Sikika yafungiwa milango Kondoa
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Sikika limefukuzwa kufanya kazi zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kutokana na kutuhumiwa kudhalilisha madiwani na watendaji kwa wananchi kwa kudai hawajasoma na hawawajibiki katika utendaji wao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Sikika yawagawa madiwani Kondoa
BAADHI ya madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kondoa, wamejitokeza kupinga uamuzi uliofikiwa na Baraza la Madiwani wa kulifukuza Shirika la Sikika wilayani humo. Wakizungumza na gazeti hili hivi karibuni, madiwani...
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
SIKIKA yakanusha tuhuma za Madiwani, halmashauri Kondoa Dodoma
Mwenyekiti wa Bodi Sikika, Bi. Pili Mtambalike akisoma tamko la Shirika lisilo la Kiserikali la Sikika mbele ya waandishi wa Habari jana Agosti 3, 2014 kufuatia kusikitishwa na taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri wilayani Kondoa ya kusitisha shughuli zake katika wilaya hiyo kupitia barua yenye kumbukumbu namba KDC/LGC/M/3 VOL. II/71 ya tarehe 31/07/2014. Kwa mujibu wa barua hiyo, maamuzi hayo yalitolewa katika mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika 26 Julai, 2014...
10 years ago
Mwananchi31 Jan
MTERA, KONDOA KASKAZINI NA KONDOA KUSINI : UKAWA IJIFUNGE MKANDA
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Gremio yafungiwa ubaguzi michezoni
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Redio yafungiwa Sudani kusini
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Barcelona yafungiwa kusajili mpaka 2016
10 years ago
Habarileo15 Feb
Kampuni ya kusambaza mabati yafungiwa Dar
KAMPUNI ya usambazaji na uuzaji mabati Afrika Mashariki, Uni Metal East Africa Limited ya Dar es Salaam, imezuiwa isiuze wala kusambaza mabati, kwa muda usiojulikana, kwa sababu hayana ubora.
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Tunisia yafungiwa michuano ijayo AFCON
9 years ago
Mwananchi20 Sep
Mabasi ya Muro yafungiwa kutoa huduma