Castle Lager Perfect 6 kuendelea Jumamosi
Timu 24 za soka za jijini Dar es Salaam zinashuka dimbani Jumamosi kwenye michuano ya ‘Castle Lager Perfect 6’ kuwania tiketi ya kwenda Hispania kushuhudia mojawapo ya mechi za timu ya Barcelona.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Castle Lager Perfect 6 kwenda Barcelona leo
HATIMAYE mabingwa wa shindano la Castle Lager Perfect 6, wanaondoka leo asubuhi kuelekea Barcelona, nchini Hispania. Kwa mujibu wa Meneja wa Bia ya Castle Lager, Kabula Nshimo washindi hao timu...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Castle Lager Perfect Six ngazi ya mikoa yaanza
MASHINDANO ya Castle Lager Perfect Six ngazi ya mikoa, yameanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki, ambako timu 48 zimeshuka dimbani katika mikoa ya Dar es Salaam na Morogoro zikiwania nafasi...
11 years ago
MichuziKanda ya Ilala yapata mabingwa wa Castle Lager Perfect Six
Kanda ya Ilala imepata wawakilishi kwenye fainali za mashindano mapya ya soka ya Castle Lager Perfect Six baada ya timu ya Barafu FC ya kutwaa ubingwa wa kanda hiyo katika fainali za kanda hiyo zilizopigwa kwenye uwanja wa Nyantale huko Tabata wikendi hii.
Ubingwa huo kwa timu ya Barafu FC unatoa nafasi ya kuwa mwakilishi kutoka kanda ya Ilala kugombea nafasi ya kwenda nchini Hispania kutembelea uwanja wa Camp Nou na kushuhudia michezo ya klabu ya Barcelona katika La...
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Castle Lager Perfect Six ngazi ya mikoa kuanza wikendi
MASHINDANO ya Soka ya Castle Lager Perfect 6 ngazi ya mikoa, yanatarajiwa kuanza rasmi wikendi hii katika mikoa ya Dar es Salaam na Morogoro. Mashindano hayo yatamalizika kwa kupata washindi...
11 years ago
MichuziCastle Lager Perfect Six yatimua vumbi kanda ya Kindondoni
11 years ago
MichuziCastle Lager Perfect Six yanoga kuelekea fainali za Kanda
Katika michezo ya hatua ya mchujo ikirishikisha timu nane za mikoa hiyo, kwa upande wa Morogoro timu za Mzinga FC na Ndezi FC zenyewe zilikata mapema tiketi ya kucheza ligi hiyo huku kwa Dodoma ikiwa ni Schalke 04 FC pamoja na Market FC.
Schalke 04 na Market FC zilikata tiketi juzi kwa kushika nafasi ya kwanza na pili katika...
11 years ago
MichuziCastle Lager Perfect Six ngazi ya kanda yamalizika kwa kishindo
Mashindano ya Castle Lager Perfect Six ngazi ya fainali za Kanda yamefikia tamati kwa kishindo baada ya timu ya Green City ya Jijini Mbeya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Castle Lager Perfect Six baada ya kuichabanga Timu ya Savannah kutoka Mkoani Iringa kwa mabao 8-3. ...
11 years ago
MichuziCastle Lager Perfect Six yapata wawakilishi wa kwanza fainali za taifa
Ubingwa huo kwa timu ya Schalke 04 inatoa nafasi ya kuwa mwakilishi kutoka kanda ya Kati kugombea nafasi ya kwenda nchini Hispania kutembelea uwanja wa Camp Nou na kushuhudia michezo ya klabu ya Barcelona...
11 years ago
MichuziMUSOMA VETERANI MABINGWA CASTLE LAGER PERFECT SIX KANDA YA ZIWA