Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Redio yafungiwa Sudani kusini

Vikosi vya Usalama nchini Sudani Kusini vimefunga kituo cha redio ambacho kilikuwa kikiunga mkono mpango wa kumaliza mapigano

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI

AOMBWA AENDELEE KUSIMAMIA MAZUNGUMZO YA AMANI KATI YA VIKUNDI VINAVYOSIGANA VYA NCHI HIYO

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudani Kusini kukumbwa na vikwazo

Marekani imetoa Pendekezo la maazimio ya kuweka vikwazo kwa baadhi ya Watu wanaozorotesha hali ya siasa nchini Sudani Kusini

 

9 years ago

BBCSwahili

Hali ya Sudani kusini yadorora

Huku serikali ya Uingereza ikitangaza kuwa itawatuma wanajeshi zaidi ya mia tatu kudumisha amani nchni Sudani ya kusini na Somalia

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama :Sudani kusini iko hatarini

Rais wa Marekani Barack Obama ahofia sudani kusini kuingia kwenye mapigano ya wenyewe kwa wenyewe

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudani kusini kukumbwa na baa la njaa

Mgogoro wa Sudani kusini waelezwa kusababisha ukosefu wa chakula

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudani Kusini hati ya amani yasainiwa

Vyama vyenye uhasama wa muda mrefu vya Sudan kusini vimetiliana saini mkataba wa Amani katika mji mkuu wa Ethiopian ,Addis Ababa,

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa Sudani Kusini waathiri uchumi

Wataalam wa uchumi wanaonya kuwa mzozo umeathiri uchumi wa Sudan Kusini, na kusababisha hasara ya mabilioni ya dola.

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA KUTOA MAFUNZO YA KILIMO KWA SUDANI YA KUSINI

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika,Mhe. Eng. Christopher Kajoro Chiza (Mb) akifanya mazungumzo na Mhe. Jenerari James Wani Igga Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Sudani Kusini ofini kwake .
Na Bashiri Kalum 
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mhe. Eng Christopher Kajoro Chiza,( MB), amesema Tanzania ipo tayari kuendesha mafunzo ya kilimo katika vyuo vyake vya kilimo kwa wananchi wa Sudani, kuanzia ngazi ya cheti hadi ngazi ya shahada na kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na Sudani...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA SUDANI KUSINI WAMFUATA KOMREDI KINANA MASASI KUPATANISHWA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akinyanyua mikono juu kuashiria mshikamano na baadhi ya viongozi wa makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan Kusini ambao wako kwenye mgogoro wa kugombea madaraka kwa takribani mwaka sasa. Kinana amekutana na viongozi hao wakati wa mkutano wa hadhara mjini Masasi, Mtwara baada ya kumfuata kutaka ushauri wa upatanishi kutoka kwao Sudani Kuzini. Baada ya ya viongozi hao kupata wasaa wa kusalimia wananchi katika mkutano huo alifanya nao mazungumzo Ikulu Ndogo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani