Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba

>Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajiwa kukutana tena na viongozi wa vyama vya siasa ambavyo ni wanachama wa Kituo cha Demokrasia nchini (TCD), kuna taarifa kwamba huenda Oktoba 4, mwaka huu ikawa siku ya mwisho ya kukutana kwa Bunge Maalumu, linaloendelea na utunzi wa Katiba Mpya mjini Dodoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

JUKWAA LA KATIBA WATANGAZA KUSULUHISHA MGOGORO WA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika ofisi za Jukwaa la Katiba jijini Dar es Salaam katika kutoa tamko rasmi za tathimini ya Jukwaa la Katiba Tanzania kuhusu Katiba Mpya, Tulipotoka, Tulipo na Tuendako. Pembeni ni Msimamizi wa Mradi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya (NGO Network for Dodoma) Bw. Edward Mbogo (kushoto) na Mjumbe wa Jukwaa la Katiba toka Pemba Bw. Omari Omari.
Waandishi wa Habari wakifuatilia. --- Na...

 

11 years ago

Michuzi

wasanii wavamia bunge maalumu la katiba kudai haki zao zitambulike katka katiba mpaya dodoma


Wsanii 12 wakiwemo viongozi toka Shirikisho la muziki, Shirikisho la Filamu, Shirikisho la Sanaa za ufundi, Mtandao wa Wanamuziki Tanzania walifunga safari na kuvamia Dododma na kuwa na mfululizo wa mikutano na wabunge mbalimbali ili kuwashawishi waunge mkono vipengele viwili ambavyo wasanii wanavitaka katika Katiba  1. Kundi la wasanii kutambuliwa katika Katiba kama vile walivyotambuliwa Wakulima, wafugaji, wavuvi na wafugaji walivyotajwa  2. Milliki Bunifu kwa kiingereza Intellectual...

 

11 years ago

Mwananchi

Mgogoro mpya Bunge la Katiba

Baadhi ya wenyeviti wa Kamati za Bunge la Katiba wamezikataa taarifa za wajumbe walio wachache ambazo wanapaswa kuzisoma leo bungeni, hivyo kuwataka waziandike upya kwa madai kuwa hazijafuata taratibu katika uandishi na zimejaa lugha ya kuudhi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu la Katiba kusambaratika?

RAIS wangu wahenga walisema, “Kinachowezekana leo kisingoje kesho”. Inaaminika kuwa akili zetu za leo hazijawahi kuwa kubwa kufikia ukubwa wa akili walizokuwanazo wahenga wetu. Ndiyo maana mpaka leo tunafikiri huku...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bunge Maalumu la Katiba limetekwa wanasiasa’

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Makersia Jibubu amesema anasikitishwa na namna wanasiasa walivyoliteka Bunge hilo na kuwafanya wajumbe wengine walioteuliwa na Rais kuwa kama njia ya kupitishia hoja zao.

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA WAJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA

 MBUNGE WA MTERA,LIVINGSTONE  LUSINDE NA MBUNGE WA MOSHI MJINI MHE PHILEMON NDESAMBURO AMBAO PIA NI WABUNGE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA WAKIAGANA MARA BAADA YA KUAHIRISHWA KWA SEMINA YA KUANDAA KANUNI ZITAKAZO TUMIWA WAKATI WA KIKAO CHA BUNGE MAALUMU LA KATIBA MJINI DODOMA. MWENYEKITI WA CHAMA CHA UDP MHE. JOHN MOMOSE CHEYO NA MWENYEKITI WA CHAMA CHA NCCR;MAGEUZI MHE. JAMES MBATIA AMBAO PIA NI WAJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA WAKIJADILIANA WAKATI WAKITOKA KATIKA SEMINA YA KUJADILI...

 

11 years ago

Mwananchi

Siku 60 zaidi Bunge Maalumu la Katiba

Bunge Maalumu la Katiba limeomba kuongezewa muda wa siku 60 kuanzia Agosti 5, mwaka huu litakapokutana kwa ngwe ya pili, Mwananchi limebaini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maajabu ya akidi Bunge Maalumu la Katiba

UKIACHILIA mbali, tabasamu lenye mashaka la baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ukiacha na jina iliyopewa kuwa ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2014, Ukiacha kuzingatia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unyanyapaa usitawale Bunge Maalumu la Katiba

NI zaidi ya miaka mitatu sasa Kamati ya Faharisi ya Unyanyapaa Tanzania imekuwa ikijitahidi kutoa elimu kwa jamii na kuandaa mikakati kabambe itakayosaidia kupunguza na hata kuondoa kabisa suala la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani