Mabasi ya Muro yafungiwa kutoa huduma
Mamlaka ya  Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imeyafungia mabasi ya Muro chini ya Kampuni ya Muro Investment kutoendelea na safari zake za Dar-Mwanza na Dar-Arusha kutokana na kukiuka sheria za usalama na usafirishaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNEWZZ ALERT:STENDI KUU YA MABASI MOSHI,WAMILIKI WA MABASI MADOGO WAGOMA KUTOA HUDUMA
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mabasi yaendayo kasi kuanza kutoa huduma
WAKALA wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xhUffHNHQnI/Ux8T-7evATI/AAAAAAAFS3U/F_rhWquwZSY/s72-c/unnamed+(16).jpg)
Mabasi machache kuanza kutoa huduma kabla ya awamu ya kwaza kuisha - DART
![](http://1.bp.blogspot.com/-xhUffHNHQnI/Ux8T-7evATI/AAAAAAAFS3U/F_rhWquwZSY/s1600/unnamed+(16).jpg)
Wakala wa Mradi wa Mabasi yaendayo aaraka (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
Kaimu Mtendaji Mkuu wa (DART), Bi. Asteria Mlambo aliwambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibu kuwa utekelezaji wa awamu ya kwanza unaendelea vizuri na kabla ya kukamirika hapo mwakani,kutakuwa na mabasi machache...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s72-c/download+(2).jpg)
mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini dar es salaam kuanza kutoa huduma mapema mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s1600/download+(2).jpg)
9 years ago
Habarileo21 Sep
Sumatra yafungia mabasi yote ya Muro
MAMLAKA ya Kudhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imesitisha kwa muda usiojulikana leseni ya usafirishaji abiria ya kampuni ya mabasi ya Muro (Muro Investment Co. Limited), kwa kutokidhi viwango vya kiufundi na usalama.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ql6Z40BB754/VW0zc8JmEzI/AAAAAAAAQPs/J1h84BpMC3U/s72-c/logo%2Bewura.jpg)
WANANCHI MANISPAA YA MOSHI WAALIKWA KUTOA MAONI JUU YA OMBI LA MUWSA KUBADILI BEI YA KUTOA HUDUMA YA MAJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ql6Z40BB754/VW0zc8JmEzI/AAAAAAAAQPs/J1h84BpMC3U/s400/logo%2Bewura.jpg)
Na Dixon Busagaga.Moshi.
MAMLAKA ya maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi(MUWSA) inakusudia kuongeza bei ya kutoa huduma za maji kwa watumiaji wake ,lengo likiwa ni kutaka kuendelea kufanya maboresho katika utolewaji wa huduma hiyo.
Kwa mujibu wa ombi Na,TR-W-15-008 kutoka Muwsa kwenda Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji(EWURA) Mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi imetaka kuongeza beo ya huduma zake kwa mwaka 2015/2016 HADI 2017/2018.
Mabadiliko ya bei hiyo...
5 years ago
CCM BlogMABASI YA MWENDOKASI YAAGIZWA KUREJESHA HUDUMA YA USAFIRI KAMAKAWAIDA KABLA YA JUNE 10
Selemani Jafo amesema kuwa kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na msongamano mkubwa wa abiria kwenye vituo vya mabasi hayo kutokana na watu wengi kuanza kurejea kwenye shughuli zao mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Vo2yc47_TA/VdLnAlFXeUI/AAAAAAAHx9Y/rtqGIa06_fo/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Dk Massaburi afurahia kuanza kwa huduma ya mabasi ya DART jijini Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Vo2yc47_TA/VdLnAlFXeUI/AAAAAAAHx9Y/rtqGIa06_fo/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qZ9WqkUXq4w/VdLnAyU1vSI/AAAAAAAHx9c/HM4DyE5g_X4/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jsD5bW_xbBs/VdLnBrRAGuI/AAAAAAAHx90/Av0iTdZ1-rU/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Nov
Madaktari bingwa 200 kutoa huduma
MADAKTARI bingwa zaidi ya 200 kutoka ndani na nje ya nchi, wanatarajiwa kutoa huduma za uchunguzi na matibabu bure wakati wa mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), utakaofanyika kwa siku sita kuanzia Desemba 9 mwaka huu mjini Dodoma.