Kondoa, Mbarali wapewa matrekta
WA K U L I M A wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma na Mbarali mkoani Mbeya, wamekabidhiwa matrekta manne ambayo ni mkopo kutoka kwa kituo cha kusambaza matrekta kwa wakulima cha Kariati Matrekta, huku wakitakiwa kuyatumia katika kuleta maendeleo katika kilimo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi25 Oct
WAKULIMA KONDOA, MBARALI WAPATA MATREKA
![](https://3.bp.blogspot.com/-_RmZvZQQoY4/VEt9ra_q7vI/AAAAAAAArgs/5ofkzQRz1aY/s1600/akikabidhi%2Bfunguo.jpg)
10 years ago
Mwananchi31 Jan
MTERA, KONDOA KASKAZINI NA KONDOA KUSINI : UKAWA IJIFUNGE MKANDA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FgLfDOG1RHc/VZsXKAI0-sI/AAAAAAAATFM/VcpK8wXJ54k/s72-c/IMG-20150706-WA0053.jpg)
MTIA NIA UBUNGE JIMBO LA MBARALI LIBERATUS MWANG'OMBE AWASILI MWALIMU NYERERE INTERNATIONA AIRPORT TAYARI KWA KUANZA SAFARI YAKE YA KUWATUMIKIA WANA MBARALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-FgLfDOG1RHc/VZsXKAI0-sI/AAAAAAAATFM/VcpK8wXJ54k/s1600/IMG-20150706-WA0053.jpg)
Mwang'ombe anatarajia kuwa na mikutano na baadhi ya viongozi wa kitaifa Makao Makuu ya CHADEMA hapo kesho kabla ya kuelekea jimboni, Mbarali, siku mbili zijazo.
Akiongea na muwakilishi wa studio za SUN SHINE kutoka Chimala punde tu alipo shuka Airport ya Mwalimu Nyerere, Mwang'ombe amesema...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gGWKdYsS1C0/VNNcw67Nv9I/AAAAAAAAWqc/MzyZJw62-Tg/s72-c/1.jpg)
wakulima 7 wakabidhiwa matrekta leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-gGWKdYsS1C0/VNNcw67Nv9I/AAAAAAAAWqc/MzyZJw62-Tg/s1600/1.jpg)
funguo za trekta kwa Mwalimu wa Shule ya msingi Kwadelo Bw. Hamza Haji,matrekta saba yalikabidhiwa leo kwa wakulima chini ya usimamizi wa
Diwani wa Kwadelo Alhaji Omari Kariati.(Picha na Adam Mzee)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uIGQapfKGVs/VNNcyLhHVKI/AAAAAAAAWqo/yW108E1uqsg/s1600/2.jpg)
11 years ago
Habarileo09 Mar
‘Msitoze riba mikopo ya matrekta’
SERIKALI imeziagiza kampuni zinazokopesha vifaa vya kilimo yakiwemo matrekta madogo (power tiller) na makubwa kwa wakulima, kuacha mara moja kutoza riba kwa mikopo kwa vile vifaa hivyo vimefutiwa kodi. Katika hatua nyingine, serikali nayo imeombwa kuondoa ushuru wa kodi kwa matela ya matrekta, hususani ya power tiller ili kuwapunguzia gharama za ununuzi wakulima hatua itakayoharakisha mipango ya kuingia kwenye kilimo cha kisasa.
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Tanzania sasa mbioni kuzalisha matrekta
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Kiwanda cha matrekta kujengwa Tanzania
10 years ago
Mwananchi17 Sep
‘Mliokopeshwa matrekta Suma lipeni haraka’
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Equator SumaJKT kuleta matrekta nchini
KAMPUNI ya Equator SumaJKT imesaini mkataba wa ushirikiano wa kuleta matrekta nchini wenye thamani ya dola milioni 70 na Kampuni ya Farmer kutoka nchini Poland. Akizungumza na waandishi wa habari...