MTERA, KONDOA KASKAZINI NA KONDOA KUSINI : UKAWA IJIFUNGE MKANDA
Jumatano iliyopita tuliangazia majimbo ya Dodoma Mjini, Bahi na Chilonwa. Leo tunaendelea kuchambua majimbo ya Mkoa wa Dodoma tukijikita kwenye majimbo ya Mtera, Kondoa Kaskazini na Kondoa Kusini.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen18 Nov
Kondoa council warned on laziness
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Sikika yawagawa madiwani Kondoa
BAADHI ya madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kondoa, wamejitokeza kupinga uamuzi uliofikiwa na Baraza la Madiwani wa kulifukuza Shirika la Sikika wilayani humo. Wakizungumza na gazeti hili hivi karibuni, madiwani...
11 years ago
Habarileo29 Jul
Sikika yafungiwa milango Kondoa
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Sikika limefukuzwa kufanya kazi zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kutokana na kutuhumiwa kudhalilisha madiwani na watendaji kwa wananchi kwa kudai hawajasoma na hawawajibiki katika utendaji wao.
10 years ago
Habarileo26 Oct
Kondoa, Mbarali wapewa matrekta
WA K U L I M A wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma na Mbarali mkoani Mbeya, wamekabidhiwa matrekta manne ambayo ni mkopo kutoka kwa kituo cha kusambaza matrekta kwa wakulima cha Kariati Matrekta, huku wakitakiwa kuyatumia katika kuleta maendeleo katika kilimo.
10 years ago
Habarileo17 Dec
Kondoa waipa uzito CCM
MATOKEO ya Uchaguzi wa Serikali ya Mitaa katika Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma, yanaonesha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza katika vijiji na vitongoji vingi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-C7MKHrjpVrA/VJX5D7jyRjI/AAAAAAAG4zU/1EGxp3Uh-ts/s72-c/cc3.jpg)
Mwisho wa lami barabara ya Kondoa-Babati
![](http://3.bp.blogspot.com/-C7MKHrjpVrA/VJX5D7jyRjI/AAAAAAAG4zU/1EGxp3Uh-ts/s1600/cc3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rI0sRynU4dc/VJX5FzlknrI/AAAAAAAG4zc/_G28iVZidNw/s1600/cc4.jpg)
10 years ago
Habarileo07 Sep
Kondoa wafikishiwa mita 1,000 za maji
ILI kuifanya miradi ya maji Kondoa Mjini iwe endelevu zaidi ya mita za maji 1,000 zimepelekwa Kondoa ili kuwafungia wateja wa maji mjini humo.
10 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-rBqEvfnuhLU/VbdfqJdDiEI/AAAAAAAB_SE/G_QG-1z8zRw/s72-c/blogger-image-1915656036.jpg)
CUF CHATAKA WANANCHI KONDOA KUBADILIKA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-rBqEvfnuhLU/VbdfqJdDiEI/AAAAAAAB_SE/G_QG-1z8zRw/s640/blogger-image-1915656036.jpg)
CHAMA cha Wananchi (CUF) wilaya ya Kondoa kimewataka wananchi wa Wilaya hiyo kufanya mageuzi ya uongozi kwa kuchagua wagombea wa vyama vya upinzani ili kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kuleta maendeleo.
Hayo yalisemwa na Katibu wa CUF wilaya ya Kondoa, Jafari Ganga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya CUF Dar es Salaam jana.
Alisema kwa miaka mingi wilaya ya Kondoa imekuwa ikitawaliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM)katikangazi mbalimbaliza viongozi wa juu wakiwemo...
11 years ago
Daily News08 Aug
Kondoa lags in registration of health fund
Daily News
KONDOA District is lagging behind in the registration of people into community health fund in Dodoma Region, slowing down the 30 per cent target set to be met by December, this year. The data available at the National Health Insurance Fund (NHIF) here at ...