Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azaki yapata wawakilishi wa Bunge la Katiba

WILAYA ya Mvomero imempata mmoja wa wagombea wa uwakilishi wa Bunge Maalumu la Katiba, ambapo jina hilo litapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Azaki wachagua wawakilishi 40 Bunge Maalumu la Katiba

Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), limechagua wawakilishi 40 kutoka mitandao ya asasi za kiraia nchini (Azaki), ambao majina yao yatapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Michuzi

Umoja wa Azaki za Vijana wakutana na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongea na Umoja Azaki za Vijana wakati alipofanya mkutano nao wakati wakiwasilisha mapendekezo ya maboresho ikiwa ni msisitizo katika masuala yao ya vijana, mkutano uliofanyika 02 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.Kiongozi wa msafara wa Umoja wa Umoja wa Azaki za Vijana Alfred Kiwuyo akisoma taarifa ya mapendekezo ya maboresho ikiwa ni msisitizo katika masuala yao ya vijana, mkutano uliofanyika 02 Septemba, 2014...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wateua wawakilishi Bunge la Katiba

VYAMA vya wafugaji wa asili Tanzania pamoja na mashirika na mitandao ya wafugaji vipatavyo 31, wamekutana juzi katika mkutano mkuu maalumu kuchagua wawakilishi wao wanaowapendekeza kuingia katika Bunge maalumu la...

 

11 years ago

Mwananchi

Ilala yapata wawakilishi Perfect 6

Kanda ya Ilala imepata wawakilishi wa fainali za mashindano mapya ya soka ya Castle Lager Perfect Six, baada ya timu ya Barafu FC kutwaa ubingwa wa kanda hiyo katika fainali zake zilizofanyika kwenye baa ya Nyantale, Tabata, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Azaki kusambaza elimu ya rasimu ya Katiba

MUUNGANO wa Asasi za Kiraia nchini (AZAKI) umezindua kampeni ya kitaifa ya kusambaza uelewa wa rasimu ya pili ya Katiba kwa wananchi. Muungano huo umewataka wabunge wa Bunge la Katiba, kutokiuka maoni yaliyotolewa na wananchi.

 

11 years ago

Michuzi

Castle Lager Perfect Six yapata wawakilishi wa kwanza fainali za taifa

Kanda ya Kati imekuwa ya kwanza kupata wawakilishi kwenye fainali za mashindano mapya ya soka ya Castle Lager Perfect Six baada ya timu ya Schalke 04 ya Dodoma kutwaa ubingwa wa kanda hiyo katika fainali za kanda hiyo zilizopigwa kwenye uwanja wa Fire manispaa ya Morogoro wikendi hii.
Ubingwa huo kwa timu ya Schalke 04 inatoa nafasi ya kuwa mwakilishi kutoka kanda ya Kati kugombea nafasi ya kwenda nchini Hispania kutembelea uwanja wa Camp Nou na kushuhudia michezo ya klabu ya Barcelona...

 

11 years ago

GPL

‘BALIMI’ FESTIVAL TABORA, SHINYANGA YAPATA WAWAKILISHI

Meneja wa Mauzo wa Kampuni ya Bia nchini (TBL), Robert Kaziwa (kushoto) akimkabidhi  mwakilishi wa kikundi cha Magereza Arts Group zawadi ya kitita cha Shilingi 600,000/= mara baada ya kuibuka mabingwa katika fainali za mashindano ya Balimi Kanda ya Ziwa ngazi za mikoa Mkoa wa Tabora mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya wacheza ngoma wa Magereza Arts Group wakishangilia na kitita cha Shilingi 600,000/=  mara baada ya kuibuka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani