WANANCHI MANISPAA YA MOSHI WAALIKWA KUTOA MAONI JUU YA OMBI LA MUWSA KUBADILI BEI YA KUTOA HUDUMA YA MAJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ql6Z40BB754/VW0zc8JmEzI/AAAAAAAAQPs/J1h84BpMC3U/s72-c/logo%2Bewura.jpg)
Na Dixon Busagaga.Moshi.
MAMLAKA ya maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi(MUWSA) inakusudia kuongeza bei ya kutoa huduma za maji kwa watumiaji wake ,lengo likiwa ni kutaka kuendelea kufanya maboresho katika utolewaji wa huduma hiyo.
Kwa mujibu wa ombi Na,TR-W-15-008 kutoka Muwsa kwenda Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji(EWURA) Mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi imetaka kuongeza beo ya huduma zake kwa mwaka 2015/2016 HADI 2017/2018.
Mabadiliko ya bei hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7RNRgTVLAgA/VXPz_EiCHCI/AAAAAAAAQlE/y_K4lcIaHag/s72-c/E86A9565%2B%2528800x533%2529.jpg)
WANANCHI WATOA MAONI JUU YA MUWSA KUOMBA KUPANDISHA BEI YA UTOLEWAJI WA HUDUMA YA MAJI KATIKA MJI WA MOSHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7RNRgTVLAgA/VXPz_EiCHCI/AAAAAAAAQlE/y_K4lcIaHag/s640/E86A9565%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7Wwr1G95cMc/VXP0B6HRTyI/AAAAAAAAQlo/sgAic8fCNzk/s640/E86A9577%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dt5RjbsO1wY/VXP0GdCtSlI/AAAAAAAAQmY/yhPTfJ_gO4U/s640/E86A9601%2B%2528800x533%2529.jpg)
11 years ago
MichuziMADIWANI MANISPAA YA MOSHI WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MUWSA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeja(aliyenyoosha mkono)akitoa maelezo kwa Madiwani walipotembelea chanzo cha Maji cha Cofee Curing.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m1SUJct1WPE/Xs02AlWp4TI/AAAAAAAAhp8/61FgMdLMrI0SnL39yRuFA6LmIu7W6eOhwCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
Haki ya kutoa Maoni, wananchi waelimishwe
![](https://1.bp.blogspot.com/-m1SUJct1WPE/Xs02AlWp4TI/AAAAAAAAhp8/61FgMdLMrI0SnL39yRuFA6LmIu7W6eOhwCLcBGAsYHQ/s640/images.jpeg)
UHURU wa kutoa maoni, kujieleza na kupata taarifa ni mojawapo wa Haki za Msingi za raia wa Tanzania kama ilivyosisitizwa na Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo upo mkanganyiko katika kutafsiri maana ya Uhuru huu uliojikita zaidi katika kukidhi matakwa na maslahi fulani.
Kwa upande mmoja, wapo wanaotafsiri dhana ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza kama Haki ya raia yeyote kuwasilisha mawazo na fikra zake bila vikwazo. Wanaoamini...
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
NEC yahimiza wananchi kutoa maoni
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kama wananchi na wadau wanataka mfumo wa uteuzi wa wajumbe wake ubadilike, ni vema wakatoa maoni kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Mwenyekiti...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_awDbbKInbI/Xl463t0Xt3I/AAAAAAALgs0/lHgf_wQFVnMa38NJTw6Wp5TKsnJbJoLKwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-03%2Bat%2B13.53.57.jpeg)
MADAKTARI BINGWA WAANZA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO
Amesema katika Wiki ya pili huduma zitahamia kituo cha Afya Kimara na wiki ya tatu litamalizia katika kituo cha Afya Makurumla. Dominic amesema huduma za kibingwa zitakuwa zikitolewa bure katika wiki zote tatu.
Aidha amesema Madaktari bingwa...
5 years ago
CCM BlogMADAKTARI BINGWA WAENDELEA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO
UBUNGO, Dar es Salaam
Manispaa ya Ubungo leo imeendelea kutoa huduma za afya kwa kutumia Madaktari Bingwa waliopo katika Manispaa ambapo leo madaktari hao wameanza kutoa huduma katika kituo cha Afya Kimara.
Huduma...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MiqnXhmxbXs/XstplUJpn-I/AAAAAAABMPE/zpRNBk1f4M4Ak-MOQJVNl9tFi5xZFibyACLcBGAsYHQ/s72-c/makonda.jpg)
RC MAKONDA AWAAGIZA MANISPAA YA ILALA KUHAKIKISHA HOSPITAL YA WILAYA INAANZA KUTOA HUDUMA KABLA JUNE MOSI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-MiqnXhmxbXs/XstplUJpn-I/AAAAAAABMPE/zpRNBk1f4M4Ak-MOQJVNl9tFi5xZFibyACLcBGAsYHQ/s400/makonda.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8dFIxZXBszI/XstpnCPAk0I/AAAAAAABMPI/X6qLQoQoXcQhTyNBS6hTpTNiKz6PrXH-ACLcBGAsYHQ/s400/makonda%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3SLx6uzifaI/VYKoSqV_7gI/AAAAAAAHg3s/J16PWjut7kE/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
MAHAKAMA YA RUFANI YAKUTANA NA WADAU WAKE KUTOA MAONI JUU YA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3SLx6uzifaI/VYKoSqV_7gI/AAAAAAAHg3s/J16PWjut7kE/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iXwZMwhcNXs/VYKoSFLfYdI/AAAAAAAHg3o/1yssgQjpmzU/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA) YAKAMATA WEZI WA MAJI