CUF CHATAKA WANANCHI KONDOA KUBADILIKA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-rBqEvfnuhLU/VbdfqJdDiEI/AAAAAAAB_SE/G_QG-1z8zRw/s72-c/blogger-image-1915656036.jpg)
CHAMA cha Wananchi (CUF) wilaya ya Kondoa kimewataka wananchi wa Wilaya hiyo kufanya mageuzi ya uongozi kwa kuchagua wagombea wa vyama vya upinzani ili kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kuleta maendeleo.
Hayo yalisemwa na Katibu wa CUF wilaya ya Kondoa, Jafari Ganga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya CUF Dar es Salaam jana.
Alisema kwa miaka mingi wilaya ya Kondoa imekuwa ikitawaliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM)katikangazi mbalimbaliza viongozi wa juu wakiwemo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Jan
MTERA, KONDOA KASKAZINI NA KONDOA KUSINI : UKAWA IJIFUNGE MKANDA
10 years ago
Vijimambo16 Jul
CHAMA CHA WANANCHI CUF CHASISITIZA KUWA KATIKA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI ( UKAWA )
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/146.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/244.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b7C-A6W7gvc/UwmwgwdZJtI/AAAAAAAFO0o/0oOZ4S1NkYU/s72-c/unnamed+(8).jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MUNGURI, KONDOA- DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-b7C-A6W7gvc/UwmwgwdZJtI/AAAAAAAFO0o/0oOZ4S1NkYU/s1600/unnamed+(8).jpg)
Mheshimiwa Dkt. Pindi Chana akiwa katika ziara hii ya Kikazi alipata fursa ya kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa na Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Munguri, kondoa ambacho ni miongoni mwa vyuo 55 vinavyotoa mafunzo ya elimu ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--aqXCO-XhZc/VavIy7OP8zI/AAAAAAADzjM/O1ovi3A1qmk/s72-c/1590ea19be664ef22175f416d88632c6.jpg)
MHE. SALUM BARWANY CUF AWASHUKURU WANANCHI WAKE LINDI.
![](http://3.bp.blogspot.com/--aqXCO-XhZc/VavIy7OP8zI/AAAAAAADzjM/O1ovi3A1qmk/s640/1590ea19be664ef22175f416d88632c6.jpg)
Mmoja wa viongozi CUF akiongea kwenye mkutano wa Wananchi ulioandaliwa na Mbunge wa Lindi Mjini Mhe. Salum Barwany leo Jumapili katika kuwashukuru wananchi wa Jimbo lake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-jruCWOSNbeM/VavI0cm8oHI/AAAAAAADzj0/UnvoTX0jBWY/s640/e087c4b6593557b97bb052912d856dab.jpg)
Mkutano wa CUF mjini Lindi leo Jumapili July 19, 2015 ulioandaliwa na Mbunge Mhe. Salum Barwany katika kuwashukuru wananchi wa Jimbo lake.
![](http://2.bp.blogspot.com/-oK_w1PeBnzw/VavI1FMxaMI/AAAAAAADzkA/SskRZDvw8sY/s640/f8e9f2b8ee91385f84c5b987cdc05b52.jpg)
Wafuasi wa chama cha CUF wakihudhuria mkutano huo.
10 years ago
GPL04 Feb
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Sep
Chama cha Wananchi CUF Chaahidi Uchimbaji Mafuta Ndani ya Siku 100
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha wananchi-CUF- Maalim Seif Sharrif Hamad amesisitiza kuwa anahitaji siku 100 tu kwa Zanzibar kuwa na mamlaka yake kuhusu sera na uchimbaji wa mafuta kisiwani humo. Maalim ametoa msimao huo […]
The post Chama cha Wananchi CUF Chaahidi Uchimbaji Mafuta Ndani ya Siku 100 appeared first on Mzalendo.net.