Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wa mkoa wa Shinyanga wafurahishwa na huduma za matibabu ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa

Wananchi wa mkoa wa Shinyanga wameelezea kufurahishwa kwao na huduma za matibabu zinazotolewa na madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa huo.
Wakizungumza na mwandishi wetu aliyetembelea katika hospitali hiyo, mmoja wa wazee waliopata huduma ya matibabu ya ugonjwa wa moyo Bi. Salu Shinge amesema amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya moyo kwa muda mrefu lakini baada ya kuonana na Daktari bingwa siku ya Jumatatu na kuanza kutumia dawa, hali yake imbadilika na kwamba anajisikia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA SHINYANGA

Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Bwana Michael Mhando akitoa taarifa fupi kuhusu mpango wa huduma ya madaktari bingwa unaoendeshwa na NHIF kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bwana Alli Nassoro Rufunga akizungumza na wananchi na watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga waliokuja kupata huduma kabla ya kzindua rasmi mpango huo.
 Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Shinyanga waliokuja kupata huduma za madaktari bingwa...

 

10 years ago

Michuzi

HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA ZAHITIMISHWA MKOANI SHINYANGA

 Daktari Bingwa wa Watoto na magonjwa ya figo, Jacquline Shoo akitoa maelezo kwa madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga katika kikao cha kuhitimisha (Exit Meeting) la huduma za madaktari Bingwa hapa nchini. Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, akishuukuru Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya na Madaktari Bingwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili katika kikao cha kuhitimisha zoezi.Mkurugenzi wa Huduma za Tiba na Ushauri kutoka NHIF Dokta Frank Lekey,...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF YAZINDUA HUDUMA ZA MATIBABU ZINAZOTOLEWA BURE NA MADAKTARI BINGWA-TABORA

Mkuu wa mkoa wa Tabora  Bw.Ludovick Mwananzila (kulia) akikabidhi msaada wa shuka kwa Mganga mkuu wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete Dr.Gunini Kamba,katikati ni Katibu tawala mkoa wa Tabora Bi.Kudra Mwinyimvua.Mkuu wa mkoa wa Tabora akihutubia wakati wa Uzinduzi wa huduma ya Madaktari bingwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete,huduma ambayo inaratibiwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF ikiwa ni hatua ya kuwahamasisha wananchi kujiunga na Mfuko huo.
Mjumbe wa...

 

10 years ago

Michuzi

MADAKTARI BINGWA KUTOKA INDIA WATOA HUDUMA YA MATIBABU JIJINI ARUSHA

MADAKTARI bingwa kutoka hospitali ya  SPS Apollo iliyopo  Ludhiananchini India wamewasili nchini na kuanza kutoa huduma ya ushauri burekwa magonjwa makubwa ambayo yamekuwa yakiwasumbua watu wengi nakuwalazimu  kwenda kutibiwa nchini India.
Akizungumza na waandishi wa habari katika kituo cha kutoa huduma kwamatibabu Arusha, Austin Makani alisema kuwa , madaktari bingwa haowanatoa ushauri kwa wagonjwa wenye matatizo ya Figo , Moyo, tumbo,saratani, mishipa ya fahamu, uti wa mgongo, upasuaji wa...

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU KILICHOJENGWA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA

   Jengo la ujenzi wa kituo cha kisasa cha uchunguzi na matibabu kilichojengwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma.  Sehemu ya jengo la ujenzi wa kituo cha kisasa cha uchunguzi na matibabu kilichojengwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma  Sehemu ya jengo la ujenzi wa kituo cha kisasa cha uchunguzi na matibabu kilichojengwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mfuko wa NHIF, Michael Mhando akizungumza wakati wa makabidhiano ya  kituo cha kisasa...

 

5 years ago

CCM Blog

MADAKTARI BINGWA WAENDELEA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO

Daktari Bingwa wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza Dk. Lucy Shirima akimhudumia mwananchi aliyefika kwenye Zahanati ya Kimara ili mtoto wake afanyiwe uchunguzi na kupatiwa matibabu, leo, Wakati Madaktari Bingwa wa Manispaa ya Ubungo walipoanza kutoa huduma bure katika Zahanati hiyo.




UBUNGO, Dar es Salaam
Manispaa ya Ubungo leo imeendelea kutoa huduma za afya kwa kutumia Madaktari Bingwa waliopo katika Manispaa ambapo leo madaktari hao wameanza kutoa huduma katika  kituo cha Afya Kimara.

Huduma...

 

5 years ago

Michuzi

MADAKTARI BINGWA WAANZA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO

Manispaa ya Ubungo imeanza kutoa huduma za kitabibu katika vituo vya Afya vilivyopo katika Manispaa hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa Ubungo Beatrice Dominic amesema yoezi hilo limeanza leo katika kituo cha Afya Mbezi Louis na litakuwa la wiki tatu.

Amesema katika Wiki ya pili huduma zitahamia kituo cha Afya Kimara na wiki ya tatu litamalizia katika kituo cha Afya Makurumla. Dominic amesema huduma za kibingwa zitakuwa zikitolewa bure katika wiki zote tatu.

Aidha amesema Madaktari bingwa...

 

9 years ago

Vijimambo

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR.

1Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali, mkaazi wa Kisauni. PICHA NA ABDALLA OMAR – MAELEZO ZANZIBAR. 2Dokta Fadhil Mohd ambae ni D0kta Dhamana Kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waadishi wa habari (hawapo pichani).
3 45
Wananchi mbalimbali wakipatiwa huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni Zanzibar.  

                   Mwashungi Tahir Maelezo-Zanzibar 
Jumla ya madaktari bingwa tisa kutoka nchini china wakishirikiyana na madaktari wa hapa Zanzibar wameweza kutoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani