MADAKTARI BINGWA WAANZA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_awDbbKInbI/Xl463t0Xt3I/AAAAAAALgs0/lHgf_wQFVnMa38NJTw6Wp5TKsnJbJoLKwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-03%2Bat%2B13.53.57.jpeg)
Manispaa ya Ubungo imeanza kutoa huduma za kitabibu katika vituo vya Afya vilivyopo katika Manispaa hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa Ubungo Beatrice Dominic amesema yoezi hilo limeanza leo katika kituo cha Afya Mbezi Louis na litakuwa la wiki tatu.
Amesema katika Wiki ya pili huduma zitahamia kituo cha Afya Kimara na wiki ya tatu litamalizia katika kituo cha Afya Makurumla. Dominic amesema huduma za kibingwa zitakuwa zikitolewa bure katika wiki zote tatu.
Aidha amesema Madaktari bingwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogMADAKTARI BINGWA WAENDELEA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO
UBUNGO, Dar es Salaam
Manispaa ya Ubungo leo imeendelea kutoa huduma za afya kwa kutumia Madaktari Bingwa waliopo katika Manispaa ambapo leo madaktari hao wameanza kutoa huduma katika kituo cha Afya Kimara.
Huduma...
10 years ago
Habarileo13 Nov
Madaktari bingwa 200 kutoa huduma
MADAKTARI bingwa zaidi ya 200 kutoka ndani na nje ya nchi, wanatarajiwa kutoa huduma za uchunguzi na matibabu bure wakati wa mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), utakaofanyika kwa siku sita kuanzia Desemba 9 mwaka huu mjini Dodoma.
9 years ago
MichuziMADAKTARI WA CHINA NA WAZALENDO WAKISHIRIKIANA KUTOA HUDUMA ZA AFYA KATIKA KIJIJI CHA KITOPE MKOA WA KASKAZIN WILAYA YA KASKAZINI B” ZANZIBAR
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) wazindua huduma za madaktari bingwa mkoani Singida!!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y4H957UjvOo/VZYaY-m6MNI/AAAAAAAAtI0/CAkGjtsT6nU/s72-c/unnamedh1.jpg)
Wananchi wa mkoa wa Shinyanga wafurahishwa na huduma za matibabu ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa
Wakizungumza na mwandishi wetu aliyetembelea katika hospitali hiyo, mmoja wa wazee waliopata huduma ya matibabu ya ugonjwa wa moyo Bi. Salu Shinge amesema amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya moyo kwa muda mrefu lakini baada ya kuonana na Daktari bingwa siku ya Jumatatu na kuanza kutumia dawa, hali yake imbadilika na kwamba anajisikia...
9 years ago
Vijimambo01 Sep
TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/2.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/3.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/4.jpg)
![5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/5.jpg)
Wananchi mbalimbali wakipatiwa huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni Zanzibar.
Mwashungi Tahir Maelezo-Zanzibar
Jumla ya madaktari bingwa tisa kutoka nchini china wakishirikiyana na madaktari wa hapa Zanzibar wameweza kutoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZvweTKvVTo/XpcqSLLyM3I/AAAAAAALnGU/RXnEeBkAT9kPYdE-90L7RcEUmA1eyga1ACLcBGAsYHQ/s72-c/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
Orodha ya vituo vya kutolea huduma za afya, vilivyoteuliwa kuchukua sampuli ya vipimo vya ugonjwa corona (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZvweTKvVTo/XpcqSLLyM3I/AAAAAAALnGU/RXnEeBkAT9kPYdE-90L7RcEUmA1eyga1ACLcBGAsYHQ/s640/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gzs4Pi9zUmU/XpcohY7t5QI/AAAAAAALnGE/2lOjGaxmHS86Qp4H2Af_BiLgqfjZnlDyACLcBGAsYHQ/s640/45fa435e-c2f8-434b-be65-13e0a30611e6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aZOTUmaTfwk/Xpcofg6U3tI/AAAAAAALnF8/3kymBU9z9R4ZGdXsxfpThk4URIjaABB0gCLcBGAsYHQ/s640/244e7318-3ff1-4b75-b983-e974f9470217.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Phzby7gzyg/XpcogwtDGCI/AAAAAAALnGA/GoiWu6ai3pohhXruD_A4cEhI7Rv9TRHEQCLcBGAsYHQ/s640/e8c7eaf2-a794-429a-a0d9-3cdd00ffbdc4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eu1dUdx42vY/Xp8HHZZkR2I/AAAAAAALnu8/f8t9RDb8SW4h1kxdXLQi6fnufczPaHrhQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200420_141947_7.jpg)
B0DI YA AFYA YARIDHISHWA NA UJENZI WA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA