NEWZZ ALERT:STENDI KUU YA MABASI MOSHI,WAMILIKI WA MABASI MADOGO WAGOMA KUTOA HUDUMA
Kituo kikuu cha mabasi yaendayo sehemu mbalimbali ndani ya mkoa wa Kilimanjaro na Arusha ikiwa haina gari baada ya wamiliki wa magari yaendyo maeneo hayo kugoma kutoa huduma.
Kutokana na mgomo huo ndipo madereva wa magari hayo na makondakta wakaamua kugeuza stendi hiyo uwanja wa mpira wa miguu likapigwa mbungi kati ya madereva na makondakta.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HJc48Sih2kA/VUe3--Dc-iI/AAAAAAAAO6A/0b7NObboxEo/s72-c/E86A6705%2B(800x533).jpg)
MGOMO WA MABASI,,,,ABIRIA MJINI MOSHI WAKWAMA STENDI, WAIGEUZA UKUMBI WA SINEMA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-HJc48Sih2kA/VUe3--Dc-iI/AAAAAAAAO6A/0b7NObboxEo/s640/E86A6705%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2IMmISHls6c/VUe4UTuXpCI/AAAAAAAAO7Y/xS-yMmsETVE/s640/E86A6737%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5h-iEuXdUDU/VUe4W9P4rOI/AAAAAAAAO7g/pdMX5WkmF28/s640/E86A6744%2B(800x533).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5iLVUzH08nk/VUe4XJn7BXI/AAAAAAAAO7k/31AOA-nP7ew/s640/E86A6749%2B(800x533).jpg)
9 years ago
MichuziABILIA WAKIWA STENDI KUU YA MABASI YA KWENDA MIKOANI (UBUNGO)
10 years ago
Vijimambo29 Apr
Tishio mgomo wa mabasi. Sumatra, wamiliki mabasi jino kwa jino.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ngwew-29April2015.jpg)
Katibu Mkuu wa Taboa, Enea Mrutu, alisisitiza msimamo wao wa kugoma walioutoa juzi alipozungumza na NIPASHE jana.
Alisema mgomo walioutangaza uko palepale ingawa kuna mazungumzo kati yao na Sumatra...
9 years ago
Mwananchi20 Sep
Mabasi ya Muro yafungiwa kutoa huduma
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mabasi yaendayo kasi kuanza kutoa huduma
WAKALA wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
5 years ago
MichuziKAMANDA WA POLISI MKOANI MBEYA AFANYA UKAGUZI WA KUSHTUKIZA STENDI KUU YA MABASI MBEYA.
Katika ukaguzi huo alikuta Mabasi matatu ya abiria yenye namba za...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xhUffHNHQnI/Ux8T-7evATI/AAAAAAAFS3U/F_rhWquwZSY/s72-c/unnamed+(16).jpg)
Mabasi machache kuanza kutoa huduma kabla ya awamu ya kwaza kuisha - DART
![](http://1.bp.blogspot.com/-xhUffHNHQnI/Ux8T-7evATI/AAAAAAAFS3U/F_rhWquwZSY/s1600/unnamed+(16).jpg)
Wakala wa Mradi wa Mabasi yaendayo aaraka (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
Kaimu Mtendaji Mkuu wa (DART), Bi. Asteria Mlambo aliwambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibu kuwa utekelezaji wa awamu ya kwanza unaendelea vizuri na kabla ya kukamirika hapo mwakani,kutakuwa na mabasi machache...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s72-c/download+(2).jpg)
mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini dar es salaam kuanza kutoa huduma mapema mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s1600/download+(2).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hfHMA2pURk6yTWkjGbRm1GoJTvnltu4RmnFJmsTib5aWw9uBkZzZM3xUj9K0VLT4CtHrlMfPOUkMNgcHOSBTY0D/breakingnews.gif)
MGOMO WA MABASI STENDI YA UBUNGO