Kiwanda cha matrekta kujengwa Tanzania
Kampuni ya Ursus ya Poland imesema ina mkakati wa kujenga kiwanda cha kutengeneza matrekta Tanzania kwa kushirikiana na kampuni ya Suma JKT.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gy_kQ4tUKbw/VYNLxhpgTjI/AAAAAAAHhQ8/P0MR3qeH5lE/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA INDRA GANDHI NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA MATREKTA CHA NEW HOLLAND TIAT HUKO NEW DELHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gy_kQ4tUKbw/VYNLxhpgTjI/AAAAAAAHhQ8/P0MR3qeH5lE/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yxDCsAMem-E/VYNLxq9wqrI/AAAAAAAHhRE/AGn6jBdM1g4/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Tbakjlj1Clw/XpqBUBcgVcI/AAAAAAALnTI/rbRdOD1BrbA2nyiwCUy_ZY4ghZkvHtKigCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
Kiwanda cha Sukari kujengwa Kasulu-TIC
Na Ripota wetu, Kasulu.
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imetenga eneo la uwekezaji lenye ukubwa wa hekta 35,000 kwa ajili ya kilimo cha miwa na ujenzi wa kiwanda cha sukari.
Eneo hilo kwa sasa amepewa mwekezaji wa kampuni ya Kigoma Sugar Co. Ltd chini ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ambacho kina mamlaka ya kusimamia Uwekezaji nchini.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Tbakjlj1Clw/XpqBUBcgVcI/AAAAAAALnTI/rbRdOD1BrbA2nyiwCUy_ZY4ghZkvHtKigCLcBGAsYHQ/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Simon Anange (aliyevaa Fulana rangi ya damu ya Mzee)akifafanua jambo katika kikao cha pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa...
11 years ago
Mwananchi23 May
Dengue yaibua mkakati wa kujengwa kiwanda
10 years ago
MichuziKituo cha Kuendeleza Misitu Kujengwa Tanzania katika Nyanda za Juu Kusini
Azimio hilo linasisitiza zaidi kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Programu ya Panda Miti Kibiashara, itahakikisha kuuundwa kwa Ushirikiano kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP) kwa manufaa ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pA-lQqd-nRQ/Xrr4cfzSb-I/AAAAAAALp-g/rPuNjYMdCmU15EQ3_D5_gFCdbJeAt8yzACLcBGAsYHQ/s72-c/8d0703c6-698b-4ef3-bf3f-4956c4121950.jpg)
KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE
KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.
Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.
Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Buk_im5pk7Y/U_RxFZyQjiI/AAAAAAAAJ1Y/Ac51o2S7qfs/s72-c/4.jpg)
MAMA DORCAS MEMBE AFUNGUA KITUO CHA KUSAMBAZIA MATREKTA WAKULIMA CHA KARIATI MATRACTOR KILICHOPO KINONDONI JIJINI DAR
Kauli hiyo ameitoa leo jijini Dar es Salaa wakati akizindua kituo hicho ambapo alisema ingawa bei zao zipo chini wapunguze tena ili hata mkulima wa chini aweze kumudu kununua au kukopa trekta hiyo imuwezeshe kuondokana na umasikini.
Akizungumza katika uzinduzi huo alisema...
9 years ago
Bongo Movies07 Nov
Kiwanda Cha Filamu Tanzania Kimerudi Nyuma Mwaka Huu-Johari
Muigizaji wa filamu, Johari Chaula amesema kuwa mwaka 2015 haukuwa mzuri kwa wasanii wa filamu.
Johari ameiambia Bongo5 kuwa wasambazaji wa filamu wamezidiwa na kazi zinazozalishwa na wasanii.
“Mwaka huu si mzuri sana kiukweli kwa sababu wasanii wa filamu wamekuwa wengi na tunazalisha sana filamu mpaka wasambazaji wanazishindwa na wao wanasema soko haliko vizuri,” amesema.
“Kwahiyo msanii kama mimi nashindwa kutoa filamu nyingi kutokana na hali hiyo, ni hivyo hivyo haukuwa mzuri sana....
10 years ago
Vijimambo08 Feb
TATIZO LILILOSABABISHA KUFUNGWA KWA KIWANDA CHA CEMENT TANZANIA WAZO HILL