Azaki zapongewa na kupewa changamoto
ASASI za kiraia nchini (Azaki) zimepongezwa kwa kazi nzuri ya utoaji elimu kwa Watanzania kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mchakato wa katiba mpya. Pongezi hizo zilitolewa na Naibu Spika wa Bunge,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo16 Dec
Azaki zapewa mwongozo kiutendaji
ASASI za Kiraia (Azaki) zinazojishughulisha na kuhamasisha utoaji elimu wa masuala mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, zimeshauriwa zinapotaka kufanya shughuli zao waonane kwanza na wakuu wa idara husika.
9 years ago
TheCitizen09 Sep
Azaki manifesto to guide politicians
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Azaki yapata wawakilishi wa Bunge la Katiba
WILAYA ya Mvomero imempata mmoja wa wagombea wa uwakilishi wa Bunge Maalumu la Katiba, ambapo jina hilo litapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa...
11 years ago
Habarileo26 Feb
Azaki kusambaza elimu ya rasimu ya Katiba
MUUNGANO wa Asasi za Kiraia nchini (AZAKI) umezindua kampeni ya kitaifa ya kusambaza uelewa wa rasimu ya pili ya Katiba kwa wananchi. Muungano huo umewataka wabunge wa Bunge la Katiba, kutokiuka maoni yaliyotolewa na wananchi.
10 years ago
Habarileo16 Jan
Azaki zataka maandalizi Malengo mapya ya Milenia
ASASI za kiraia nchini (AZAKI) zimeiomba serikali kuongeza juhudi katika kuelimisha wananchi juu ya Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDG’S), yanayotarajiwa kuanza kutekelezwa kuanzia mwaka 2016 hadi 2030.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Azaki wachagua wawakilishi 40 Bunge Maalumu la Katiba
10 years ago
MichuziUmoja wa Azaki za Vijana wakutana na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9ZSjwDoMmT4/Xp_-UGeBRYI/AAAAAAALnx4/0-TX4WVwOeA4fKhPScJY5q25Ax1-tEtvgCLcBGAsYHQ/s72-c/728A7427AA-768x512.jpg)
THBUB YAZITAKA AZAKI WASHIRIKA KUJIKITA KUTATUA KERO ZA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9ZSjwDoMmT4/Xp_-UGeBRYI/AAAAAAALnx4/0-TX4WVwOeA4fKhPScJY5q25Ax1-tEtvgCLcBGAsYHQ/s640/728A7427AA-768x512.jpg)
Mkurugenzi wa HUPEMEF, Mchungaji Saimon Chemu (Kulia) akitoa maelezo mafupi kwa Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu (Kushoto) alipotembelea ofisi za Taasisi hiyo zilizopo Wilayani Magu, jijini Mwanza Aprili 21, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/728A7471AA-1024x682.jpg)
Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu (Katikati- waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Taasisi ya HUPEMEF. Kulia waliokaa ni Afisa Mfawidhi wa Ofisi za THBUB Kanda ya Ziwa, Albert Kakengi, na wapili kulia ni Katibu wa Mtandao AZAKI Wilayani...
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto