu la Katiba, ambapo jina hilo litapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa...
11 years ago
MichuziUmoja wa Azaki za Vijana wakutana na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.
11 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Wafugaji wateua wawakilishi Bunge la Katiba
VYAMA vya wafugaji wa asili Tanzania pamoja na mashirika na mitandao ya wafugaji vipatavyo 31, wamekutana juzi katika mkutano mkuu maalumu kuchagua wawakilishi wao wanaowapendekeza kuingia katika Bunge maalumu la...
11 years ago
Michuzi.jpg)
wasanii wavamia bunge maalumu la katiba kudai haki zao zitambulike katka katiba mpaya dodoma
Wsanii 12 wakiwemo viongozi toka Shirikisho la muziki, Shirikisho la Filamu, Shirikisho la Sanaa za ufundi, Mtandao wa Wanamuziki Tanzania walifunga safari na kuvamia Dododma na kuwa na mfululizo wa mikutano na wabunge mbalimbali ili kuwashawishi waunge mkono vipengele viwili ambavyo wasanii wanavitaka katika Katiba 1. Kundi la wasanii kutambuliwa katika Katiba kama vile walivyotambuliwa Wakulima, wafugaji, wavuvi na wafugaji walivyotajwa 2. Milliki Bunifu kwa kiingereza Intellectual...
11 years ago
Michuzi13 Feb
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Bunge Maalumu la Katiba kusambaratika?
RAIS wangu wahenga walisema, “Kinachowezekana leo kisingoje kesho”. Inaaminika kuwa akili zetu za leo hazijawahi kuwa kubwa kufikia ukubwa wa akili walizokuwanazo wahenga wetu. Ndiyo maana mpaka leo tunafikiri huku...
11 years ago
Mwananchi07 Sep
Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Siku 60 zaidi Bunge Maalumu la Katiba