Barcelona yafungiwa kusajili mpaka 2016
Shirikisho la soka duniani FIFA limeitupilia mbali rufaa ya klabu ya Barcelona usajili kwa kukiuka kanuni za usajili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Urusi yafungiwa kusajili wachezaji wa Uturuki
MOSCOW, URUSI
KLABU za nchini Urusi zimefungiwa kufanya usajili kwa wachezaji wa nchini Uturuki kuanzia Januari mwakani kutokana na migogoro ya kisiasa.
Nchi hizi mbili zimekuwa na migogoro ya kisiasa, ambapo wiki iliyopita ndege ya kivita ya nchini Urusi ililipuliwa na jeshi la nchini Uturuki kwenye mpaka wa Syria, Novemba 24 mwaka huu na kuua rubani mmoja huku mwingine akiwa salama.
Waziri wa Michezo nchini Urusi, Vitaly Mutko, aliliambia gazeti la R-Sport new la nchini humo kwamba, hakuna...
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Barcelona yapigwa ‘stop’ kusajili
5 years ago
Africanjam.Com
BARCELONA 7 - 0 CELTICS | All Goals and Highlights | UEFA Champions League 13.09.2016 |

Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
10 years ago
Bongo522 Sep
Wizkid aahirisha tena kuachia album mpya mpaka mwakani (2016)!
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Redio yafungiwa Sudani kusini
11 years ago
BBCSwahili04 Sep
Gremio yafungiwa ubaguzi michezoni
11 years ago
Habarileo29 Jul
Sikika yafungiwa milango Kondoa
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Sikika limefukuzwa kufanya kazi zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kutokana na kutuhumiwa kudhalilisha madiwani na watendaji kwa wananchi kwa kudai hawajasoma na hawawajibiki katika utendaji wao.
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Mabasi ya Muro yafungiwa kutoa huduma
10 years ago
Habarileo15 Feb
Kampuni ya kusambaza mabati yafungiwa Dar
KAMPUNI ya usambazaji na uuzaji mabati Afrika Mashariki, Uni Metal East Africa Limited ya Dar es Salaam, imezuiwa isiuze wala kusambaza mabati, kwa muda usiojulikana, kwa sababu hayana ubora.