Urusi yafungiwa kusajili wachezaji wa Uturuki
MOSCOW, URUSI
KLABU za nchini Urusi zimefungiwa kufanya usajili kwa wachezaji wa nchini Uturuki kuanzia Januari mwakani kutokana na migogoro ya kisiasa.
Nchi hizi mbili zimekuwa na migogoro ya kisiasa, ambapo wiki iliyopita ndege ya kivita ya nchini Urusi ililipuliwa na jeshi la nchini Uturuki kwenye mpaka wa Syria, Novemba 24 mwaka huu na kuua rubani mmoja huku mwingine akiwa salama.
Waziri wa Michezo nchini Urusi, Vitaly Mutko, aliliambia gazeti la R-Sport new la nchini humo kwamba, hakuna...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Barcelona yafungiwa kusajili mpaka 2016
10 years ago
BBCSwahili14 May
Simba kusajili wachezaji kuziba pengo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7VHpXk3GVUE/U3ir6jxh-FI/AAAAAAAFjgg/lVjcpSAahY4/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
JKT Ruvu yaingia mtaani kusajili kwa vipaji vya wachezaji
![](http://1.bp.blogspot.com/-7VHpXk3GVUE/U3ir6jxh-FI/AAAAAAAFjgg/lVjcpSAahY4/s1600/New+Picture+(7).bmp)
Zoezi la kusaka wachezaji hao ni la wazi na meneja wa timu hiyo, Joel Frank amewataka wachezaji wote wenye nia ya kucheza ligi kuu msimu ujao kufika kwa wingi katika uwanja huo kuanzia saa 1.30 asubuhi.
Frank alisema kuwa wameamua kutafuta wachezaji kwa mtindo huo kwa lengo la kuona uwezo wao halisi na wala si kwa kukisia kama...
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Urusi yakatiza Uhusiano na Uturuki
9 years ago
BBCSwahili28 Nov
Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Uturuki kurejesha mwili wa rubani wa Urusi
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Urusi imeiwekea Uturuki vikwazo vya kiuchumi