Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azaki zapongewa na kupewa changamoto

ASASI za kiraia nchini (Azaki) zimepongezwa kwa kazi nzuri ya utoaji elimu kwa Watanzania kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mchakato wa katiba mpya. Pongezi hizo zilitolewa  na Naibu Spika wa Bunge,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Azaki zapewa mwongozo kiutendaji

ASASI za Kiraia (Azaki) zinazojishughulisha na kuhamasisha utoaji elimu wa masuala mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, zimeshauriwa zinapotaka kufanya shughuli zao waonane kwanza na wakuu wa idara husika.

 

9 years ago

TheCitizen

Azaki manifesto to guide politicians

There is stark difference between this General Election and past events. As opposed to past election, there is high public awareness in this year’s polls. The high awareness is shown through people quest which has attracted close follow of electoral process

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azaki yapata wawakilishi wa Bunge la Katiba

WILAYA ya Mvomero imempata mmoja wa wagombea wa uwakilishi wa Bunge Maalumu la Katiba, ambapo jina hilo litapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa...

 

11 years ago

Habarileo

Azaki kusambaza elimu ya rasimu ya Katiba

MUUNGANO wa Asasi za Kiraia nchini (AZAKI) umezindua kampeni ya kitaifa ya kusambaza uelewa wa rasimu ya pili ya Katiba kwa wananchi. Muungano huo umewataka wabunge wa Bunge la Katiba, kutokiuka maoni yaliyotolewa na wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Azaki zataka maandalizi Malengo mapya ya Milenia

Mwenyekiti wa SAHRINGON, Martina Kabisama ASASI za kiraia nchini (AZAKI) zimeiomba serikali kuongeza juhudi katika kuelimisha wananchi juu ya Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDG’S), yanayotarajiwa kuanza kutekelezwa kuanzia mwaka 2016 hadi 2030.

 

11 years ago

Mwananchi

Azaki wachagua wawakilishi 40 Bunge Maalumu la Katiba

Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), limechagua wawakilishi 40 kutoka mitandao ya asasi za kiraia nchini (Azaki), ambao majina yao yatapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Michuzi

Umoja wa Azaki za Vijana wakutana na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongea na Umoja Azaki za Vijana wakati alipofanya mkutano nao wakati wakiwasilisha mapendekezo ya maboresho ikiwa ni msisitizo katika masuala yao ya vijana, mkutano uliofanyika 02 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.Kiongozi wa msafara wa Umoja wa Umoja wa Azaki za Vijana Alfred Kiwuyo akisoma taarifa ya mapendekezo ya maboresho ikiwa ni msisitizo katika masuala yao ya vijana, mkutano uliofanyika 02 Septemba, 2014...

 

5 years ago

Michuzi

THBUB YAZITAKA AZAKI WASHIRIKA KUJIKITA KUTATUA KERO ZA WANANCHI











Mkurugenzi wa HUPEMEF, Mchungaji Saimon Chemu (Kulia) akitoa maelezo mafupi kwa Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu (Kushoto) alipotembelea ofisi za Taasisi hiyo zilizopo Wilayani Magu, jijini Mwanza Aprili 21, 2020.



Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu (Katikati- waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Taasisi ya HUPEMEF. Kulia waliokaa ni Afisa Mfawidhi wa Ofisi za THBUB Kanda ya Ziwa, Albert Kakengi, na wapili kulia ni Katibu wa Mtandao AZAKI Wilayani...

 

11 years ago

Mwananchi

Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto

Wafanyabiashara wadogo wametakiwa kuacha woga na kuanza kutumia taasisi za fedha kama njia rafiki na chachu ya maendeleo na kukuza mitaji yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani