Kampuni ya kusambaza mabati yafungiwa Dar
KAMPUNI ya usambazaji na uuzaji mabati Afrika Mashariki, Uni Metal East Africa Limited ya Dar es Salaam, imezuiwa isiuze wala kusambaza mabati, kwa muda usiojulikana, kwa sababu hayana ubora.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABATI YA AFRICAN ALLUMIUM (ALAF), IMEZINDUA MABATI AINA YA ROYAL VERSATILE
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABATI YA ALAF YATOA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA MBEYA
9 years ago
StarTV05 Jan
Kampuni ya SPENCON yatakiwa kukamilisha kusambaza Umeme Mei 31
Kampuni ya SPENCON Serikali imeitaka Kampuni ya SPENCON nchini Kenya iliyopewa zabuni ya kusambaza umeme katika vijiji 90 vya mkoa wa Singida kuhakikisha kuwa inakamilisha shughuli hiyo kabla ya Mei 31 mwaka huu vinginevyo itachukuliwa hatua kulingana na sheria za mikataba.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dokta Medard Kalemani ametoa agizo hilo wakati akikagua mradi huo uliogharimu dola za kimarekani milioni 20.
Amebaini kuwa licha ya mkandarasi huyo kuwa nyuma ya mkataba kwa miezi minne...
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Kampuni za mawasiliano zatakiwa kusambaza huduma kwa wateja
MBUNGE wa Chalinze mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete, ameshauri kampuni za mawasiliano kufungua vituo vingi vya utoaji huduma mkoani hapa ili kuwawezesha wateja wao kupata huduma hiyo kwa karibu. Akizungumza wakati...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnWwP33g*IbXKkK5dW2o7Ka3E3jUpkyjtPljLwhatfAA4BSFs8uVsVCshCL*IyhJe1vkf4LaXAmaP2rVh29Al1it/mtitu.jpg)
MTITU: RAIS KIKWETE ALINIFANYA NIANZISHE KAMPUNI YA KUSAMBAZA FILAMU
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-ZBk18zdVm7o/Uui1FpVIotI/AAAAAAAFJhQ/HQAhmhAnPuE/s1600/4.jpg)
KAMPUNI YA REX ENERGY YATAMBULISHA TEKNOLOJIA MPYA YA KUHIFADHI NA KUSAMBAZA UMEME
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Kampuni ya Tigo Tanzania kusambaza simu za smartphones wakati wa maonesho ya Nanenane
Meneja wa mawasiliano wa Tigo Tanzania, John Wanyancha akiongea na wanahabari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa Tigo kwenye maonesho ya Nane nane kitaifa mwaka huu, kushoto ni mwenyekiti wa TASO, Engelbert Moyo.
Wakulima na wageni mbalimbali watakaoshiriki kwenye maonesho ya nanenane ya mwaka huu wanatarajia kupata punguzo la bei ya simu za smartphones kutoka Tigo katika jitihada za kampuni ya mawasiliano ya simu kuwapatia watanzania wengi iwezekanavyo kupata kufurahia mambo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoal5qApXAcRLxIRwBk9cbdicYQcTlHk96r99kWK5Yi83ef-MBjMYfeQRIuThf3u3WD*nGvqvP-z3JpTEho86Ntu/001.KOROGWE.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KOROGWE ATOA WITO KWA KAMPUNI ZA MAWASILIANO KUSAMBAZA ZAIDI HUDUMA ZAO WILAYANI HUMO
10 years ago
Vijimambo10 Dec
MKUU WA WILAYA YA KOROGWE ATOA WITO KWA KAMPUNI ZA MAWASILIANO KUSAMBAZA ZAIDI HUDUMA ZAO WILAYANI HUMO
![](http://api.ning.com/files/3WL4yNYnOoal5qApXAcRLxIRwBk9cbdicYQcTlHk96r99kWK5Yi83ef-MBjMYfeQRIuThf3u3WD*nGvqvP-z3JpTEho86Ntu/001.KOROGWE.jpg)
![](http://api.ning.com/files/3WL4yNYnOoZPt2t6raoQGgRZTh5Jd*DMVW3bLjE-3Vjyrd74VUxEdMkN1pKTK2garK3f3WgkXy6YUugp3N85iDfRuL65E8EZ/002.KOROGWE.jpg)
![](http://api.ning.com/files/3WL4yNYnOoZxzveRSFnNFz5NjoL2RunibiIAi-mF3OZCrY3iyHF*e0mbiPSqDGCOQ4p*WBq6xHu0mm4HJOhuhs0CaStBL5yJ/003.KOROGWE.jpg)