Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI MANISPAA YA MOSHI WAALIKWA KUTOA MAONI JUU YA OMBI LA MUWSA KUBADILI BEI YA KUTOA HUDUMA YA MAJI.


Na Dixon Busagaga.Moshi.
MAMLAKA ya maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi(MUWSA) inakusudia kuongeza bei ya kutoa huduma za maji kwa watumiaji wake ,lengo likiwa ni kutaka kuendelea kufanya maboresho katika utolewaji wa huduma hiyo.
Kwa mujibu wa ombi Na,TR-W-15-008 kutoka Muwsa kwenda Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji(EWURA) Mamlaka ya maji safi na maji  taka mjini Moshi imetaka kuongeza beo ya huduma zake kwa mwaka 2015/2016 HADI 2017/2018.
Mabadiliko ya bei hiyo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WATOA MAONI JUU YA MUWSA KUOMBA KUPANDISHA BEI YA UTOLEWAJI WA HUDUMA YA MAJI KATIKA MJI WA MOSHI

Viongozi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA wakifuatilia hotuba iliyokuwa ikitolewa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama (hayupo pichani) wakati wa utolewaji wa maoni juu ya bei mpya ya huduma ya maji.
Mkuu wa mkoa a Kilimanjaro,Leonidas Gama akizungumza katika mkutano huo ulioandaliwa na EWURA.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi (MUWSA)...

 

11 years ago

Michuzi

MADIWANI MANISPAA YA MOSHI WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MUWSA

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeja (mwenye suti)akiwaongoza madiwani wa halmashauri ya manispaa ya Moshi kutembelea vyanzo vya maji vinavyosimamiwa na mamlaka hiyo.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeja(aliyenyoosha mkono)akitoa maelezo kwa Madiwani walipotembelea chanzo cha Maji cha Cofee Curing.  Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira...

 

5 years ago

Michuzi

Haki ya kutoa Maoni, wananchi waelimishwe

Na Mwandishi Mwandishi Wetu.

UHURU wa kutoa maoni, kujieleza na kupata taarifa ni mojawapo wa Haki za Msingi za raia wa Tanzania kama ilivyosisitizwa na Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo upo mkanganyiko katika kutafsiri maana ya Uhuru huu  uliojikita zaidi katika kukidhi matakwa na maslahi fulani.
Kwa upande mmoja, wapo wanaotafsiri dhana ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza kama Haki ya raia yeyote kuwasilisha mawazo na fikra zake bila vikwazo. Wanaoamini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yahimiza wananchi kutoa maoni

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kama wananchi na wadau wanataka mfumo wa uteuzi wa wajumbe wake ubadilike, ni vema wakatoa maoni kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Mwenyekiti...

 

5 years ago

Michuzi

MADAKTARI BINGWA WAANZA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO

Manispaa ya Ubungo imeanza kutoa huduma za kitabibu katika vituo vya Afya vilivyopo katika Manispaa hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa Ubungo Beatrice Dominic amesema yoezi hilo limeanza leo katika kituo cha Afya Mbezi Louis na litakuwa la wiki tatu.

Amesema katika Wiki ya pili huduma zitahamia kituo cha Afya Kimara na wiki ya tatu litamalizia katika kituo cha Afya Makurumla. Dominic amesema huduma za kibingwa zitakuwa zikitolewa bure katika wiki zote tatu.

Aidha amesema Madaktari bingwa...

 

5 years ago

CCM Blog

MADAKTARI BINGWA WAENDELEA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO

Daktari Bingwa wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza Dk. Lucy Shirima akimhudumia mwananchi aliyefika kwenye Zahanati ya Kimara ili mtoto wake afanyiwe uchunguzi na kupatiwa matibabu, leo, Wakati Madaktari Bingwa wa Manispaa ya Ubungo walipoanza kutoa huduma bure katika Zahanati hiyo.




UBUNGO, Dar es Salaam
Manispaa ya Ubungo leo imeendelea kutoa huduma za afya kwa kutumia Madaktari Bingwa waliopo katika Manispaa ambapo leo madaktari hao wameanza kutoa huduma katika  kituo cha Afya Kimara.

Huduma...

 

5 years ago

CCM Blog

RC MAKONDA AWAAGIZA MANISPAA YA ILALA KUHAKIKISHA HOSPITAL YA WILAYA INAANZA KUTOA HUDUMA KABLA JUNE MOSI.



*****************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amewaelekeza Manispaa ya Ilala kuhakikisha Hospital mpya ya Wilaya hiyo iliyopo Kata ya Kivule inaanza kutoa huduma za kimatibabu kwa wananchi kabla ya June Mosi ambapo leo amewakabidhi magodoro 286 kwaajili ya Wagonjwa.RC Makonda amesema kama majengo yote ya Hospital yamekamilika haoni sababu ya kutokutumika ambapo amesema miongoni mwa huduma zitakazoanza kutolewa ni pamoja na Huduma ya Mama na Mtoto, OPD, Uzazi na...

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA RUFANI YAKUTANA NA WADAU WAKE KUTOA MAONI JUU YA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI

 Baadhi ya Wadau wa Mahakama kutoka Magereza,Ofisi ya DPP, Polisi  wakiwa katika Mkutano wa Majaji wa Mahakama ya Rufani unaolenga katika kupata maoni ya wadau juu ya njia zitakazowezesha kusaidia kumaliza mashauri/rufani zinazoletwa Mahakama ya Rufani kwa wakati.Baadhi ya Wahe. Majaji, Maafisa wa Mahakama pamoja na Wadau wa Mahakama wakiwa katika Mkutano katika majadiliano juu ya Maboresho ya umalizaji wa Mahakama katika ngazi ya Mahakama ya Rufani (T) Kwa muda mrefu Mahakama ya Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA) YAKAMATA WEZI WA MAJI

Watumishi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA,wakiwa katika nyumba moja ambayo inadaiwa mmiliki wake alikuwa akiiba maji baada ya kujiunganishia kinyemera licha ya kukatiwa huduma hiyo kwa muda mrefu.Wafanyakazi hao wakiongozwa na afisa uhusiano wa mamlaka hiyo ,Frolah Nguma na mkuu wa kanda ya Rau ,Selemani Zabron na fundi Aminiel Swai baada ya kufuatilia katika eneo hilo walibaini wapi wizi wa maji unafanyika.Hivi ndivyo ilivyooonekana katika mauongio ya mteja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani