Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sikika yawagawa madiwani Kondoa

BAADHI ya madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kondoa, wamejitokeza kupinga uamuzi uliofikiwa na Baraza la Madiwani wa kulifukuza Shirika la Sikika wilayani humo. Wakizungumza na gazeti hili hivi karibuni, madiwani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

SIKIKA yakanusha tuhuma za Madiwani, halmashauri Kondoa Dodoma

DSC_0148

Mwenyekiti wa Bodi Sikika, Bi. Pili Mtambalike akisoma tamko la Shirika lisilo la Kiserikali la Sikika mbele ya waandishi wa Habari jana Agosti 3, 2014 kufuatia kusikitishwa na taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri wilayani Kondoa ya kusitisha shughuli zake katika wilaya hiyo kupitia barua yenye kumbukumbu namba KDC/LGC/M/3 VOL. II/71 ya tarehe 31/07/2014. Kwa mujibu wa barua hiyo, maamuzi hayo yalitolewa katika mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika 26 Julai, 2014...

 

11 years ago

Habarileo

Sikika yafungiwa milango Kondoa

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Sikika limefukuzwa kufanya kazi zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kutokana na kutuhumiwa kudhalilisha madiwani na watendaji kwa wananchi kwa kudai hawajasoma na hawawajibiki katika utendaji wao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maji yawagawa madiwani Igunga

MRADI mkubwa wa maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria, umeligawa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora kutokana na bomba kupitia kwenye vijiji vyenye maji...

 

10 years ago

Mwananchi

MTERA, KONDOA KASKAZINI NA KONDOA KUSINI : UKAWA IJIFUNGE MKANDA

Jumatano iliyopita tuliangazia majimbo ya Dodoma Mjini, Bahi na Chilonwa. Leo tunaendelea kuchambua majimbo ya Mkoa wa Dodoma tukijikita kwenye majimbo ya Mtera, Kondoa Kaskazini na Kondoa Kusini. 

 

10 years ago

Mtanzania

Bajeti yawagawa wabunge

bulaya-akitoa-maoniBAJETI Kuu ya Serikali iliyosomwa jana na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya, imewagawa wabunge ambapo baadhi wameiponda, huku wengine wakiisifia.
Baadhi ya wabunge hao wakiwamo wa vyama vya upinzani na chama tawala CCM, walisema bajeti hiyo haina jambo jipya na imezidi kuongeza mzigo wa umasikini kwa wananchi.

LUHAGA MPINA
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM), alisema kupandisha ushuru wa mafuta ya taa, petroli na dizeli ni kuongeza ugumu wa maisha kwa mwananchi kwa sababu ongezeko lolote...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sifa ya elimu yawagawa wajumbe

IBARA ya 125.-(1) (b) ya rasimu ya katiba mpya inayopendeza sifa ya elimu kwa mgombea ubunge iwe ya kidato cha nne, imewagawa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambako baadhi...

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama ya Kadhi yawagawa wabunge

MAHAKAMA ya Kadhi imetikisa mjadala wa Bunge Maalumu la Katiba jana. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa idadi kubwa ya wajumbe ambao walipata fursa ya kuchangia waliendelea kuwashawishi wenzao wakubali mahakama hiyo iingizwe kwenye Katiba kwani ni chombo muhimu kwa waumini wa dini ya Kiislamu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kura ya hapana yawagawa Zanzibar

Uamuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar (AG), Othman Masoud Othman wa kupinga vifungu 22 vya Rasimu ya Katiba na kupiga kura ya hapana, umeibua mjadala mkali Zanzibar na kuwapasua vichwa wanasheria, wanasiasa na wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Hoja ya ufisadi yawagawa Ukawa, CCM

Tangu kuzinduliwa kwa kampeni, hoja ya ufisadi imeonekana kuvigawa vyama vikuu vinavyopambana kwa karibu huku mgombea wa urais wa CCM, Dk John Magufuli akiitumia kama kete muhimu ya kumpatia ushindi na kuwapunguza makali wapinzani wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani