Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barcelona yafungiwa kusajili mpaka 2016

Shirikisho la soka duniani FIFA limeitupilia mbali rufaa ya klabu ya Barcelona usajili kwa kukiuka kanuni za usajili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Urusi yafungiwa kusajili wachezaji wa Uturuki

071214-13-SOCCER-Vitaly-Mutko-OB-PI.vadapt.620.high.94MOSCOW, URUSI

KLABU za nchini Urusi zimefungiwa kufanya usajili kwa wachezaji wa nchini Uturuki kuanzia Januari mwakani kutokana na migogoro ya kisiasa.

Nchi hizi mbili zimekuwa na migogoro ya kisiasa, ambapo wiki iliyopita ndege ya kivita ya nchini Urusi ililipuliwa na jeshi la nchini Uturuki kwenye mpaka wa Syria, Novemba 24 mwaka huu na kuua rubani mmoja huku mwingine akiwa salama.

Waziri wa Michezo nchini Urusi, Vitaly Mutko, aliliambia gazeti la R-Sport new la nchini humo kwamba, hakuna...

 

11 years ago

Mwananchi

Barcelona yapigwa ‘stop’ kusajili

Shirikisho la Soka Ulaya (Uefa) limeizuia klabu ya soka ya Barcelona kusajili wachezaji wapya kwa miezi 12.

 

5 years ago

Africanjam.Com

BARCELONA 7 - 0 CELTICS | All Goals and Highlights | UEFA Champions League 13.09.2016 |



Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

Bongo5

Wizkid aahirisha tena kuachia album mpya mpaka mwakani (2016)!

Mashabiki wa Wizkid waliokuwa wakisubiri kwa hamu album mpya ya staa huyo ambayo ilipangwa kutoka Septemba, watalazimika kuvuta tena subira hadi mwakani 2016. Wizkid ametangaza kuahirisha kutoa album yake ya 3 mwezi huu (Septemba), baada ya kuhudhuria sherehe ya siku ya kuzaliwa ya 2Face Idibia aliyefikisha miaka 40. Amesema amegundua bado ana kazi kubwa anayotakiwa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Redio yafungiwa Sudani kusini

Vikosi vya Usalama nchini Sudani Kusini vimefunga kituo cha redio ambacho kilikuwa kikiunga mkono mpango wa kumaliza mapigano

 

11 years ago

BBCSwahili

Gremio yafungiwa ubaguzi michezoni

Klabu maarufu ya soka nchini Brazili Gremio imefungiwa kushiriki mashindano makubwa kutokana na tuhuma za ubaguzi wa rangi.

 

11 years ago

Habarileo

Sikika yafungiwa milango Kondoa

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Sikika limefukuzwa kufanya kazi zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kutokana na kutuhumiwa kudhalilisha madiwani na watendaji kwa wananchi kwa kudai hawajasoma na hawawajibiki katika utendaji wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Mabasi ya Muro yafungiwa kutoa huduma

Mamlaka ya  Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imeyafungia mabasi ya Muro chini ya Kampuni ya Muro Investment kutoendelea na  safari zake za Dar-Mwanza na Dar-Arusha kutokana na kukiuka sheria za usalama na usafirishaji.

 

10 years ago

Habarileo

Kampuni ya kusambaza mabati yafungiwa Dar

KAMPUNI ya usambazaji na uuzaji mabati Afrika Mashariki, Uni Metal East Africa Limited ya Dar es Salaam, imezuiwa isiuze wala kusambaza mabati, kwa muda usiojulikana, kwa sababu hayana ubora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani