Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIONGOZI WA SUDANI KUSINI WAMFUATA KOMREDI KINANA MASASI KUPATANISHWA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akinyanyua mikono juu kuashiria mshikamano na baadhi ya viongozi wa makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan Kusini ambao wako kwenye mgogoro wa kugombea madaraka kwa takribani mwaka sasa. Kinana amekutana na viongozi hao wakati wa mkutano wa hadhara mjini Masasi, Mtwara baada ya kumfuata kutaka ushauri wa upatanishi kutoka kwao Sudani Kuzini. Baada ya ya viongozi hao kupata wasaa wa kusalimia wananchi katika mkutano huo alifanya nao mazungumzo Ikulu Ndogo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

VIONGOZI WA SPLM KUTOKA SUDANI KUSINI WAMFUATA KINANA MASASI


 Jenerali James Kok ambaye ni Mjumbe wa kamati kuu, SPLM, Mbunge , amewahi kuwa Waziri wa masuala ya kijamiii na bisahara katika serikali ya umoja wa kitaifa  Sudan,SPLM - IG akiwasalimu wananchi wa Masasi. Msafara wa viongozi hao kutoka Sudani kusini ulifika wilayani Masasi kwa lengo la kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (mwenye shati la kijani) pamoja na viongozi wa chama cha SPLM kutoka Sudani Kusini wakiwa...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA AKUTANA NA KAMATI KUU YA CHAMA CHA SPLM CHA SUDANI YA KUSINI


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumzana na Kamati Kuu ya Chama Cha SPLM ambapo alipeleka ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,kikao hicho kilikuwa chini ya Mwenyekiti wa chama cha SPLM ambaye pia ni Rais wa Sudan ya Kusini Rais Salva Kiir, Ikulu mjini Juba. Mwenyekiti wa chama cha SPLM ambaye pia ni Rais wa Sudan ya Kusini Rais Salva...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI

AOMBWA AENDELEE KUSIMAMIA MAZUNGUMZO YA AMANI KATI YA VIKUNDI VINAVYOSIGANA VYA NCHI HIYO

 

10 years ago

BBCSwahili

Redio yafungiwa Sudani kusini

Vikosi vya Usalama nchini Sudani Kusini vimefunga kituo cha redio ambacho kilikuwa kikiunga mkono mpango wa kumaliza mapigano

 

9 years ago

BBCSwahili

Hali ya Sudani kusini yadorora

Huku serikali ya Uingereza ikitangaza kuwa itawatuma wanajeshi zaidi ya mia tatu kudumisha amani nchni Sudani ya kusini na Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudani Kusini kukumbwa na vikwazo

Marekani imetoa Pendekezo la maazimio ya kuweka vikwazo kwa baadhi ya Watu wanaozorotesha hali ya siasa nchini Sudani Kusini

 

10 years ago

Dewji Blog

Komredi Kinana asababisha wapinzani lukuki kuhamia CCM Magu

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipokea kadi za vyma vya upinzani kutoka kwa watu waliovihama vyama hivyo na kujiunga na CCM, katika mkutano wa hadhara akatika Mji wa Kisesa, wilayani Magu, mkoani Mwanza leo,wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza  kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.Kushoto ni Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Miraji Mtaturu. Zaidi ya wapinzani 50 walijiunga papo hapo.

  Katibu Mkuu wa CCM,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa Sudani Kusini waathiri uchumi

Wataalam wa uchumi wanaonya kuwa mzozo umeathiri uchumi wa Sudan Kusini, na kusababisha hasara ya mabilioni ya dola.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama :Sudani kusini iko hatarini

Rais wa Marekani Barack Obama ahofia sudani kusini kuingia kwenye mapigano ya wenyewe kwa wenyewe

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani