Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTERA, KONDOA KASKAZINI NA KONDOA KUSINI : UKAWA IJIFUNGE MKANDA

Jumatano iliyopita tuliangazia majimbo ya Dodoma Mjini, Bahi na Chilonwa. Leo tunaendelea kuchambua majimbo ya Mkoa wa Dodoma tukijikita kwenye majimbo ya Mtera, Kondoa Kaskazini na Kondoa Kusini. 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Kondoa council warned on laziness

Members of Kondoa district business council have been urged to work diligently and do away with the ‘business as usual’ syndrome if they are to raise the district’s economic standing.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sikika yawagawa madiwani Kondoa

BAADHI ya madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kondoa, wamejitokeza kupinga uamuzi uliofikiwa na Baraza la Madiwani wa kulifukuza Shirika la Sikika wilayani humo. Wakizungumza na gazeti hili hivi karibuni, madiwani...

 

11 years ago

Habarileo

Sikika yafungiwa milango Kondoa

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Sikika limefukuzwa kufanya kazi zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kutokana na kutuhumiwa kudhalilisha madiwani na watendaji kwa wananchi kwa kudai hawajasoma na hawawajibiki katika utendaji wao.

 

10 years ago

Habarileo

Kondoa, Mbarali wapewa matrekta

WA K U L I M A wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma na Mbarali mkoani Mbeya, wamekabidhiwa matrekta manne ambayo ni mkopo kutoka kwa kituo cha kusambaza matrekta kwa wakulima cha Kariati Matrekta, huku wakitakiwa kuyatumia katika kuleta maendeleo katika kilimo.

 

10 years ago

Habarileo

Kondoa waipa uzito CCM

MATOKEO ya Uchaguzi wa Serikali ya Mitaa katika Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma, yanaonesha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza katika vijiji na vitongoji vingi.

 

10 years ago

Michuzi

Mwisho wa lami barabara ya Kondoa-Babati

 Hapa ni mwisho wa lami katika barabara kuu ya kutoka Kondoa  mkoani Dodoma kuelekea Babati mkoani Manyara. Tayari ujenzi wa barabara ya lami kutoka Kondoa hadi hapa mwisho wa lami umeshaanza.

 

10 years ago

Habarileo

Kondoa wafikishiwa mita 1,000 za maji

ILI kuifanya miradi ya maji Kondoa Mjini iwe endelevu zaidi ya mita za maji 1,000 zimepelekwa Kondoa ili kuwafungia wateja wa maji mjini humo.

 

10 years ago

Michuzi

CUF CHATAKA WANANCHI KONDOA KUBADILIKA


CHAMA cha Wananchi (CUF) wilaya ya Kondoa kimewataka wananchi wa Wilaya hiyo kufanya mageuzi ya uongozi kwa kuchagua wagombea wa vyama vya upinzani ili kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kuleta maendeleo.
Hayo yalisemwa na Katibu wa CUF wilaya ya Kondoa, Jafari Ganga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya CUF Dar es Salaam jana.
Alisema kwa miaka mingi wilaya ya Kondoa imekuwa ikitawaliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM)katikangazi mbalimbaliza viongozi wa juu wakiwemo...

 

11 years ago

Daily News

Kondoa lags in registration of health fund


Kondoa lags in registration of health fund
Daily News
KONDOA District is lagging behind in the registration of people into community health fund in Dodoma Region, slowing down the 30 per cent target set to be met by December, this year. The data available at the National Health Insurance Fund (NHIF) here at ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani