VIONGOZI WA SUDANI KUSINI WAMFUATA KOMREDI KINANA MASASI KUPATANISHWA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akinyanyua mikono juu kuashiria mshikamano na baadhi ya viongozi wa makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan Kusini ambao wako kwenye mgogoro wa kugombea madaraka kwa takribani mwaka sasa. Kinana amekutana na viongozi hao wakati wa mkutano wa hadhara mjini Masasi, Mtwara baada ya kumfuata kutaka ushauri wa upatanishi kutoka kwao Sudani Kuzini. Baada ya ya viongozi hao kupata wasaa wa kusalimia wananchi katika mkutano huo alifanya nao mazungumzo Ikulu Ndogo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DJ41OmwyE8s/VHKf3TrZr7I/AAAAAAAATxY/ixXFQeeXX3Y/s72-c/25.jpg)
VIONGOZI WA SPLM KUTOKA SUDANI KUSINI WAMFUATA KINANA MASASI
![](http://2.bp.blogspot.com/-DJ41OmwyE8s/VHKf3TrZr7I/AAAAAAAATxY/ixXFQeeXX3Y/s1600/25.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-01655bEkqO8/VHKf2v2Zv2I/AAAAAAAATxQ/q5I0TpKumUM/s1600/26.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uPS5KaNxdQQ/VPDT5iMjReI/AAAAAAAAXP4/TDNmIWiV0kQ/s72-c/A0.jpg)
KINANA AKUTANA NA KAMATI KUU YA CHAMA CHA SPLM CHA SUDANI YA KUSINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-uPS5KaNxdQQ/VPDT5iMjReI/AAAAAAAAXP4/TDNmIWiV0kQ/s1600/A0.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZKNUkcWLKCc/VPDL9bY6seI/AAAAAAAAXPY/cBlnjGBxS8c/s1600/A1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/1EvH6RK7gis/default.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Redio yafungiwa Sudani kusini
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Hali ya Sudani kusini yadorora
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Sudani Kusini kukumbwa na vikwazo
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Komredi Kinana asababisha wapinzani lukuki kuhamia CCM Magu
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipokea kadi za vyma vya upinzani kutoka kwa watu waliovihama vyama hivyo na kujiunga na CCM, katika mkutano wa hadhara akatika Mji wa Kisesa, wilayani Magu, mkoani Mwanza leo,wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.Kushoto ni Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Miraji Mtaturu. Zaidi ya wapinzani 50 walijiunga papo hapo.
Katibu Mkuu wa CCM,...
10 years ago
BBCSwahili19 May
Mzozo wa Sudani Kusini waathiri uchumi
11 years ago
BBCSwahili20 Dec
Obama :Sudani kusini iko hatarini