Mzozo wa Sudani Kusini waathiri uchumi
Wataalam wa uchumi wanaonya kuwa mzozo umeathiri uchumi wa Sudan Kusini, na kusababisha hasara ya mabilioni ya dola.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Ugonjwa wa akili waathiri uchumi Australia
Magonjwa ya akili huathiri sana uchumi wa Australia na hivyobasi huduma zinahitaji kuangaziwa upya kulingana na waziri mkuu Malcolm Turnbull.
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI
AOMBWA AENDELEE KUSIMAMIA MAZUNGUMZO YA AMANI KATI YA VIKUNDI VINAVYOSIGANA VYA NCHI HIYO
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Sudani Kusini kukumbwa na vikwazo
Marekani imetoa Pendekezo la maazimio ya kuweka vikwazo kwa baadhi ya Watu wanaozorotesha hali ya siasa nchini Sudani Kusini
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Redio yafungiwa Sudani kusini
Vikosi vya Usalama nchini Sudani Kusini vimefunga kituo cha redio ambacho kilikuwa kikiunga mkono mpango wa kumaliza mapigano
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Hali ya Sudani kusini yadorora
Huku serikali ya Uingereza ikitangaza kuwa itawatuma wanajeshi zaidi ya mia tatu kudumisha amani nchni Sudani ya kusini na Somalia
11 years ago
BBCSwahili03 Jul
Sudani kusini kukumbwa na baa la njaa
Mgogoro wa Sudani kusini waelezwa kusababisha ukosefu wa chakula
11 years ago
BBCSwahili20 Dec
Obama :Sudani kusini iko hatarini
Rais wa Marekani Barack Obama ahofia sudani kusini kuingia kwenye mapigano ya wenyewe kwa wenyewe
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Sudani Kusini hati ya amani yasainiwa
Vyama vyenye uhasama wa muda mrefu vya Sudan kusini vimetiliana saini mkataba wa Amani katika mji mkuu wa Ethiopian ,Addis Ababa,
11 years ago
MichuziTANZANIA KUTOA MAFUNZO YA KILIMO KWA SUDANI YA KUSINI
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika,Mhe. Eng. Christopher Kajoro Chiza (Mb) akifanya mazungumzo na Mhe. Jenerari James Wani Igga Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Sudani Kusini ofini kwake .
Na Bashiri Kalum
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mhe. Eng Christopher Kajoro Chiza,( MB), amesema Tanzania ipo tayari kuendesha mafunzo ya kilimo katika vyuo vyake vya kilimo kwa wananchi wa Sudani, kuanzia ngazi ya cheti hadi ngazi ya shahada na kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na Sudani...
Na Bashiri Kalum
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mhe. Eng Christopher Kajoro Chiza,( MB), amesema Tanzania ipo tayari kuendesha mafunzo ya kilimo katika vyuo vyake vya kilimo kwa wananchi wa Sudani, kuanzia ngazi ya cheti hadi ngazi ya shahada na kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na Sudani...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania