Dengue yaibua mkakati wa kujengwa kiwanda
Mapambano dhidi ya mbu wanaoeneza ugonjwa wa dengue na magonjwa mengine yako mbioni kufanikiwa kutokana na kiwanda cha kuzalisha dawa ya kuua mazalia yake kuanza uzalishaji mwezi ujao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 May
Homa ya dengue yaibua tafrani
TAARIFA isiyo sahihi ya maambukizi ya homa ya dengue inayoenezwa na mbu aina ya aedes, imesababisha baadhi ya madereva teksi jijini Dar es Salaam, kujilinda kwa kuvaa glovu za mikononi, soksi ndefu miguuni na kujifungia muda wote katika magari yao hata ambayo hayana viyoyozi.
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Kiwanda cha matrekta kujengwa Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Tbakjlj1Clw/XpqBUBcgVcI/AAAAAAALnTI/rbRdOD1BrbA2nyiwCUy_ZY4ghZkvHtKigCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
Kiwanda cha Sukari kujengwa Kasulu-TIC
Na Ripota wetu, Kasulu.
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imetenga eneo la uwekezaji lenye ukubwa wa hekta 35,000 kwa ajili ya kilimo cha miwa na ujenzi wa kiwanda cha sukari.
Eneo hilo kwa sasa amepewa mwekezaji wa kampuni ya Kigoma Sugar Co. Ltd chini ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ambacho kina mamlaka ya kusimamia Uwekezaji nchini.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Tbakjlj1Clw/XpqBUBcgVcI/AAAAAAALnTI/rbRdOD1BrbA2nyiwCUy_ZY4ghZkvHtKigCLcBGAsYHQ/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Simon Anange (aliyevaa Fulana rangi ya damu ya Mzee)akifafanua jambo katika kikao cha pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Kiwanda cha Mufindi Paper na mkakati wa kusaidia jamii
INGAWA si lazima mwekezaji kuisaidia jamii iliyozunguka eneo alikowekeza, lakini inashauriwa kuwa iwapo mwekezaji husika atakuwa amefanya hivyo atakuwa amechangia kurudisha sehemu ya faida kwa jamii hiyo. Mbali na kuwa...
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Pakistan yaibua vipaji
10 years ago
Mwananchi30 Jan
PAC yaibua ufisadi mwingine
10 years ago
GPLPETE YA SHILOLE YAIBUA MAZITO!