Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ilala yapata wawakilishi Perfect 6

Kanda ya Ilala imepata wawakilishi wa fainali za mashindano mapya ya soka ya Castle Lager Perfect Six, baada ya timu ya Barafu FC kutwaa ubingwa wa kanda hiyo katika fainali zake zilizofanyika kwenye baa ya Nyantale, Tabata, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Castle Lager Perfect Six yapata wawakilishi wa kwanza fainali za taifa

Kanda ya Kati imekuwa ya kwanza kupata wawakilishi kwenye fainali za mashindano mapya ya soka ya Castle Lager Perfect Six baada ya timu ya Schalke 04 ya Dodoma kutwaa ubingwa wa kanda hiyo katika fainali za kanda hiyo zilizopigwa kwenye uwanja wa Fire manispaa ya Morogoro wikendi hii.
Ubingwa huo kwa timu ya Schalke 04 inatoa nafasi ya kuwa mwakilishi kutoka kanda ya Kati kugombea nafasi ya kwenda nchini Hispania kutembelea uwanja wa Camp Nou na kushuhudia michezo ya klabu ya Barcelona...

 

11 years ago

Michuzi

Kanda ya Ilala yapata mabingwa wa Castle Lager Perfect Six

Na Mwandishi wetu.
Kanda ya Ilala imepata wawakilishi kwenye fainali za mashindano mapya ya soka ya Castle Lager Perfect Six baada ya timu ya Barafu FC ya kutwaa ubingwa wa kanda hiyo katika fainali za kanda hiyo zilizopigwa kwenye uwanja wa Nyantale huko Tabata wikendi hii.
Ubingwa huo kwa timu ya Barafu FC unatoa nafasi ya kuwa mwakilishi kutoka kanda ya Ilala kugombea nafasi ya kwenda nchini Hispania kutembelea uwanja wa Camp Nou na kushuhudia michezo ya klabu ya Barcelona katika La...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azaki yapata wawakilishi wa Bunge la Katiba

WILAYA ya Mvomero imempata mmoja wa wagombea wa uwakilishi wa Bunge Maalumu la Katiba, ambapo jina hilo litapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa...

 

11 years ago

GPL

‘BALIMI’ FESTIVAL TABORA, SHINYANGA YAPATA WAWAKILISHI

Meneja wa Mauzo wa Kampuni ya Bia nchini (TBL), Robert Kaziwa (kushoto) akimkabidhi  mwakilishi wa kikundi cha Magereza Arts Group zawadi ya kitita cha Shilingi 600,000/= mara baada ya kuibuka mabingwa katika fainali za mashindano ya Balimi Kanda ya Ziwa ngazi za mikoa Mkoa wa Tabora mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya wacheza ngoma wa Magereza Arts Group wakishangilia na kitita cha Shilingi 600,000/=  mara baada ya kuibuka...

 

10 years ago

Vijimambo

Perfect Gentleman by P.S.W. at DC Fashion Week.

Tanzanian Designer Peter Walden  showcased his menswear collection at DC Fashion Week's International Couture Collections on Sunday, September 28 at the Historical Society of Washington. 






















The Models were rocking malaika Mitindo Wear 4 Care new collection During DC Fashion Week.
 Perfect Gentleman by PSW designer - Peter Walden taking a final stroll at the end of launching his new collection "The Last Suit " 
 Perfect Gentleman by PSW designer - Peter Walden enterviewed by press.
Photo Credit by...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Magufuli Is Perfect Choice, Says Kikwete


IPPmedia
Magufuli Is Perfect Choice, Says Kikwete
AllAfrica.com
Chama Cha Mapinduzi (CCM) National Chairman, President Jakaya Kikwete, introduced the party's flag bearer for the Union presidency, Dr John Magufuli, in Dar es Salaam, touting him as a principled leader and true patriot of the land. Addressing a large ...
Magufuli and Lowassa take oath, certify election formsBayoubuzz
Magufuli, Lowassa attest forms in courtDaily News

all 8

 

10 years ago

The Star

Nyerere Was Not Perfect but Was Africa's Best Leader


Nyerere Was Not Perfect but Was Africa's Best Leader
The Star
As we commemorate the 14th year of the passing away of Julius Kabarage Nyerere, the first president of Tanzania, may I share several reasons that convince me that, even if other leaders may have beaten him in wealth, popularity, age or articulation, ...

 

11 years ago

GPL

KAJALA: PERFECT SIO MPENZI WANGU

Stori: Jamila Said na Emelder Tarimo Acha bwana! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ ameibuka na kukanusha vikali madai ya kutoka kimalovee na mtangazaji wa Clouds aitwaye Perfect. Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita jijini Dar, Kajala alifunguka kwamba madai hayo hayana ukweli wowote na wala hana ukaribu na mtangazaji huyo.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Castle Lager Perfect 6 kuendelea Jumamosi

Timu 24 za soka za jijini Dar es Salaam zinashuka dimbani Jumamosi kwenye michuano ya ‘Castle Lager Perfect 6’ kuwania tiketi ya kwenda Hispania kushuhudia mojawapo ya mechi za timu ya Barcelona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani