Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni ya kusambaza mabati yafungiwa Dar

KAMPUNI ya usambazaji na uuzaji mabati Afrika Mashariki, Uni Metal East Africa Limited ya Dar es Salaam, imezuiwa isiuze wala kusambaza mabati, kwa muda usiojulikana, kwa sababu hayana ubora.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MABATI YA AFRICAN ALLUMIUM (ALAF), IMEZINDUA MABATI AINA YA ROYAL VERSATILE

Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Mabati ya Alluminium Afrika (Alaf), Yahya Ngoza akizungumza na mmoja kati ya wateja waliotembelea banda hilo, wakati wa Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), katika Viwanja vya Mwalimu J.K Nyerere barabara ya Kilwa.  Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Mabati ya Alluminium Afrika (Alaf), Monica Reuben akitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliofika katika banda la kampuni hiyo, wakati wa Maonyesho ya 39 ya Biashara...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MABATI YA ALAF YATOA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA MBEYA

 Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King, akitoa shukrani kwa kampuni ya ALAF  kwa kujitolea mabati kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari za Wilaya ya Mbeya.
 Meneja wa Kampuni ya ALAF Tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege akitoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya kabla ya kumkabidhi msaada wa mabati 384 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara.  Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King na Meneja wa ALAF tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege wakikabidhiana...

 

9 years ago

StarTV

Kampuni ya SPENCON yatakiwa kukamilisha kusambaza Umeme Mei 31

 

Kampuni ya SPENCON Serikali imeitaka Kampuni ya SPENCON nchini Kenya iliyopewa zabuni ya kusambaza umeme katika vijiji 90 vya mkoa wa Singida kuhakikisha kuwa inakamilisha shughuli hiyo kabla ya Mei 31 mwaka huu vinginevyo itachukuliwa hatua kulingana na sheria za mikataba.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dokta Medard Kalemani ametoa agizo hilo wakati akikagua mradi huo uliogharimu dola za kimarekani milioni 20.

Amebaini kuwa licha ya mkandarasi huyo kuwa nyuma ya mkataba kwa miezi minne...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kampuni za mawasiliano zatakiwa kusambaza huduma kwa wateja

MBUNGE wa Chalinze mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete, ameshauri kampuni za mawasiliano kufungua vituo vingi vya utoaji huduma mkoani hapa ili kuwawezesha wateja wao kupata huduma hiyo kwa karibu. Akizungumza wakati...

 

10 years ago

GPL

MTITU: RAIS KIKWETE ALINIFANYA NIANZISHE KAMPUNI YA KUSAMBAZA FILAMU

Makala: Elvan Stambuli
WILLIAM Mtitu ni mdau mkubwa wa filamu hapa nchini anayefahamika na wapenzi wengi wa tasnia hiyo.
Yeye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd inayojihusisha na usambazaji wa filamu nchini, muigizaji na muongozaji pia. Amepata mafaniko katika kazi hizo. Mkurugenzi wa Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, William Mtitu ndani ya… ...

 

11 years ago

GPL

KAMPUNI YA REX ENERGY YATAMBULISHA TEKNOLOJIA MPYA YA KUHIFADHI NA KUSAMBAZA UMEME

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya kusambaza vifaa vya umeme wa jua (solar) ya Rex Energy Bw Francis Kibhisa akizungumza na Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali (hawapo pichani),kuhusiana na uzinduzi na utambulisho wa teknolojia  mpya yenye uwezo mkubwa wa kuhifadhi na kusambaza Umeme,mkutano huo umefanyika mapema leo asubuhi kwenye makao makuu ya ofisi hizo zilizopo mtaa wa Makamba,Gerezani jijini Dar. Pichani mbele kushoto...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Tigo Tanzania kusambaza simu za smartphones wakati wa maonesho ya Nanenane

John&Moyo

Meneja wa mawasiliano wa Tigo Tanzania, John Wanyancha akiongea na wanahabari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa Tigo kwenye maonesho ya Nane nane kitaifa mwaka huu, kushoto ni mwenyekiti wa TASO, Engelbert Moyo.

Wakulima na wageni mbalimbali watakaoshiriki kwenye maonesho ya nanenane ya mwaka huu wanatarajia kupata punguzo la bei ya simu za smartphones kutoka Tigo katika jitihada za kampuni ya mawasiliano ya simu kuwapatia watanzania wengi iwezekanavyo kupata kufurahia mambo...

 

10 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA YA KOROGWE ATOA WITO KWA KAMPUNI ZA MAWASILIANO KUSAMBAZA ZAIDI HUDUMA ZAO WILAYANI HUMO

Mfanyakazi wa duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo mtaa wa manundu Korogwe mjini,Maudy Mbaga(kulia)akitoa huduma kwa wateja wa kwanza waliofika katika duka hilo baada ya kuzinduliwa rasmi na Mkuu wa Wilaya hiyo Mrisho Gambo(hayupo pichani). Baadhi ya wateja wakipatiwa huduma mbalimbali na mfanyakazi wa duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo mtaa wa manundu Korogwe mjini, Abubakary Lubuva(kushoto)duka hilo lilizinduliwa rasmi...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA YA KOROGWE ATOA WITO KWA KAMPUNI ZA MAWASILIANO KUSAMBAZA ZAIDI HUDUMA ZAO WILAYANI HUMO

Mfanyakazi wa duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo mtaa wa manundu Korogwe mjini,Maudy Mbaga(kulia)akitoa huduma kwa wateja wa kwanza waliofika katika duka hilo baada ya kuzinduliwa rasmi na Mkuu wa Wilaya hiyo Mrisho Gambo(hayupo pichani).Baadhi ya wateja wakipatiwa huduma mbalimbali na mfanyakazi wa duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo mtaa wa manundu Korogwe mjini, Abubakary Lubuva(kushoto)duka hilo lilizinduliwa rasmi na Mkuu wa wilaya hiyo Mrisho Gambo(hayupo pichani).Mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani