MADAKTARI BINGWA WAENDELEA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO
Daktari Bingwa wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza Dk. Lucy Shirima akimhudumia mwananchi aliyefika kwenye Zahanati ya Kimara ili mtoto wake afanyiwe uchunguzi na kupatiwa matibabu, leo, Wakati Madaktari Bingwa wa Manispaa ya Ubungo walipoanza kutoa huduma bure katika Zahanati hiyo.
UBUNGO, Dar es Salaam
Manispaa ya Ubungo leo imeendelea kutoa huduma za afya kwa kutumia Madaktari Bingwa waliopo katika Manispaa ambapo leo madaktari hao wameanza kutoa huduma katika kituo cha Afya Kimara.
Huduma...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_awDbbKInbI/Xl463t0Xt3I/AAAAAAALgs0/lHgf_wQFVnMa38NJTw6Wp5TKsnJbJoLKwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-03%2Bat%2B13.53.57.jpeg)
MADAKTARI BINGWA WAANZA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO
Amesema katika Wiki ya pili huduma zitahamia kituo cha Afya Kimara na wiki ya tatu litamalizia katika kituo cha Afya Makurumla. Dominic amesema huduma za kibingwa zitakuwa zikitolewa bure katika wiki zote tatu.
Aidha amesema Madaktari bingwa...
10 years ago
Habarileo13 Nov
Madaktari bingwa 200 kutoa huduma
MADAKTARI bingwa zaidi ya 200 kutoka ndani na nje ya nchi, wanatarajiwa kutoa huduma za uchunguzi na matibabu bure wakati wa mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), utakaofanyika kwa siku sita kuanzia Desemba 9 mwaka huu mjini Dodoma.
10 years ago
Vijimambo18 Mar
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc7ov-gqEiHQEERch9qXthjChL6DcF-BVFe7qe-DX5qTkHIqDR5YEONOicJqV-utIoa2135EnoFW8B1oWbiS5KRh/unnamed.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc4tqLoeCL89vyp8P-OFzZoG0wJEpY4r7wYFyto0aSWrzOUMp8BtdGSmdlOEAtwMNKz9jJ8adEqCOwdcaUPzOv9v/unnamed2.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc7ov-gqEiHQEERch9qXthjChL6DcF-BVFe7qe-DX5qTkHIqDR5YEONOicJqV-utIoa2135EnoFW8B1oWbiS5KRh/unnamed.jpg?width=650)
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO
9 years ago
MichuziMADAKTARI WA CHINA NA WAZALENDO WAKISHIRIKIANA KUTOA HUDUMA ZA AFYA KATIKA KIJIJI CHA KITOPE MKOA WA KASKAZIN WILAYA YA KASKAZINI B” ZANZIBAR
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) wazindua huduma za madaktari bingwa mkoani Singida!!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y4H957UjvOo/VZYaY-m6MNI/AAAAAAAAtI0/CAkGjtsT6nU/s72-c/unnamedh1.jpg)
Wananchi wa mkoa wa Shinyanga wafurahishwa na huduma za matibabu ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa
Wakizungumza na mwandishi wetu aliyetembelea katika hospitali hiyo, mmoja wa wazee waliopata huduma ya matibabu ya ugonjwa wa moyo Bi. Salu Shinge amesema amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya moyo kwa muda mrefu lakini baada ya kuonana na Daktari bingwa siku ya Jumatatu na kuanza kutumia dawa, hali yake imbadilika na kwamba anajisikia...
9 years ago
Vijimambo01 Sep
TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/2.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/3.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/4.jpg)
![5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/5.jpg)
Wananchi mbalimbali wakipatiwa huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni Zanzibar.
Mwashungi Tahir Maelezo-Zanzibar
Jumla ya madaktari bingwa tisa kutoka nchini china wakishirikiyana na madaktari wa hapa Zanzibar wameweza kutoa...