VIONGOZI WA SPLM KUTOKA SUDANI KUSINI WAMFUATA KINANA MASASI
![](http://2.bp.blogspot.com/-DJ41OmwyE8s/VHKf3TrZr7I/AAAAAAAATxY/ixXFQeeXX3Y/s72-c/25.jpg)
Jenerali James Kok ambaye ni Mjumbe wa kamati kuu, SPLM, Mbunge , amewahi kuwa Waziri wa masuala ya kijamiii na bisahara katika serikali ya umoja wa kitaifa Sudan,SPLM - IG akiwasalimu wananchi wa Masasi. Msafara wa viongozi hao kutoka Sudani kusini ulifika wilayani Masasi kwa lengo la kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (mwenye shati la kijani) pamoja na viongozi wa chama cha SPLM kutoka Sudani Kusini wakiwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi24 Nov
VIONGOZI WA SUDANI KUSINI WAMFUATA KOMREDI KINANA MASASI KUPATANISHWA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uPS5KaNxdQQ/VPDT5iMjReI/AAAAAAAAXP4/TDNmIWiV0kQ/s72-c/A0.jpg)
KINANA AKUTANA NA KAMATI KUU YA CHAMA CHA SPLM CHA SUDANI YA KUSINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-uPS5KaNxdQQ/VPDT5iMjReI/AAAAAAAAXP4/TDNmIWiV0kQ/s1600/A0.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZKNUkcWLKCc/VPDL9bY6seI/AAAAAAAAXPY/cBlnjGBxS8c/s1600/A1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4ZCG0Dcorlc/VMEdpRpIKsI/AAAAAAAG_A8/8HSb3jcUWK4/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
FURAHA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA KUUNGANISHA CHAMA CHA SPLM CHA SUDANI KUSINI,JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-4ZCG0Dcorlc/VMEdpRpIKsI/AAAAAAAG_A8/8HSb3jcUWK4/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-q82SU8yXGkQ/VLlDmDirdVI/AAAAAAAAVpo/yAqE2Fucg38/s72-c/2.jpg)
KINANA AENDELEA NA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI WA SPLM
![](http://4.bp.blogspot.com/-q82SU8yXGkQ/VLlDmDirdVI/AAAAAAAAVpo/yAqE2Fucg38/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana leo aliwasili Arusha kwa lengo la kufanya mazungumzo na makundi matatu ya chama cha SPLM ya Sudani ya Kusini, mashauriano hayo yalilenga kukamilisha makubaliano baina ya makundi hasimu.
Baada ya Mazungumzo Ndugu Kinana alisema ana matumaini ya kufikiwa makubaliano ya kukiunganisha chama cha SPLM katika siku chache zijazo
Kutoka kushoto ni Balozi David Kapya,Abdulrahman Kinana,Mwenyekiti wa Mazungumzo Dk.John Samuel Malecela na Makamu Mwenyekiti wa...
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA PAC YAPATA UGENI KUTOKA BUNGE LA SUDANI KUSINI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/1EvH6RK7gis/default.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI
11 years ago
Dewji Blog10 May
Kinana : Viongozi wana mengi ya kujifunza kutoka Kwa Wananchi
![6](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/63.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Igunga kwenye viwanja vya Sokoine na kutaka Viongozi wajifunze kutoka kwa wananchi ili waendane na kasi ya mabadiliko.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Igunga waliojitokeza kwa wingi kwenye viwanja vya mikutano vya Sokoine na kuwaambia wanasiasa waache kuwababaisha watu na suala la muundo wa serikali badala yake waje na hoja zinazogusa maisha ya kila siku mfano changamoto la mbegu za Pamba...
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Redio yafungiwa Sudani kusini
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Hali ya Sudani kusini yadorora