Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dengue yaibua mkakati wa kujengwa kiwanda

Mapambano dhidi ya mbu wanaoeneza ugonjwa wa dengue na magonjwa mengine yako mbioni kufanikiwa kutokana na kiwanda cha kuzalisha dawa ya kuua mazalia yake kuanza uzalishaji mwezi ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Homa ya dengue yaibua tafrani

TAARIFA isiyo sahihi ya maambukizi ya homa ya dengue inayoenezwa na mbu aina ya aedes, imesababisha baadhi ya madereva teksi jijini Dar es Salaam, kujilinda kwa kuvaa glovu za mikononi, soksi ndefu miguuni na kujifungia muda wote katika magari yao hata ambayo hayana viyoyozi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiwanda cha matrekta kujengwa Tanzania

Kampuni ya Ursus ya Poland imesema ina mkakati wa kujenga kiwanda cha kutengeneza matrekta Tanzania kwa kushirikiana na kampuni ya Suma JKT.

 

5 years ago

Michuzi

Kiwanda cha Sukari kujengwa Kasulu-TIC


Na Ripota wetu, Kasulu.
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imetenga eneo la uwekezaji lenye ukubwa wa hekta 35,000 kwa ajili ya kilimo cha miwa na ujenzi wa kiwanda cha sukari.
Eneo hilo kwa sasa amepewa mwekezaji wa kampuni ya Kigoma Sugar Co. Ltd chini ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ambacho kina mamlaka ya kusimamia Uwekezaji nchini.
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Simon Anange (aliyevaa Fulana rangi ya damu ya Mzee)akifafanua jambo katika kikao cha pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kiwanda cha Mufindi Paper na mkakati wa kusaidia jamii

INGAWA si lazima mwekezaji kuisaidia jamii iliyozunguka eneo alikowekeza, lakini inashauriwa kuwa iwapo mwekezaji husika atakuwa amefanya hivyo atakuwa amechangia kurudisha sehemu ya faida kwa jamii hiyo. Mbali na kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan yaibua vipaji

Na sasa Saania na Muqqadas wanataka kuizunguka dunia ,huku wakiwa na matumaini ya kuonana na Justin Bieber na kuimba pamoja naye.

 

10 years ago

Mwananchi

PAC yaibua ufisadi mwingine

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeanika madudu na kashfa za kutisha katika ripoti maalumu ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ikiwa ni pamoja na zaidi ya Sh100 bilioni kukwepwa kulipwa na kampuni mbalimbali kwa kivuli cha misamaha ya kodi.

 

10 years ago

GPL

PETE YA SHILOLE YAIBUA MAZITO!

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Naftari Mlawa ‘Nuhu Mziwanda’ akiwa na bebi wake Zuwena Mohammed ‘Shilole’. Stori: Waandishi Wetu
JAMBO limezua jambo, saa chache baada ya mwanadada mtafutaji kunako tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, kuvalishwa pete ya uchumba na mchumba wake, Naftari Mlawa ‘Nuhu Mziwanda’ tayari watu wameanza kuisengenya. Shilole...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani